Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Ndugu
mtakumbuka kuwa niliahidi kuwajulisha kuhusu sakata hili la mkataba kuvunjwa
Ni kweli kuwa mkataba wa soko kukusanya ushuru na kufanya usafi kwenye soko la kilombero,ulivunjwa rasmi,baada ya jitihada kubwa,kimsingi huyu wakala alishindwa kufanya usafi,na soko kuwa chafu sana,lakini pia alishindwa kuwasilisha malipo,kwa halmashauri.Mimi kama mtetezi wa wananch nikashinikiza mkataba kuvunjwa kwa kuwa haukuwa na maslahi kwa wananch..Sasa halmashauri inakusanya mapato na hali ya usafi ni nzuri
nawasilisha
mtakumbuka kuwa niliahidi kuwajulisha kuhusu sakata hili la mkataba kuvunjwa
Ni kweli kuwa mkataba wa soko kukusanya ushuru na kufanya usafi kwenye soko la kilombero,ulivunjwa rasmi,baada ya jitihada kubwa,kimsingi huyu wakala alishindwa kufanya usafi,na soko kuwa chafu sana,lakini pia alishindwa kuwasilisha malipo,kwa halmashauri.Mimi kama mtetezi wa wananch nikashinikiza mkataba kuvunjwa kwa kuwa haukuwa na maslahi kwa wananch..Sasa halmashauri inakusanya mapato na hali ya usafi ni nzuri
nawasilisha