justo james
Member
- Apr 29, 2011
- 7
- 0
Kuna wabunge ukisikia wanatajwa kwenye orodha ya kuongea inabidi ikifa zamu yake ubadilishe channel kwanza mpaka amalize bcse the end of the day atakuboa tu! mmojawapo ni huyo Lyatonga. Ameshachoka kisiasa akapumzike