Mramba: Another Challenge!

Katika muda wote niliokaa pale LAPF Iringa, SIKUWAHI kuona akikaa ofisini kwa siku 5 za wiki za kazi Consecutively.Kila siku ni Trips kuzungukia "MAKUSANYO" ya michango. Ukweli ni kuwa alikuwa anakula imprest na per diem tu lakini kazi hakuwa akifanya. Staff wake woooote walikuwa wanamwogopa kuliko wanavyomwogopa shetani. Alikuwepo dada mmoja (sijui kama yupo hadi sasa) anaitwa Amina yeye ndo alikuwa anamchana live. Wengine wote walikuwa wanamwogopa.

Huyu mama aliwahi kuwa mkurugenzi wa idara moja pale LAPF HQ, wakamdemote kumleta kanda ya Kusini (Iringa) kwakuwa HAKUWA na mahusiano mazuri na staff wake. Akafight aka honga lakini akachemsha. Baadae WM huyu alipoutata u-PM baada ya EL akarudishwa tena HQ ambapo na po hakukaa, nasikia Mkurugenzi mkuu wa LAPF alikataa kufanmya nae kazi. Kwakuwa LAPF na ofisi anayofanyia kazi zipo chini ya WM, kilichofanywa ni kuhamishwa tu. Kuchapa kazi sio tatizo maana hata Muungwana nae ni Mchapa kazi lakini katika uongozi, vitu vitatu vinatazamwa, 1. Resources (watu=equipments), 2. Rerations (dhidi yako na watu=equipments) then Results.
Relations+Relations=Results.
Ukiitazama hiyo hesabu utagundua ni kwa nini huyu mama HAFAI
wewe acha character assasination hujasema makusanyo yalikuwa mangapi bado? per diem na makusanyo mazuri yanaruhusiwa na inasikitisha ya kuwa sasa unaanza kujirudi so yuko under WM na mahusiano yake na Pinda tunaomba utueleze! maana umesema ana mahusiano nae ni Pinda au Pinda na Mama Pinda? na ana uhusiano na Pinda family tu au na wabunge wote wa Sumbawanga yaani wakina Mzindakaya na Kimiti?

Kwa kifupi habari za kuaminika zinasema huyu mama walimtoa LAPF kwa vile waliona ni kizingiti katika wizi wao! ripoti ya ukaguzi wa serikali inasema jinsi hela zinazoliwa huko LAPF hata Marehemu Bura Mkurugenzi Mkuu kipindi hiko alikataliwa kuongezewa mkataba kisa Millenium Tower that was overprized almost twice the amount! na hiyo ripoti ya CAG unaiongeleaje? Ndo unataka kutuambia huyu mama amewa-convince CAG kutoa hiyo ripoti yenye upotevu wa fedha sio! Relation + bogus peopl e= failure
 
Mi nafikiri hawa wazee wakae pembeni tu wameishayatumikia matumbo yao kwa muda mrefu sana. Tuangalie damu mpya siyo kila uchaguzi kina Mramba, Tingatinga, Kingunge (bora huyu yeye aliacha kugombea akateuliwa na JK).

Ila kwa upande mungine wa shillingi hawa jamaa wameona mizizi hasa kwani walitumia nafasi zao walipokuwa serikali kupeleka miradi majimboni mwao kwa upendeleo. kuwa-challenge unatakiwa uwe umejiandaa hasa
 
jimbo la rombo ni la joseph selasini to loose, jamaa anajulikana sana na wananchi wa rombo. huyu mama ajulikani kabisa rombo na ukizingatia yeye ni mwanamke na tabia za watombo kuhusu mwanamke ni sababu tosha hawezi kupata.
baba yake joseph selasini ana uwezo mkubwa sana wa kumobilize voters wa rombo na ukizingatia yeye ametoka mkuu ambayo ndiyo central na ina watu wengi sana rombo.
sth not right here (the red words)! Na isitoshe, baba yake Selasini ni CCM pure so huyo Selasini atashindaje kwa tiketi ya Chadema?
 
ubunge wa Rombo ni zaidi ya kuonyesha uwezo wa kupanda mlima kilimanjaro,ni zaidi ya kuwa mwandishi wa habari ni zaidi ya kuwa waziri wa fedha,miundombinu na ni zaidi ya kuwa m/ mwenyekiti wa TANROADS mkoa.Hapa najua nitaeleweka na wachache.Nitarudi bado
lakini kupanda mlima at what cause? according to Madaraka Nyerere's blog ilikuwa fund raising ya kujenga shule chini ya Mwl Nyerere foundation! So mbali na kudhibitisha yuko fit ameshiriki kwenye ku-raise hela za madarasa ya walala hoi huko Musoma! Kuna baya kuhusu hilo?
 
Huwezi kunichagulia cha kuongelea, naongea chochote popote. Huwezi kuleta swaga za Mramba halafu utake swaga za Malecela ziachwe.

Hapa mbarrtata kila siku, hakuna matata so recovering is irrelevant, got it dogo?

- I always have the right kujibu, pole kaka nakutakia recovery njema, ila anza kuongelea wakimbizi kwanza kama kweli uko serious! and then we can move on na mengine, mikimbizi bwana Bwa! ha! ha! ha!


- Bila ya Malecela na Lusinde ingekuaje wewe acha kujivua nguo hapa! Bwa! ha! ha! and yes I got it now! bring it on!


Es
 
- Wananchi wa Rombo walioko humu watusaidie kuelewa hali halisi ya huko ground zero, otherwise tutauana vichwa bure hapa, maana si unajua kwako terrorist kwangu a freedom fighter, sasa wanachi wa Rombo tuwekeni sana hapa,

- Maana huedna Mramba hafai kwa taifa, lakini anafaa kwa Rombo, in the end ni wananchi wa rombo ndio wanao-matter!

Respect.


FMEs!
 
..........hata Marehemu Bura Mkurugenzi Mkuu kipindi hiko alikataliwa kuongezewa mkataba kisa Millenium Tower that was overprized almost twice the amount! na hiyo ripoti ya CAG unaiongeleaje? .........

Kudos Mkuu.....na watu waunganishe dots sasa.............
 
Ikuluye Sikonge,
Kiongozi mzuri ni pamoja na kuwa na sifa ya PR nzuri. Hata kama ni mkali basi anatakiwa kuonyesha ukali wake katika hali inayotakiwa. Kuna watu ni wakali sana, lakini pia wana PR nzuri na watu wa chini yao. Hata Lowassa alikuwa mchapa kazi mzuri sana, lakini hakuwa na PR nzuri na ndiyo maana siku alipotangaza kuachia ngazi watu wengi sana walishangilia. Bado ninaona kwamba PR ni kitu muhimu sana katika uongozi.

Wakuu Gezaulole na MzittoKabwela,
Unaweza kuwa na makusanyo mazuri sana, lakini kama kuna matobo hayajazibwa basi hapo lazima kuwe na mshkheli. MzittoKabwela ninamsikiliza na hoja zake nawe pia ninakusikiliza hoja zako. Unajua kila shetani na mbuyu wake, mzuri kwangu kwa mwingine ni mbaya sana, inategemeana na jinsi hao watu wanavyo interact.

Kuna mahali mmesema huyu mama aliondolewa LAPF makao makuu sababu ya kauzibe, swali langu ni moja, alikuwa na rank gani mpaka aonekane anaziba ulaji? Kama alikuwa Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, basi nitakuelewa kirahisi, lakini kama ni nje ya hapo, sioni kwa namna yoyote jinsi anavyohusika na kuweka uzibe.

Miradi mikubwa kama Millenium Tower inahitaji baraka za Bodi ya Wakurugenzi. Bodi ikishapitisha mradi, hakuna mkurugenzi wa ndani ambaye anaweza ku-question zaidi ya kutekeleza kulingana na maelekezo ya Bodi. Hapa ninaomba turejee kesi ya Liyumba jinsi inavyoyumba huko mahakamani kwa kuwa Bodi ilibariki kila kitu, kwa hiyo watu wa kuweka wa uzibe ni Bodi, na si mtu mwingine.

Pia naomba kuelewa utaratibu ambao huwa unatumika kuteua wakurugenzi wa ndani ambao ni nje ya Mkurugenzi Mkuu. Je, Waziri Mkuu ndo mteuzi wao ama huwa wanateuliwa na Mkurugenzi Mkuu wa LAPF?

Kama wanateuliwa na Mkurugenzi Mkuu, Waziri Mkuu anahusika vipi na uhamisho wa huyo mama kutoka HQ kwenda Iringa, na baadaye kurudi tena Iringa? Maana nimeona mahali mara sijui alikataliwa na Mkurugenzi Mkuu, mara sijui ilikuwaje? Naomba ufafanuzi kiasi hasa kutoka kwa Mkuu MzittoKabwela maana wewe umefanya/unafanya kazi LAPF.

Kwa wenye ufahamu wa muundo wa LAPF pamoja na appontments za ndani tupeni mwanga ili tukisoma post tuweze kuchambua chuya na mchele. Wenye akili zetu tutajua lipi ni jungu na lipi lina ukweli. Vinginevyo tunaweza kumhukumu huyu mama kwa kuangalia maandishi ya mtu ambaye ni kipenzi chake ama mbaya wake.

Tukipata maelezo ambayo ni balanced ni rahisi kutenda haki ya kum-assess maana magazeti yetu ya Bongo huwa yanakuja kuchota news hapa hapa based on michango yetu.
 
Ikuluye Sikonge,
Kiongozi mzuri ni pamoja na kuwa na sifa ya PR nzuri. Hata kama ni mkali basi anatakiwa kuonyesha ukali wake katika hali inayotakiwa. Kuna watu ni wakali sana, lakini pia wana PR nzuri na watu wa chini yao. Hata Lowassa alikuwa mchapa kazi mzuri sana, lakini hakuwa na PR nzuri na ndiyo maana siku alipotangaza kuachia ngazi watu wengi sana walishangilia. Bado ninaona kwamba PR ni kitu muhimu sana katika uongozi.

Wakuu Gezaulole na MzittoKabwela,
Unaweza kuwa na makusanyo mazuri sana, lakini kama kuna matobo hayajazibwa basi hapo lazima kuwe na mshkheli. MzittoKabwela ninamsikiliza na hoja zake nawe pia ninakusikiliza hoja zako. Unajua kila shetani na mbuyu wake, mzuri kwangu kwa mwingine ni mbaya sana, inategemeana na jinsi hao watu wanavyo interact.

Kuna mahali mmesema huyu mama aliondolewa LAPF makao makuu sababu ya kauzibe, swali langu ni moja, alikuwa na rank gani mpaka aonekane anaziba ulaji? Kama alikuwa Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, basi nitakuelewa kirahisi, lakini kama ni nje ya hapo, sioni kwa namna yoyote jinsi anavyohusika na kuweka uzibe.

Miradi mikubwa kama Millenium Tower inahitaji baraka za Bodi ya Wakurugenzi. Bodi ikishapitisha mradi, hakuna mkurugenzi wa ndani ambaye anaweza ku-question zaidi ya kutekeleza kulingana na maelekezo ya Bodi. Hapa ninaomba turejee kesi ya Liyumba jinsi inavyoyumba huko mahakamani kwa kuwa Bodi ilibariki kila kitu, kwa hiyo watu wa kuweka wa uzibe ni Bodi, na si mtu mwingine.

Pia naomba kuelewa utaratibu ambao huwa unatumika kuteua wakurugenzi wa ndani ambao ni nje ya Mkurugenzi Mkuu. Je, Waziri Mkuu ndo mteuzi wao ama huwa wanateuliwa na Mkurugenzi Mkuu wa LAPF?

Kama wanateuliwa na Mkurugenzi Mkuu, Waziri Mkuu anahusika vipi na uhamisho wa huyo mama kutoka HQ kwenda Iringa, na baadaye kurudi tena Iringa? Maana nimeona mahali mara sijui alikataliwa na Mkurugenzi Mkuu, mara sijui ilikuwaje? Naomba ufafanuzi kiasi hasa kutoka kwa Mkuu MzittoKabwela maana wewe umefanya/unafanya kazi LAPF.

Kwa wenye ufahamu wa muundo wa LAPF pamoja na appontments za ndani tupeni mwanga ili tukisoma post tuweze kuchambua chuya na mchele. Wenye akili zetu tutajua lipi ni jungu na lipi lina ukweli. Vinginevyo tunaweza kumhukumu huyu mama kwa kuangalia maandishi ya mtu ambaye ni kipenzi chake ama mbaya wake.

Tukipata maelezo ambayo ni balanced ni rahisi kutenda haki ya kum-assess maana magazeti yetu ya Bongo huwa yanakuja kuchota news hapa hapa based on michango yetu.
Kuna kitu kinaitwa whistle blowing mkuu, hata ukiwa si Mkurugenzi wa Finance unaweza kuwa Mkurugenzi wa Human Resources and Administration au idara yeyote nyingine na ukaonekana kauzibe mbali ya hayo Mkurugenzi Mkuu mbali ya kuwa sio muajiri lakini ana nguvu ya kukusimamisha kazi au kukufukuza na it takes kuhonga board wakanyamaza (board zetu zina wanasiasa njaa mara nyingi). Na board nyingi huwa zinahongwa! jiulize ile ripoti ya CAG kuhusu LAPF na matumizi mabaya na kuihusisha na kufilisika imeishia wapi? Na pia kuhusu gharama halisi ya Millenium tower? inaweza kukusaidia maana baada ya hiyo ripoti kutoka LAPF walihonga kupewa zawadi baada ya hapo kama mkusanyaji mzuri wa Pension kupitia institution nyingine! Sasa mbona CAG hawakuomba msamaha kwa kuwabambikia hiyo ripoti au mbona LAPF hawakuenda mahakamani kwa kuchafuliwa? naombeni mjiulize jamani na tuache Character assasination itakuwa vizuri kama mafanikio yake at her positions yakiambatanishwa na huko kumfukuza dereva ambaye inasemekana alilewa akafanya fujo guest alipofikia huyu dereva kipindi wako safarini akashitakiwa kwa huyu mama ambaye ni bosi wake! Akamsimamisha kazi! Sasa ni adhabu gani hupewa mtu wa namna hiyo! Uko safarini na bosi wako ukimuendesha then unauchapa ulabu unapigana na walevi wenzako watu wa hotel/guest uliyofikia wanaenda kushtaki kwa bosi wako! tujiulize sheria za kazi zinasemaje kwa kosa kama hilo!
 
Jimboni Rombo ile Barabara ya Lami (Moshi Mjini > Marangu > Rombo > Tarakea) ndio inaelekea kukamilika...wapiga kura wetu wana desturi ya kuunganisha mafanikio kama haya na Mbunge wao moja kwa moja. ...!!

True Mkuu, Huku kwetu hatuna longo longo... tulihitaji maji akaleta. Akaahidi barabara hakuleta tukawapa chadema, then akarudi akatuhakikishia barabara tukampa na akaileta ingawa ilikuwa kwa mbinde pale bungeni.

wewe acha kujidanganya unajua Mramba aliiba kura uchaguzi wa 2000 dhidi ya Salakana wa Chadema! na Chadema walipoenda mahakamani walikuwa washinde kesi ndo Mkapa akaingilia kati na kuomba kesi isuluhishwe nje ya mahakama! na hiyo barabara ya Marangu-Rombo-Tarakea-Rongai unayoongelea ni moja ya ahadi za Mkapa pamoja na kulipa gharama za uchaguzi za Chadema kwahiyo ile barabara ni juhudi za Chadema na sio Mramba! Kwa watu wanaojua siasa za Rombo watakuambia Mramba na swahiba wake Ngaleku hawana chao pale!

Nakuhakikishia Mkuu taarifa hizi huku rombo hatuzijui. Tunachojua barabara ya lami imekuja (be it from whoever, whatever situation...we do not really care) cha msingi tumepata barabara ya lami tuliyokuwa tunahitaji. Huku longo longo si nyingi sana. Kuleta kwake barabara tena kwa kuchelewa hakumaanishi ni lazima tumpe kura...itategemea na upepo na ni nini tutakachokuwa tunahitaji kwa muda huo. Sie huku tuko a bit dynamic

-
- Maana huedna Mramba hafai kwa taifa, lakini anafaa kwa Rombo, in the end ni wananchi wa rombo ndio wanao-matter!

You could be right coz hata jamaa tulio mweka (wa chadema) baada ya Mramba kutuletea longolongo hakufanya chochote -- ofcourse hatukuwa na mategemeo makubwa toka kwake, ila tulikuwa tunataka kumfundisha mramba somo kwamba asifikiri kwamba alipokuwa anatoa ahadi hatekelezi tungemwacha tu aendelee kutupiga dana dana kwa kuwa anauwezo wa kuwa waziri. Basi tuliamua kumweka mtu yeyote sababu tu ajue tunauwezo wa kumtoa. Kweli ilitusaidia sana maana hakuamini kama angetolewa those days matokeo yake tulipomrudisha akafanya kweli ---ingawa ilim-cost mambo mengi pale bungeni.
 
CCM haiwezi kutoa mbunge MSAFI na wa MAANA nchi hii. Angalau kwa hali waliomo kwa sasa.
 
True Mkuu, Huku kwetu hatuna longo longo... tulihitaji maji akaleta. Akaahidi barabara hakuleta tukawapa chadema, then akarudi akatuhakikishia barabara tukampa na akaileta ingawa ilikuwa kwa mbinde pale bungeni.



Nakuhakikishia Mkuu taarifa hizi huku rombo hatuzijui. Tunachojua barabara ya lami imekuja (be it from whoever, whatever situation...we do not really care) cha msingi tumepata barabara ya lami tuliyokuwa tunahitaji. Huku longo longo si nyingi sana. Kuleta kwake barabara tena kwa kuchelewa hakumaanishi ni lazima tumpe kura...itategemea na upepo na ni nini tutakachokuwa tunahitaji kwa muda huo. Sie huku tuko a bit dynamic



You could be right coz hata jamaa tulio mweka (wa chadema) baada ya Mramba kutuletea longolongo hakufanya chochote -- ofcourse hatukuwa na mategemeo makubwa toka kwake, ila tulikuwa tunataka kumfundisha mramba somo kwamba asifikiri kwamba alipokuwa anatoa ahadi hatekelezi tungemwacha tu aendelee kutupiga dana dana kwa kuwa anauwezo wa kuwa waziri. Basi tuliamua kumweka mtu yeyote sababu tu ajue tunauwezo wa kumtoa. Kweli ilitusaidia sana maana hakuamini kama angetolewa those days matokeo yake tulipomrudisha akafanya kweli ---ingawa ilim-cost mambo mengi pale bungeni.

- Ahsante sana mkuu Sharp angalau sasa tunapata picha halisi ya kinachoendelea huko ground zero, inaonekana Mramba anakubalika sana huko jimboni maana vitu vyake vipo na vinaonekana, wakuu wengine mnasemaje apewe tena huyu, au?

Respect.


FMEs!
 
- Ahsante sana mkuu Sharp angalau sasa tunapata picha halisi ya kinachoendelea huko ground zero, inaonekana Mramba anakubalika sana huko jimboni maana vitu vyake vipo na vinaonekana, wakuu wengine mnasemaje apewe tena huyu, au?

Respect.

FMEs!
Mramba is too risky to represent any constituent right now if i were a Rombo voter in the coming election! May be he brought a road, but does that qualify him to keep on representing the interest of all Rombo people with all the scandals he carries? what about his relation with the current government that will carry on ruling coming 2011? It is obviously CCM doesn't want him! otherwise explain to me why RA, AC, EL who have scandals just like him are not facing any charges! You guys open your eyes, that guy needs to go! Rombo is too big for his self interest to supersede that of over 200,000 Rombo residents!
 
lakini kupanda mlima at what cause? according to Madaraka Nyerere's blog ilikuwa fund raising ya kujenga shule chini ya Mwl Nyerere foundation! So mbali na kudhibitisha yuko fit ameshiriki kwenye ku-raise hela za madarasa ya walala hoi huko Musoma! Kuna baya kuhusu hilo?


So,mkuu unashindwa kweli kufanya calculations hapa?ndoto ya huyu mama kutaka kugombea ubunge haikuanza alipotangaza,kupanda mlima kwa ajili ya fund raising ni ktk mbwembwe za kisiasa tu.

So,kitu alichofanya ni kujitafutia umaarufu wa kisiasa,coz hata hilo la ku-raise fund ingawa si mbaya but kalifanya kipindi cha kampeni ya kujitangaza

Ok,katika jimbo la Rombo mkuu yeyote mwenye dataz tafadhali aje hapa atuambie kafanya nini?

Otherwise wananchi wa rombo inabidi kuwa makini ili asijejitokeza Mbunge wa hovyo asiye na vision na Jimbo la Rombo.Kuna baadhi ya changamoto ambazo nimezitaja huko page za nyuma.Rombo inahitaji mbunge msikivu,mchapa kazi,mwenye PR nzuri na watu,mwenye malengo ya muda mrefu hasa ktk kuanzisha miradi mikubwa na vitega uchumi vitakavopandisha pato la mwananchi ambalo kwa sasa linawaweka wananchi ktk high degree of poverty.Per capital income ya Mrombo inakadiriwa kuwa 0.5 $ (us dollars) au sawa na sh.650.

Ina maana watu wanaishi chini ya poverty line by far.Mbunge anayetakiwa ni mwenye PR nzuri ili aweze kuunganisha raslimali,of which record ya huyu mama si mchapa kazi badala yake ni mtishaji according to maelezo ya watu waliofanya nae kazi.

By the way kuna mtu huko nyuma kaita huyu mama ni kijana..hebu tupeni CV yake na umri wake.Harakati za kupigania maendeleo kwenye jimbo lililokaa kimkakati kama la Rombo si masikhara,hata mramba yangemshinda kama si kutumia madaraka yake vibaya na nguvu nyingi ili kuleta maji na babrabara
 
Mimi ninamfahamu huyu mama kwakuwa nilifanya nae kazi Iringa wakati huo akiwa meneja wa kanda LAPF miaka ya 2005-2008.
Huyu mama ni MKOROFI KULIKO MNAVYOMFIKIRIA. Anazo hizo qualifications za utawala lakini kwenye masuala ya Relations na wafanyakazi wenzake huyu mama ni SIFURI. Hana lugha nzuri, mbabe, anakutumikisha anavyotaka na ole wako umchallenge! Alimfukuza kazi dereva wake alikua anaitwa Mwakingwe kwa sababu za kipuuzi, Mwakingwe akakata rufaa akashinda akahamishiwa Arusha. Hafai.....

Kwenye hiyo nafasi ya Ubunge Pinda anam-back-up, nasikia wanamahusiano (sina hakika ni mahusiano ya nini kwakuwa huyu mama HANA mume) na walifahamiana huko huko Sumbawanga (kwa hulka yake ni vigumu kuwa na mume) ingawa ni mzuri sana(sura+body structure)
Ukiwa unaongea nae hivi kwa mara ya kwanza kama humfahamu, utajua huyu ni mtu wa maana, mzoee uone!!
Nafasi aliyonayo Mama Six yeye pia aliigombea 2005 akaangukia pua.

Anapenda siasa, anatumia muda mwingi kwenye siasa, LAPF Hawamtaki sio kwa sababu ya RUSHWA ila kufanya kazi na huyu mama kunahitaji UWENDAWAZIMU adhawaiz utafeli tu.
Huu ni UKWELI, Geza ulole usiudanganye umma wa great thinkers bana

Kama huyu mama anazo sifa hizo basi anafaa kabisa kuwa RAIS wa nchi yetu!

Mramba hana 'hatimiliki' ya kuwa Mbunge wa Rombo maisha yake yote. Tayari kukumbwa na kashfa ya kutumia vibaya madaraka yake akiwa Waziri na Mbunge ni sababu tosha ya kum-DISCO.

Wapo Watanzania wengine wengi ambao wana uwezo wa kushika nyadhifa mbalimbali kama vile Ubunge na kuweza kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa zaidi ya Wabunge wanaodhani wana 'hatimiliki' ya majimbo yao.

'Ukorofi' na 'Ubabe' wa Mama huyo ndio hasa qualifications zinayohitajika hivi sasa ili kuweza kupambana na mafisadi wakorofi wanaojaribu kuihujumu nchi na wavivu wanaokwamisha maendeleo vijijini n.k. kwa sababu za ubinafsi.

Nampenda Mama anayeweza kuwafanya watu wanaoona kwamba kufanya naye kazi shurti uwe 'Mwendawazimu'. Tanzania inahitaji wendawazimu watakaoiwezesha nchi kupiga hatua kimaendeleo na sio bla bla na lelemama tunayoiona hivi sasa.

Mahusiano yake na Pinda wala si sababu ya maana. Hayo ni mambo binafsi ambayo labda hata wewe MzitoKabwela unawezakuwa nayo!
 
Kuchapa kazi sio tatizo maana hata Muungwana nae ni Mchapa kazi lakini katika uongozi, vitu vitatu vinatazamwa, 1. Resources (watu=equipments), 2. Rerations (dhidi yako na watu=equipments) then Results.
Relations+Relations=Results.
Ukiitazama hiyo hesabu utagundua ni kwa nini huyu mama HAFAI

Duh, umenikosha MzittoKabwela.
Matunda ya Uongozi = Resources + Relations. Ndo ulikuwa una maanisha? Kuna mijitu inachapa kazi bwana ila kuongoza hawafai.
 
Mramba is too risky to represent any constituent right now if i were a Rombo voter in the coming election! May be he brought a road, but does that qualify him to keep on representing the interest of all Rombo people with all the scandals he carries? what about his relation with the current government that will carry on ruling coming 2011? It is obviously CCM doesn't want him! otherwise explain to me why RA, AC, EL who have scandals just like him are not facing any charges! You guys open your eyes, that guy needs to go! Rombo is too big for his self interest to supersede that of over 200,000 Rombo residents!


Hapa umemaliza mkuu!

Mramba kuwakilisha jimbo al Rombo ni liability kwa wapiga kura.Mramaba anastahili kukaaa benchi na abaki kuwa mshauri kwa wanasiasa wachanga kwa manufaa ya jimbo.pia ingekua vyema angekaa benchi akasimamia miradi ya kijamii ya jimbo pamoja na kufanya kazi na mbuinge atakaechaguliwa bila kujali chama.

Mramba atapeleka hoja gani bungeni itakayomfanya asikilizwe?

Pia ni risk ikiwa atashindwa kesi mahakamani itakua gharama kwa jimbo na Taifa kwani italazimika kwenda by election..Hata kama kesi yake itaisha before october,still kuna watu ambao hawataridhika na hukumu kama akina Mtikila wanaweza kuibuka na kesi tena huko badae na kupinga hukumu.wananchi wa Rombo ndiyo watakaoumia

Mramba kafanya jambo zuri kwa jimbo la Rombo in regardless kwamba katumia madaraka vibaya,but ktk jimbo hilo alifanya vyema kuwekeza nyumbani.Sasa,kulingana na taaluma yangu ya uchumi..Mramba ametenda dhambi ya inequality in resources distribution na ni hatari ktk mustakabali wa maendeleo ya Taifa kwa ujumla.kitendo chake kinakinzana na theory ya kujenga welfare state ambayo lazima izingatie mgawanyo sawa wa raslimali na kuweka mbele vipaumbele vya kiuchumi zaidi na kijami

kitendo alichofanya Mramba ndicho kilichofanywa na wanasiasa waliopita katika states mbalimbali India,unakuta kuna sehemu zina miundombinu isiyo na tija kwa taifa huku maeneo muhimu yakitengwa.allocation of resources zinapofanywa bila kufuata socio-economic priorities basi taifa linaangamia

Sasa: Jimbo la Rombo linahitaji damu changa inayochemka na yenye ushawishi kwa ajili ya maendeleo ya JIMBO.

Kuhusu huyo mama: kama hana PR nzuri si ajabu akshindwa kufanya kazi na madiwani,mkuu wa wilaya,wakurugenzi na maofisa wa serikali pamoja na wananchi wake anaowawakilisha
 
Mramba ni mla rushwa alipokuwa Waziri wa Fedha, alichojua kufanya ni kutoa misamaha ya kodi kwa marafiki zake kama Michael Ngaleku Shirima (ambazo zime-cost hii nchi dearly)! hayo maendeleo mnayosema ameleta nawashangaa nyie watu technically ile barabara imeletwa kutokana na suluhisho na makubaliano ya Chadema na CCM chini ya Mkapa in exchange of a recall for new election in that constituent baada ya kuwa proven in the Moshi court aliiba kura in 2000 election and the results were to be nullified! msijidanganye Rombo kuna vigogo ambao wakisema unapita unapita na so far Mramba is not their choice so better cancel him out they can't put their constituent stakes at risk kumuweka fisadi to represent their interests in the Parliament!

Very good arguement!!
Dogo uliza wakubwa kwanza!
Hao wanaosema ukipita unapita ni mafisadi. Yaaani mramba atakua Namba wani Tu.
Nilibahatika kuwa kule uchaguzi wa Elfu Mbili. maatajiri (mafisadi) wote wanamtaka Mramba.
Akaingia pale mtu asiye fisadi mchele utapitia wapi kwenda Kenya. Sukari Je? Dogo. Mark my words ''Mramba will be elected as Rombo MP again''
 
Very good arguement!!
Dogo uliza wakubwa kwanza!
Hao wanaosema ukipita unapita ni mafisadi. Yaaani mramba atakua Namba wani Tu.
Nilibahatika kuwa kule uchaguzi wa Elfu Mbili. maatajiri (mafisadi) wote wanamtaka Mramba.
Akaingia pale mtu asiye fisadi mchele utapitia wapi kwenda Kenya. Sukari Je? Dogo. Mark my words ''Mramba will be elected as Rombo MP again''

So unaona? Kitu cha kufanya sasa hivi ni mtu mwerevu na anaejua kuplay political game ajitokeze na kuhakiksha anushawishi umma wa wanarombo apite kwenye nominations kwanza.To get rid of him must be political strategy in the first step na pia huyo mtu awe na sifa nilizozitaja huko nyuma.

Kama mramba atakua au atakuaja kumu-endorse huyu mama basi atakua another fisadi in the making na deal za watu zitalindwa kama kawa kwa gharama za wananchi wa Rombo
 
Very good arguement!!
Dogo uliza wakubwa kwanza!
Hao wanaosema ukipita unapita ni mafisadi. Yaaani mramba atakua Namba wani Tu.
Nilibahatika kuwa kule uchaguzi wa Elfu Mbili. maatajiri (mafisadi) wote wanamtaka Mramba.
Akaingia pale mtu asiye fisadi mchele utapitia wapi kwenda Kenya. Sukari Je? Dogo. Mark my words ''Mramba will be elected as Rombo MP again''

Kula tano kaka!!
Uchaguzi Rombo Need Revulution.

1. walalahoi: wakipewa mbege na T-shirt Mramba oyeee!!
2. Mafisadi:(matajiri) Dont talk against Mramba Near Them
3. Wasomi: Wote wako Dar

Wanaharakati kilio chetu kinaishia JF.

Ben: natamani sana sauti yako iwafikie wanarombo wote. Je itafikaje?

We will die complaining men!!!!
 
Back
Top Bottom