Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Sijui ni mgongo wazi, au ni staili ya vazi lake lenye nakshi za kipepeo, au .....
Sijaelewa!!sasa kapendeza nini??au kuwa tu mgongo wazi ndo kupendeza.labda shepu
Sijui ni mgongo wazi, au ni staili ya vazi lake lenye nakshi za kipepeo, au .....
Sijui ni mgongo wazi, au ni staili ya vazi lake lenye nakshi za kipepeo, au .....
Vipi kama akiinama kidogo wajamani!!
mbona mgongo uan weusi weusi flani hivi kama mabaka?
Inaonyesha ngozi yake haijaadhirika na madawa huo ni weusi wa asili unaelekea kwenye ubuluu huvi flash ya camera ndio imekufanya uone ni mabakamabaka. Mie nimependa livyo mechisha maana mpaka kufuli jeusi :glasses-nerdy:
Maliziaga na wewe .....kinatosha kubeep fire.nguo nzuri imempendeza na kishepu anacho kinatosha kubeep
Hapanamkuu m nadhani atakuwa Compact sio CDNa huyo mwanaume sijui wa kihindi au kizungu aliyekaa pembeni yake ni nani? Na wako wapi? Huyu dada atakuwa ni CD nini?