jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 338
Watu waliramba posho, Magari yalijazwa mafuta ya kutosha kwenda Simiyu kuhudhuria uzimaji mwenge na kumbukumbu ya kifo cha Mwl Nyerere ambacho kitaifa kwa mwaka huu ilifanyika mkoani Simiyu 14.10.2016.
Kiasi gani kilishagawiwa kwa ha maafisa/madereva na kiasi gani kimesharudishwa kwa ajili ya kuhudumia mambo mengine ya kijamii?
Msaada tafadhari
Kiasi gani kilishagawiwa kwa ha maafisa/madereva na kiasi gani kimesharudishwa kwa ajili ya kuhudumia mambo mengine ya kijamii?
Msaada tafadhari