Hahahahaa umenikumbusha clip moja jamaa anasifia wazazi wake wamemchagulia mchumba mwenye tabia njema....rafikiye akamwambia sawa ana tabia njema je? ana tako???Hongera mkuu.
Ana muonekano mzuri huyo uliyempata?
True na dunia I nachange siku za mbele mtaani humpatiWakuu,
Mtakumbuka hivi juzi nilipost uzi kuwa namtafuta Eva wangu. Mungu sio Juma Nature, nimepata!! Nilikuwa creative kwenye Post yangu ili nistand out, nisijumuishwe kwenye wahuni wanaotafuta tu casual dates.
Sasa kuna mapopoma walitoka povu eti why on JF, mtaani sijaona? n.k. Hawajui tulionao mtaani au huku uraiani ndio hawa hawa walioko JF, so it makes no difference. Kwahiyo mmeumbuka, Naomba mtu akisema anatafuta, muacheni apate.
Ova.
kupata mke ndani ya siku tatu si mchezo hongera broo.ila sijui mumewezaje kuyatumia. masaa 72 kufikia muafaka mpaka uje kutoa ushuhuda hapa.nahis kipo kitu nyuma ya paziaNi lugha tu laini ninayotumia hapa...ila ni MKE.
Mkuu kapata second hand, hao ni rahisi tu kupata na huwa wanapretend sana tabia hadi unaamini ni mke mwema sasa subiri akimgeukakupata mke ndani ya siku tatu si mchezo hongera broo.ila sijui mumewezaje kuyatumia. masaa 72 kufikia muafaka mpaka uje kutoa ushuhuda hapa.nahis kipo kitu nyuma ya pazia
hhhhh hapa ndo atajua umuhim wa kucheza ile michezo ya kibaba ba mama enzi za utoto.maana nahisi huyu hajapitia hayo hawajui hawa viumbe hata kidogo.atakuja kukimbia nyumba yake mwenyewe.mke si hawara au kimada.mke ni zaid ya dada bor ukosee kujenga utabomoa kuliko ukosee kuoa.Mkuu kapata second hand, hao ni rahisi tu kupata na huwa wanapretend sana tabia hadi unaamini ni mke mwema sasa subiri akimgeuka
Wakuu,
Mtakumbuka hivi juzi nilipost uzi kuwa namtafuta Eva wangu. Mungu sio Juma Nature, nimepata! Nilikuwa creative kwenye Post yangu ili nistand out, nisijumuishwe kwenye wahuni wanaotafuta tu casual dates.
Sasa kuna watu waliosema eti why on JF, mtaani sijaona? n.k. Hawajui tulionao mtaani au huku uraiani ndio hawa hawa walioko JF, so it makes no difference. Kwahiyo mmeumbuka.
Naomba mtu akisema anatafuta, muacheni apate.
Ova.
Hiyo mionekano mnayotafutaga kwa mabinti wa wenzenu utafikiri na nyie mna mionekeno mizuri mi naona haina maana!!!! Mwanaume unakuta una sura ngumu mtu akikuangalia mara moja imetoka hataman tena eti nawe unatafuta muonekano ptuuuuuHongera mkuu.
Ana muonekano mzuri huyo uliyempata?
Utabaki kuwa nabii wa uongo wewe!!! Kesho tu anatangaza ndoa mwenzioSidhani kama utadumu na huyo mpenzi kwa mipasho kama hii..
Hiyo mionekano mnayotafutaga kwa mabinti wa wenzenu utafikiri na nyie mna mionekeno mizuri mi naona haina maana!!!! Mwanaume unakuta una sura ngumu mtu akikuangalia mara moja imetoka hataman tena eti nawe unatafuta muonekano ptuuuuu
Sa PM nifuate nini mkuuMimi sina sura ngumu mkuu.
Kama vipi njoo PM tafadhali.
Sa PM nifuate nini mkuu
Lazima atatangaza uongo...Utabaki kuwa nabii wa uongo wewe!!! Kesho tu anatangaza ndoa mwenzio