Ndugu heshimu sana akwambiaye ukweli hata kama ni mchungu, kabla hujalalamika hebu kubali kukosolewa sababu hakukupunguzii utu wako.Ujumbe
Ujumbe umeuelewa unachotaka kukosoa2 nyie ndo mlioshiba hamtambui mwenye njaa kama huna cha kuchangia pita kushoto watu tunahaha ajira
Jifunze sana kujishusha inapobidi sababu vitu kama uandishi ni vya kuzingatia mno kuliko unavyofikiri kwa sababu mtu akisoma mfano hilo bandiko tayari anakuengua mapema tu, ndio maana huwa watu wanashauriwa wawatafute walio vizuri wawachekie CV na barua zao.