Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 918
hivi kumbe hata TZ alshabab wapo?
naomba anayejua maana ya "alshabab" atueleze ili kututuliza roho, mwenzenu hata kusikia tu hili neno nasikia nyele zikisimama kichwani!
source: HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania