Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
anayoyaongelea mrema sometimes yakipuuzwa yanaweza kuhatarisha usalama wa nchi...tuchukulie mfano huko madagasca nchi haina amani..WHY..kwasababu the current president Rajoelina was a DJ kwenye redio moja..nae alikuwa akisema maneno ya uchochezi kwenye redio kwamba raisi Ravolonmana ni mwizi, fisadi hafai and so on. then wat happen, wananchi wakaona hawawezi kuongozwa na raisi fisadi. wakishirikiana na DJ and the army, the president was cast out..then they made Rajoelina the president. wakati anaapishwa he was only 33 yrs old kinyume na katiba ya madagasca....na mpaka sasa nchi haina amani.
what i am tryn to say, Butiku and the rest wangeweza kusema hayo maneno kwenye halmashauri ya CCM or kamati kuu ya CCM kwa sababu yanamuhusu bosi wao. sasa wao wakaropoka tu.kikwete amezungukwa na wezi, the president is compromised, raisi hawezi kufanya maamuzi mazito, 2010 tumtose
maneno kama haya ni ya uchochezi, na wanatuambia wananchi ili tufanye nini, kwamba kikwete hatufai tuwachague wapinzani, or what. wanataka sisi tumchukie raisi pekeyake or CCM kwa ujumla, sasa tukimtosa raisi tumweke nani?
thats my opinion on what Mrema is tryn to say. na hiyo CCJ nmesikia inawahusisha watu wa rwanda or burundi not sure...
but wat i no for sure 2010 will be the year tanznians we will never forget.....
Ni maneno gani ya uchochezi yaliyosemwa kwenye kongamano la Butiku kusema ukweli ni uchozezi nikikuambia wewe hufai ni uchochezi hayo ni mawazo yako unafikiri bila Kikwete Tanzania haitakuwepo
Wewe ndiye unaanza kuleta maneno ya uchochezi eti unasikia CCJ inahusisha watu kutoka Burundi na Rwanda humu JF hakuna watoto kuna watu wa fani mbalimbali sio watu wa kudanganywa namna hiyo ni wadadisi