Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
...Mbona vijana wa mjini wanatumia huyo dogo..:biggrin1::dance::whistle:Nami nilitaka kuuliza swali hilo, mkuu atujuze vizuri isijekuwa jamaa nae pia wamo!
...Mbona vijana wa mjini wanatumia huyo dogo..:biggrin1::dance::whistle:Nami nilitaka kuuliza swali hilo, mkuu atujuze vizuri isijekuwa jamaa nae pia wamo!
hivi wewe una akili kweli?? Kwa nini kuandika maneno makali kama haya?? Acha maslogani yako ya zamani kuwa mtu akienda disko au kusikiliza mziki au akivaa kimini ni mhuni. Watu kama nyinyi ndio wabakaji wakubwa na hamfai kwenye jamii. Sasa joto lote la dar unataka dada wa watu avae ovaroli?? Fikiria kwanza kabla ya kubwabwaja upuzi wako hapa.
Kuna dem mmoja hivi alinambia kuwa jamaa ANASUKUMWA TOPE.
sijajua undani wake labda kama kuna mtu anafahamu chochote kuhusu huyu just atumwagie hapa
Mmh! this is a serious allegation! hivi hakuna mtu wakumtetea ben hapa jamvini?
Hii ya mkasi kali sana babake wanaume wengi siku hizi wako kama mkasiNi mkasi huo...haukati shurti utiwe vidole nyuma ndio ukate mbele