Mramba: Another Challenge!

Mbona hamuongelei wizi wake pia? au hiyo miradi anayo-lobby imewafaidisha nyie huko Rombo mkasau kuna sehemu nyingine zilihitaji pia na alitumia madaraka ya uwaziri wake vibaya kujifaidisha mwenewe akiwa kiongozi wa kitaifa! US$ 10 mio. ziko wapi?

Mkuu, nadhani huu mjadala uko katika level ya wilaya kama mbunge. Kama mbunge wa rombo hana kashfa katika level hiyo.

Lakini tukimu-assess kama waziri wa nchi then hapo ndo hizo kashfa zinakuja which are well known na zimekuwa zikijadiliwa sana.

Kwa kuwa tunajadili swala la ubunge na katika level ya wilaya, i would rather stick to that kuliko kuchanganya mambo then at the end of the day tunakosa mwelekeo wa mada as some of the threads would end.

Hivyo kama alipromis kufanya kitu fulani, akatekeleza, na kama katika utekelezaji huo aliibia/idanganya serikali at the level ya taifa, sisi huku rombo (at the level of wilaya) haituhusu. Our performance measurement was based on the promises he made. How those promises were implemented is not realy our prime concern. The concern iko kwa yale tuliyomtuma kama kayafanikisha basi.

Hizo fitu nyingine tutajadili kama taifa ie nini kalifanyia taifa. Remember kila mbunge yuko answerable to his people yaani wa lile jimbo analoliongoza moja kwa moja. Swala la utaifa linakuja baadae na hasa pale anapopewa jukumu la kushughulikia taifa kama la uwaziri.
 
Mkuu, nadhani huu mjadala uko katika level ya wilaya kama mbunge. Kama mbunge wa rombo hana kashfa katika level hiyo.

Lakini tukimu-assess kama waziri wa nchi then hapo ndo hizo kashfa zinakuja which are well known na zimekuwa zikijadiliwa sana.

Kwa kuwa tunajadili swala la ubunge na katika level ya wilaya, i would rather stick to that kuliko kuchanganya mambo then at the end of the day tunakosa mwelekeo wa mada as some of the threads would end.

Hivyo kama alipromis kufanya kitu fulani, akatekeleza, na kama katika utekelezaji huo aliibia/idanganya serikali at the level ya taifa, sisi huku rombo (at the level of wilaya) haituhusu. Our performance measurement was based on the promises he made. How those promises were implemented is not realy our prime concern. The concern iko kwa yale tuliyomtuma kama kayafanikisha basi.

Hizo fitu nyingine tutajadili kama taifa ie nini kalifanyia taifa. Remember kila mbunge yuko answerable to his people yaani wa lile jimbo analoliongoza moja kwa moja. Swala la utaifa linakuja baadae na hasa pale anapopewa jukumu la kushughulikia taifa kama la uwaziri.
Ndo maana watu wanaposema usimpe mchagga nchi huwa wana-point maana swala ni kuwa ni vp amesaidia kwako ambapo ni kwake pia na sio ameiumiza hii nchi kiasi gani? katika utawala huo uliotukuka kwako wewe kama Mrombo acha ubinafsi huyu jamaa anatakiwa awakilishe Warombo Segerea au Keko na si kuwakilisha watu bungeni!
 
Mkuu, nadhani huu mjadala uko katika level ya wilaya kama mbunge. Kama mbunge wa rombo hana kashfa katika level hiyo.

Lakini tukimu-assess kama waziri wa nchi then hapo ndo hizo kashfa zinakuja which are well known na zimekuwa zikijadiliwa sana.

Kwa kuwa tunajadili swala la ubunge na katika level ya wilaya, i would rather stick to that kuliko kuchanganya mambo then at the end of the day tunakosa mwelekeo wa mada as some of the threads would end.

Hivyo kama alipromis kufanya kitu fulani, akatekeleza, na kama katika utekelezaji huo aliibia/idanganya serikali at the level ya taifa, sisi huku rombo (at the level of wilaya) haituhusu. Our performance measurement was based on the promises he made. How those promises were implemented is not realy our prime concern. The concern iko kwa yale tuliyomtuma kama kayafanikisha basi.

Hizo fitu nyingine tutajadili kama taifa ie nini kalifanyia taifa. Remember kila mbunge yuko answerable to his people yaani wa lile jimbo analoliongoza moja kwa moja. Swala la utaifa linakuja baadae na hasa pale anapopewa jukumu la kushughulikia taifa kama la uwaziri.

- Sawa sawa mkuu, hapo tupo pamoja sana.

FMEs!
 
Mramba bado ana nguvu lazima tuseme ukweli! Mimi nimefanya utafiti kdg, inaonesha hivyo!
 
- Mkuu Ben heshima yako sana, Mramba ana nguvu ya Kisumo (Mtandao) behind him na ninaamini sana kwamba anakubalika sana na wananchi wa huko Rombo, I mean mnyonge mnyongeni! au?

Respect.

FMEs!


Salute kwako Mkuu...

Kwa kweli Mramba ana nguvu sana ingawa watu hawataki kuamini..Mimi si mfuasi wa chama chake lakini tunapochambua siasa ni bora tuwe biased.

Kwa sasa hivi labda tu aone aibu kugombea na au ajitokeze mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufanya kampeni

Ninavyojua huyu jama ofcourse ni mchapakazi sana ingawa ana kiburi.Ktika fundraising huyu jama namkubali,nadhani huyu yuko fiti kulingana na Taaluma yake.Hata kama ningekua mbunge wa Rombo leo hii still ushauri wake ningeuhitaji katika ishu flani flani,watu wapende wasipende.Ufisadi wake atajua na mahakama lakini akili yake ningeihitaji katika kuongeza maarifa yatakayoliletea maendeleo jimbo la Rombo

Pia pamoja na uwezo wake wa kuloby pia kunao malobsts wengi nyuma yake kama akina Ngaleko,kisumo na usishangae hata Mengi yumo ndani ingawa Mengi haziivi sana mkulu wetu wa Zamani mkapa ambaye pia yuko close sana na Mramba na ni zaidi ya marafiki.

Wale matajiri uliokua ukiwaskia walikua side ya Mramba kama akina njiwa,Urassa nk.

Kiboko yake ni kampeni kali ya nyumba kwa nyumba tu maanake kwa mikutano ya hadhara tu ni kazi ila sema nguvu yake itapungua kutokana na hii sheria mpya..ila ni mjanja sana.kuna babadhi ya madiwani amewatenga,hao ukiwatumia vizuri basi Mramba hana chake
 
did you mean this Kisumo?

Why Kisumo is Right

12 January 2010

The chairman of the CCM Council of Trustees, Mr Peter Kisumo, is likely to have trodden on some sore toes after calling on elderly MPs and councillors not to seek re-election in the forthcoming General Election.
It is highly unusual for our parliamentarians and civic leaders to step down on account of age alone, which means that Mr Kisumo's suggestion is bound come against stiff opposition from some quarters.


However, for a country that has been harping about the youth being tomorrow's nation for the past 48 years, Mr Kisumo's call makes a lot of sense.
One would have expected parliamentarians and MPs who have served several terms to voluntarily step down and give new blood the opportunity to take over.
Long-serving MPs Paul Kimiti and Chrisant Mzindakaya have shown the way by declaring that they will not seek re-election in the October General Election.
Granted, there are some veteran MPs who have served their voters very well over the years, which explains why they have been easily retaining their seats.
However, this does not mean that there aren't younger politicians around who can perform the task equally well or even better.
We are sure Mr Kisumo's proposal was made in good faith, and it would be unfortunate if anybody takes offence.
http://allafrica.com/stories/201001120708.html

Naomba kuuliza, huyu mtu alishawahi kubwagwa 1995 na huo mtandao wake wote ulikuwapo sasa sijui mnaongea nini? Rombo si ya Mramba na hao matajiri mnaoongelea peke yake hao watu watakuwepo na wataondoka wataiacha Rombo kama ilivyo!
 
Linganisha mazingira ya muda ule na ya sasa.

Hakuna mtu anaebisha kwamba hawezi toka,kumbuka tunaongelea kuwa na nguvu mkuu!
 
Mramba ni muhimu akakaa pembeni,hivi haoni aibu?anataka system ndio imteme badala ya yeye mwenyewe kwa hiyari yake kuachia ngazi mapema?
 
..mimi nadhani Mramba asigombee tena ubunge. he has become too much of a distraction and polarizing figure in Tanzanian politics. wananchi wa Rombo wanahitaji mwakilishi mwingine ambaye hana matatizo kama yanayomwandama Mramba.
 
hawa wanaomtetea Mramba wametumwa! Naona siasa za Kenya zinaanza kushika mizizi Tanzania kuna watu hapa hoja zao ni barabara waliyopelekewa huko Rombo na si kiasi gani anatakiwa kuwa accountable kwa upotevu wa fedha za walipa kodi wa nchi hii! Tuache siasa za ubinafsi jamani hako kamtu kanapaswa kawe Keko sasa! Rombo kuna watu zaidi ya 200,000 na katika hao lazma kutakuwa na wenye sifa za uongozi bora yaani kuchukua barton na kuliepusha jimbo na balaa la kutengwa kwake na serikali na bunge maana hawamtaki! Hizo hela zake anazotaka kuhonga ni bora awekeze maana atabwagwa hata akipita ndani ya CCM!
 
..mimi nadhani Mramba asigombee tena ubunge. he has become too much of a distraction and polarizing figure in Tanzanian politics. wananchi wa Rombo wanahitaji mwakilishi mwingine ambaye hana matatizo kama yanayomwandama Mramba.

....your statement itakuwa sawa kama itatoka direct from CCM........lakini hiyo haitakuwa kutoka kwa wa-Rombo
 
mkuu hiyo kesi inaelekea kwisha kabla ya october.

jimboni rombo ile barabara ya lami (moshi mjini > marangu > rombo > tarakea) ndio inaelekea kukamilika...wapiga kura wetu wana desturi ya kuunganisha mafanikio kama haya na mbunge wao moja kwa moja. So, mramba jimboni kwake; kisiasa he is very much alive and kicking..!!
yebo yebo ukiamua kutuliza akili zako huwa unaandika vitu vya maana sana.lakini wakati mwingine huwa sikuelewi kama vile ulivyosema kuwa shayo ni associate professor nilikushangaa sana.
 
kuhakiksha jimbo linaimarika kiuchumi kutokana na faida ya kuwemo soko la pamoja East Africa.

Ben: Hakuna faida yoyote ya maana kwa Tanzania kuingia kwenye 'soko la pamoja' la EAC.
 
....your statement itakuwa sawa kama itatoka direct from CCM........lakini hiyo haitakuwa kutoka kwa wa-Rombo
Ndo manake CCM hawawezi ku-risk kupoteza jimbo kwa kumsimamisha mtu aliye na kesi ya wizi! Ajitulize zake na kutatua suala la kesi yake! Warombo wapi unaowasemea wewe? sio Watanzania hao Warombo au wanatoka Mars?
 
Ben: Hakuna faida yoyote ya maana kwa Tanzania kuingia kwenye 'soko la pamoja' la EAC.
Acha lugha za mitaani wewe kama unatoka mipakani sidhani kama hii argument imefikirika! ni kama mtu aliye Tunduma au Namanga aseme SADC au EAC haina faida yeyote! fanya uchunguzi utajua the volume of trade mnayofanya huko na watu wa upande wa pili kwa vile hili ni jambo lisilozuilika! sasa kama bidhaa na biashara ikiboreshwa ina maaana mtapata hasara sio? what if mtauza siagi au yibini au maziwa mgando yenye ubora na viwango badala ya maziwa fresh! thamani ya fedha itapungua sio? what if mkiwa na formal soko la kuuzia hizi bidhaa kama ndizi na maharage? Mtakuwa na nguvu ya ku-negotiate kuliko mwanakijiji mmoja mmoja kukatiza mpaka na kuuza peke yake sio, kitu ambacho naamini ndo kinaendelea sasa!
 
Ben: Hakuna faida yoyote ya maana kwa Tanzania kuingia kwenye 'soko la pamoja' la EAC.


Mkuu,

You cant be serious...

Ingawa napinga soko la pamoja ambalo tunaingia bila maandalizi ya kutosha,still sikubaliani na kauli yako hapa Juu.

Soko la pamoja linatusaidia kwa kuwa tutakua na idadi kubwa ya watu,kutakua na purchasing power kubwa

Tutakua na sauti katika masoko ya kimataifa kwani tutawakilisha block kubwa ya soko lenye nguvu

Pia,tunaweza kuwa na monopoly ktk kuamua bei za bidhaa na bargaining power kubwa zaidi

Wafanyabishara watakua katika nafasi nzuri kuzuia upotevu wa hela unaotokea kutokana na kubadilisha fedha kwani kutakua na matumizi ya sarafu moja

Disadvantage kwetu,

Hatuna domestic industries za kutosha

Elimu mgogoro na pia serikali haifanyi jitihada za kutosha kuwaandaa wananchi kuingia EAC market


Cha kufanya katika Jimbo la Rombo!

-Barabara ya lami ikamilike Marangu-Tarakea

-Kujengwe soko kubwa la kimataifa maeneo ya tarakea

-sekta ya utalii ichukuliwe serious kwa kuwekeza ktk tourism industry kama vile waewekezaji wa mahoteli,financial institutions,travelling agencies and consultants,usalama uimarishwe,pia kituo kikubwa cha kimataifa cha mabasi nk

-ukanda wa chini kuna ukame lakini miradi mikubwa ya umwagiliaji ianzishwe

-viwanda vya kusindika mazo,matunda kwa kuanzia,pia viwanda vya maziwa ili kuzuia wale wakenya wanaochukua maziwa frm Arusha wanaenda kuyapeleka viwandani nairobi,so sisi tunaweza anzisha mradi wa maziwa na yakauzwa kutoka tanzania.

nitakuja tena hapa baade

-
 
Halafu wakuu,Naomba kuweka jambo moja sawa.

-Mimi simtetei Mramba na sitaki arudi bungeni kupitia wananchi wa Rombo

-Mramba ana kesi za ufisadi ambazo zinamkabili na kama Mtanzania mzalendo kabisa sipendi kumwona mtu wa aina hii akiuwakilisha umma ambao aliuibia.hapa ikumbukwe kuwa hela alizoiba ni nyingine tofauti kabisa na zilizojenga barabara ambayo ni haki ya walipa kodi wa Rombo!

-Pia nikifikiria kiuchumi nimesma hata huko nyuma mramba katenda dhambi ya mgawanyo rasliamali usio na uwiano kitaifa

-kama mwananchi wa Rombo barabara ni ya muhimu,pia lazima nimshukuru kwa kutimiza ahadi ingawa babrabara nzuri ni haki yetu na ilikua ni wajibu wake kuipigania

-Pamoja na ufisadi wake,elimu yake na maarifa yake ktk kuhamasisha fundraising kwa ajili ya miradi ya jimbo lake ni mchango wa muhimu kwa mbunge atakaekuja kwani jimbo la Rombo bado litajengewa kwa ushirikiano.Mawazo ya kizamani kwamba aliyekutangulia huwezi mshirkisha ktk shughuli za maendeleo ni upuuzi ambao naupinga

-Mramba bado ana nguvu ktk jimbo la Rombo,huo ndio ukweli hata kama hamtaki

-Huyo mama netburga anaweza kuwa mbunge mzuri,je ana tofauti gani na Mramba?
-Ana uwezo gani wa kuhimili changamoto zinazolikabili lile jimbo?
-Mimi naona Jimbo la rombo linahitaji mbunge makini na mwenye uwezo zaidi ya Mramba na huyu mama,bila kujali antoka chama gani!

-Kuna hawa wakuu wengiine kama akina Edward kinabo na Joseph selasini wa CHADEMA waliotangaza kugombea,nao tunahitaji kuwajadili...
 
Ndio Mramba ni msomi na mjanja.

Mramba ana weakness zake pia.

Kwanza mramba anawajali baadhi ya matajiri wachache wa Rombo, na anawabagua matajiri wengine.

Kibaya zaidi amewasahau wananchi wa kawaida.

Ameshindwa Tatizo la Maji kwa ukanda wa chini kabisa. Tatizo la maji lipo Tangu mwaka 1995 na halijapata ufumbuzi.

Wameleta kampuni ya Kili water, imesambaza mabomba kwa mchango wa nguvu za wananchi. Lakini hakuna hata siku moja mabomba hayo yametoa maji.Hakuna maji kabisa.

Afya: Afya bado sana. Hakuna Hospitali Ya serikali, Huruma ni ya Missionary.

Mtu akiwa Rongai au Tarakea na anaumwa itakuwaje, na hakuna ambulance???

Mashule: Mashule yamejengwa kwa nguvu za wananchi.

Ila suala la Maji ni issue kubwa na ni Tatizo sugu.

Sasa kwa miaka kumi akiwa Mbunge na Waziri alishindwa kutatua tatizo la Maji?

Kuanzia 2010 hadi 2015 ndo atafanya miujiza? na atakuwa hana nguvu bungeni kwa sababu ya kesi ya ufisadi.

Jiulizeni
 
Back
Top Bottom