Mramba na wenzake wanashtakiwa kwa makosa ya abuse of office na makosa yako ni kutofuata taratibu. liumba nae ndilo lilikuwa kosa lake. ukisoma hukumu ya dowans kulikuwa na ukiukaji mkubwa wa sheria. ninachoshangaa ni kwanini hawashtakiwi. kama nchi haiendeshwi kwa haki hatutafika