Lusajo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 456
- 30
Mhmm!! kainzi nomaa, nadhani umeshasikia wawili wako wapii! huyo mmoja ndio itabidi watu watuambie yuko wapiiHawa watu wanne ??? nina hamu sana ya kujua walipo sasa hivi.. Kwani nimesikia king'ora kimelia na kuna dalili mmoja wao akawa ametoweka kimoja! Lakini kati ya wote ningependa kujua Basil Mramba leo hii yuko wapi, kuna mtu anamtafuta sana...