Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
<br />
<br />
kuwa mtu huru ndio tiketi ya kuwa MAMLUKI hata kwa chama chake kwanini alimuunga mkono JK kwenye uchaguzi mkuu ilhali chama chake ambacho yy ni mwenyekiti kilikuwa na mgombea urais, ww kama unaona Mrema yupo timamu basi utakuwa unamatatzo makubwa kuliko huyo Mrema nasema haya nikiwa neutral sifungamani na upande wowote kisiasa.
True, hiki ni kichekesho maana kama anamuunga mkono si angekuwa CCM huko huko, na ni yeye (Mrema) anayemuunga mkono au chama chake