Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Hili limeanza kuwashtua wanachama wengi wa upinzani baada ya kuona
sasa kila mwenyekiti anataka kwenda kugombea ubunge jimboni mwake
mrema ameanza kukimbilia moshi mjini,mbatia nae kinondoni,mbowe uwii sasa hamad abaki mwenyewe jamani,..tuachieni na ubunge wengine nyie chezeni na Urais,..na sie tule hizo posho za ubunge jamani,...namnukuu mwanachama mmoja wa TLP.....
Kazi ipo 2010
sasa kila mwenyekiti anataka kwenda kugombea ubunge jimboni mwake
mrema ameanza kukimbilia moshi mjini,mbatia nae kinondoni,mbowe uwii sasa hamad abaki mwenyewe jamani,..tuachieni na ubunge wengine nyie chezeni na Urais,..na sie tule hizo posho za ubunge jamani,...namnukuu mwanachama mmoja wa TLP.....
Kazi ipo 2010