Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
Habari wana MMU.
Nilikujaga na thread mwaka jana ya Kabila la Wakurya kuwachagulia wenzi watoto wao, watu walinishambulia sana. Im sory kwa wale ambao waliona kuwa kabila lao halina hiyo tabia.
Nilifuata ushauri wa baadhi ya watu kuwa niondoke nikaishi alone. I did that kwa kweli, nilipata nymba na kuishi kuko with my baby. We are doing okay kabisa. Tatizo ni kuwa yule niliyezaa nae aliniambia kuwa sie bado ni mume na mke na kwamba atajitahidi arekebishe kwao then tufunge ndoa kwa baraka za wazazi kwani bado ananipenda na kamwe hatokubali kuona siku moja I ammarried to another man na mwanae alelewe na baba wa kambo. Sasa toka nihame kwake,keshafika kwangu mara mbili tu, everything has changed!Yani ni kama tumeachana kabisa, na hata akipiga simu anaongea na mwanae tu, kwangu its like I never existed in his life.
Nilijaribu kumuomba tukae tuzungumze hatma ya mapenzi yetu kama yameisha ili mimi niendelee na masiha yangu, amekuwa mgumu sana kuongelea hilo na huniambia nisubiri ipo siku tutaongea. Kwa hali hii nahisi keshapata mwanamke mwingine. Natatizika sana na ninaumia sana coz wakati naanza uhusiano nae nilikuwa nishaumizwa na mtu na alilijua hilo. Kwa nini ananifanyia hivi?
One of his friends alinambia kuwa siku hizi jamaa haeleweki, anarudi home usiku wa manane na haipiti wiki hajapigwa kwenye pombe. Last week walimpiga hadi akatoka damu masikioni. Mbaya zaidi kasimamishwa kazi na hajaniambia. Mnishauri zaidi, mimi nafikiria kumdelete kabisa ktk moyo wangu tena mapema iwezekanavyo, lakini bado pia najiuliza what if siku moja akirudi na kusema kesharekebisha kwao nitafanyaje?
Niko kwenye dilema jamani ukizingatia nimeishi nae 6 years na tuna mtoto. Mbaya zaidi my baby kila siku anauliza baba yuko wapi,lol ebu mnishauri wajameni natamani kuwa na amani.
Nilikujaga na thread mwaka jana ya Kabila la Wakurya kuwachagulia wenzi watoto wao, watu walinishambulia sana. Im sory kwa wale ambao waliona kuwa kabila lao halina hiyo tabia.
Nilifuata ushauri wa baadhi ya watu kuwa niondoke nikaishi alone. I did that kwa kweli, nilipata nymba na kuishi kuko with my baby. We are doing okay kabisa. Tatizo ni kuwa yule niliyezaa nae aliniambia kuwa sie bado ni mume na mke na kwamba atajitahidi arekebishe kwao then tufunge ndoa kwa baraka za wazazi kwani bado ananipenda na kamwe hatokubali kuona siku moja I ammarried to another man na mwanae alelewe na baba wa kambo. Sasa toka nihame kwake,keshafika kwangu mara mbili tu, everything has changed!Yani ni kama tumeachana kabisa, na hata akipiga simu anaongea na mwanae tu, kwangu its like I never existed in his life.
Nilijaribu kumuomba tukae tuzungumze hatma ya mapenzi yetu kama yameisha ili mimi niendelee na masiha yangu, amekuwa mgumu sana kuongelea hilo na huniambia nisubiri ipo siku tutaongea. Kwa hali hii nahisi keshapata mwanamke mwingine. Natatizika sana na ninaumia sana coz wakati naanza uhusiano nae nilikuwa nishaumizwa na mtu na alilijua hilo. Kwa nini ananifanyia hivi?
One of his friends alinambia kuwa siku hizi jamaa haeleweki, anarudi home usiku wa manane na haipiti wiki hajapigwa kwenye pombe. Last week walimpiga hadi akatoka damu masikioni. Mbaya zaidi kasimamishwa kazi na hajaniambia. Mnishauri zaidi, mimi nafikiria kumdelete kabisa ktk moyo wangu tena mapema iwezekanavyo, lakini bado pia najiuliza what if siku moja akirudi na kusema kesharekebisha kwao nitafanyaje?
Niko kwenye dilema jamani ukizingatia nimeishi nae 6 years na tuna mtoto. Mbaya zaidi my baby kila siku anauliza baba yuko wapi,lol ebu mnishauri wajameni natamani kuwa na amani.