Katika kile kinachoendelea chini ya pazia jijini arusha katibu wa mkoa ameamua kuanza sasa kusafisha njia na kulipa kisasi,hasaa baada ya kushindwa ubunge ameamua kuanza kuandaa njia ili arudi haya yamefanyika
Felix mrema na chatanda wanataka kumrejesha kileo aliekua mwenyekiti wa wilaya ambae nyuma ya mgongo wake kuna tuhuma nyingi za ubadhilifu ikiwemo kushindwa udiwani kwa mwaka 2010,habari zilizopo mrema na ellisa wanatumia pesa kuhakikisha majina ya wagombea yanakatwa ili yasifike NEC likiwemo la mtu mmoja alijulikana kama mussa mukunga na hadi sasa hawana majibu.
Arusha imeingiliwa na watu wansema kua ni mrema na chatanda kipindi kilichopita chatanda alikula pesa za hao wote na ccm haina trna chake na wanachama wametishia kua kama yakirudiwa wote wataondoka na kujiunga na cuf au cdm kwani hawana kimbilio tena
katika hatua ingine mrema anawatafuta wajumbe wa kamati ya siasa na kuirubuni na je makundi hayo yatakwisha lini
wako vijana na watu wenye hekima zao na hapana shaka kua yasipofuatwa hayo yataigharimu ccm na hawataweza tena
wao wanachotaka ni kua watu wote waliokaa kwanye madaraka na wenye makundi na wenye kukigawa chama kwani chatanda anataka kuwapitisha wadhaifu ili akina kileo wapite
mwingine kwney nafasi ya uenyekiti mkoa aliefahamikika kwa jina moja khamisi ameonekana mwenye kujitoa kwa moyo na kutaka kurudihs aheshima ya chama jijini arusha ila je atayaweza makundi haijajulikana ana kundi au la na kimtazamo anasema hana makundi dulu za siasa zinaonekana kua wako wenye hati miliki japo taarifa zimemfikia mlezi wa ccm arusha mzee wassira na don king pamoja na mwenyekiti wote waiokoe arusha vinginevyo itabaki kua hadithi
Felix mrema na chatanda wanataka kumrejesha kileo aliekua mwenyekiti wa wilaya ambae nyuma ya mgongo wake kuna tuhuma nyingi za ubadhilifu ikiwemo kushindwa udiwani kwa mwaka 2010,habari zilizopo mrema na ellisa wanatumia pesa kuhakikisha majina ya wagombea yanakatwa ili yasifike NEC likiwemo la mtu mmoja alijulikana kama mussa mukunga na hadi sasa hawana majibu.
Arusha imeingiliwa na watu wansema kua ni mrema na chatanda kipindi kilichopita chatanda alikula pesa za hao wote na ccm haina trna chake na wanachama wametishia kua kama yakirudiwa wote wataondoka na kujiunga na cuf au cdm kwani hawana kimbilio tena
katika hatua ingine mrema anawatafuta wajumbe wa kamati ya siasa na kuirubuni na je makundi hayo yatakwisha lini
wako vijana na watu wenye hekima zao na hapana shaka kua yasipofuatwa hayo yataigharimu ccm na hawataweza tena
wao wanachotaka ni kua watu wote waliokaa kwanye madaraka na wenye makundi na wenye kukigawa chama kwani chatanda anataka kuwapitisha wadhaifu ili akina kileo wapite
mwingine kwney nafasi ya uenyekiti mkoa aliefahamikika kwa jina moja khamisi ameonekana mwenye kujitoa kwa moyo na kutaka kurudihs aheshima ya chama jijini arusha ila je atayaweza makundi haijajulikana ana kundi au la na kimtazamo anasema hana makundi dulu za siasa zinaonekana kua wako wenye hati miliki japo taarifa zimemfikia mlezi wa ccm arusha mzee wassira na don king pamoja na mwenyekiti wote waiokoe arusha vinginevyo itabaki kua hadithi