Mramba anasafishwa?

wandugu,


..kuna baadhi ya wana JF ambao wametembea na kuishi ASIA,ULAYA, na MAREKANI, lakini bado wanabeba kadi ya chama cha kifisadi kama CCM. watu kama hao wana haki gani ya kujiona wako enlightened kisiasa kuliko wananchi wavuja jasho wa Rombo ambao wana historia ya kutorudisha incumbents bungeni na kupigia kura upinzani?

...
Kamanda, hili ni tusi tena ni la reja reja
 
wandugu,
..kuna baadhi ya wana JF ambao wametembea na kuishi ASIA,ULAYA, na MAREKANI, lakini bado wanabeba kadi ya chama cha kifisadi kama CCM. watu kama hao wana haki gani ya kujiona wako enlightened kisiasa kuliko wananchi wavuja jasho wa Rombo ambao wana historia ya kutorudisha incumbents bungeni na kupigia kura upinzani?

Kamanda, hili ni tusi tena ni la reja reja

Mkuu, la kwako ndilo tusi tena la reja reja kwa wa Rombo.
 
Originally Posted by JokaKuu
wandugu,

1. ..kuna baadhi ya wana JF ambao wametembea na kuishi ASIA,ULAYA, na MAREKANI,

2. lakini bado wanabeba kadi ya chama cha kifisadi kama CCM.

3. watu kama hao wana haki gani ya kujiona wako enlightened kisiasa kuliko wananchi wavuja jasho wa Rombo ambao wana historia ya kutorudisha incumbents bungeni na kupigia kura upinzani?

- Mkuu kwenye demokrasia makini huwa hatutumii hoja za nguvu na ubabe kama huu wako, mimi ni kweli nimeishi hizo nchi zote ulizozitaja hapo juu,

;- infact nimesomeshwa bure Primary school na CCM, nimesomeshwa bure Secondari ya boarding na CCM, nimesomeshwa bure High School na CCM, nikaenda JKT, na nikapelekwa nje kwa masomo pia bure na serikali ya CCM, unasema kuipa CCM heshima yake ni kuwa what?

- Ninarudia tena kwamba mimi ni mwanachama imara sana na a proud one wa CCM, Mramba ni fisadi ambaye hata serikali ya CCM imeshindwa kumbeba na kumburuza Kisutu, hastahili kupokewa kwa heshima huko Rombo, na ninaamini kwamba wananchi wa Chunya ndio mfano wa kuigwa na taifa hili,

- Jaribu kujifunza kujadili siasa na wenye mawazo tofauti na yako, taifa letu limefika hapa lilipo kwa sababu ya kuwa na viongozi wenye mawazo kama yako, kwamba wewe tu ndio mwenye akili wengine hawana, ni aibu hata kuamini kuwa humu JF kuna member anaweza kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri kama uliou-expose hapo juu ndio maana humu JF huwa hatuelewani maana huwezi kuja humu kwenye demokrasia makini na this kind of thinking,

Hivi mtu kama wewe ukipewa utawala itakuwaje? Wallahi humu JF kuna watu wa kuwaogopa kama ukoma! Yaani lazima wananchi tufikiri kama wewe tu ndio tutakuwa enlighted? Duh! unachohangaikia sana hapa ni nini hasa? I mean unabadilika rangi lakini maneno yale yale tu!
 
Originally Posted by JokaKuu
wandugu,

1. ..kuna baadhi ya wana JF ambao wametembea na kuishi ASIA,ULAYA, na MAREKANI,

2. lakini bado wanabeba kadi ya chama cha kifisadi kama CCM.

3. watu kama hao wana haki gani ya kujiona wako enlightened kisiasa kuliko wananchi wavuja jasho wa Rombo ambao wana historia ya kutorudisha incumbents bungeni na kupigia kura upinzani?

- Mkuu kwenye demokrasia makini huwa hatutumii hoja za nguvu na ubabe kama huu wako, mimi ni kweli nimeishi hizo nchi zote ulizozitaja hapo juu,

;- infact nimesomeshwa bure Primary school na CCM, nimesomeshwa bure Secondari ya boarding na CCM, nimesomeshwa bure High School na CCM, nikaenda JKT, na nikapelekwa nje kwa masomo pia bure na serikali ya CCM, unasema kuipa CCM heshima yake ni kuwa what?

- Ninarudia tena kwamba mimi ni mwanachama imara sana na a proud one wa CCM, Mramba ni fisadi ambaye hata serikali ya CCM imeshindwa kumbeba na kumburuza Kisutu, hastahili kupokewa kwa heshima huko Rombo, na ninaamini kwamba wananchi wa Chunya ndio mfano wa kuigwa na taifa hili,

- Jaribu kujifunza kujadili siasa na wenye mawazo tofauti na yako, taifa letu limefika hapa lilipo kwa sababu ya kuwa na viongozi wenye mawazo kama yako, kwamba wewe tu ndio mwenye akili wengine hawana, ni aibu hata kuamini kuwa humu JF kuna member anaweza kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri kama uliou-expose hapo juu ndio maana humu JF huwa hatuelewani maana huwezi kuja humu kwenye demokrasia makini na this kind of thinking,

Hivi mtu kama wewe ukipewa utawala itakuwaje? Wallahi humu JF kuna watu wa kuwaogopa kama ukoma! Yaani lazima wananchi tufikiri kama wewe tu ndio tutakuwa enlighted? Duh! unachohangaikia sana hapa ni nini hasa?
 
Asante wa kumumuna BAK;)

Kiunagaubaga...
“Kwa vile mahakama imetoa ruhusu hiyo leo (jana), tunatarajia atawasili hapa kati ya Ijumaa na Jumamosi na wapiga kura wake wamejiandaa kumpokea kwa kishindo ili kumpa pole,” alisema Kilega.

Hii ni haki ya Warombo


Uamuzi wa kumruhusu Mramba kwenda jimboni mwake, ulitolewa jana na mahakama hiyo kutokana na ombi la Mramba lenye kumbukumbu namba 10RCA/A1/64/2009, lililowasilishwa Ijumaa iliyopita na wakili wake, Hubert Nyange na Peter Swai, kutaka aruhusiwe kwenda jimboni kuwasalimia wapiga kura wake.
Mimi sio mwanasheria! Kuwasiliana na wapiga kura?-Hili linampa uwezo gani kwenda bungeni?


Akitoa uamuzi huo jana, Mwankenja alisema, amezingatia ibara ya 13(6)(B), inayotamka kwamba mtu asichukuliwe kuwa ana hatia hadi mahakama itakapomkuta na hatia na ibara ya 17 ya katiba ya nchi, inayosema kila mtu ana haki ya kutembea.
Lakini kwa wakati huo huo linampa haki ya kwenda bungeni(kwasababu yuko huru?) Kuna walakini hapa!“

Kwa kuzingatia ibara hizo za Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, mahakama inakubaliana na ombi la Mramba kwa sababu bado hajakutwa na hatia, pia ana haki ya kutembea ili mradi asivunje sheria za nchi, na kwa sababu hiyo kuanzia sasa mshitakiwa anaruhusiwa kutoka nje ya mkoa huu.
1977? Kuna umuhimu wa kupitia ibara hii!

“Pia niliipitia kwa kina sheria ya Bunge la Tanzania kabla ya kutoa uamuzi huu, kuona mbunge anayeshitakiwa mahakamani kwa kesi za jinai, anatakiwa atendeweje, nimebaini sheria hiyo haisemi chochote katika hilo, hivyo nimetoa uamuzi wangu kwa kutumia ibara hizo nilizozitaja ambazo zipo kwenye katiba ya nchi,” alisema Mwankenja.

Well done Mwakenja!- Je Sheria ya utumishi wa umma?
Ijumaa iliyopita Mramba kupitia mawakili wake aliwasilisha ombi mahakamani hapo akitaka aruhusiwe kutoka nje ya Dar es Salaam kuanzia Januari 3 hadi Februari mosi mwaka huu.

Ruhusa hiyo itamwezesha pia mbunge huyo kuhudhuria mkutano wa Bunge unaotarajia kuanza Januari 27, lakini pia huenda akalazimika kuomba muda mwingine kwani kwa ruhusa ya sasa, ana uwezo wa kuhudhuria vikao vya Bunge kwa siku sita kabla ya muda aliopewa wa Februari mosi kumalizika.
Ana uwezo wa kuendelea kulipwa marupurupu kwa siku sita:eek:
Vilevile aje amwombe jaji kuwa inabidi aende bungeni kwa vile tu 'Wapiga kura' wanamtaka awasilishe ajenda bungeni - kwa hivyo jaji ampe ruhusa nyingine?

Alafu..



Hili katika maoni yangu - Linaleta maswali mengi tu!
Aidha Warombo "Wapiga Kura" wanahaki ya mapokekzi makubwa wakizingatia tu, takwimu za eneo lao za elimu ni kubwa lakini haionyeshi utumiaji wa elimu hiyo.
 
- Mkuu kwenye demokrasia makini huwa hatutumii hoja za nguvu na ubabe kama huu wako, mimi ni kweli nimeishi hizo nchi zote ulizozitaja hapo juu,

;- infact nimesomeshwa bure Primary school na CCM, nimesomeshwa bure Secondari ya boarding na CCM, nimesomeshwa bure High School na CCM, nikaenda JKT, na nikapelekwa nje kwa masomo pia bure na serikali ya CCM, unasema kuipa CCM heshima yake ni kuwa what?

- Ninarudia tena kwamba mimi ni mwanachama imara sana na a proud one wa CCM, Mramba ni fisadi ambaye hata serikali ya CCM imeshindwa kumbeba na kumburuza Kisutu, hastahili kupokewa kwa heshima huko Rombo, na ninaamini kwamba wananchi wa Chunya ndio mfano wa kuigwa na taifa hili,

- Jaribu kujifunza kujadili siasa na wenye mawazo tofauti na yako, taifa letu limefika hapa lilipo kwa sababu ya kuwa na viongozi wenye mawazo kama yako, kwamba wewe tu ndio mwenye akili wengine hawana, ni aibu hata kuamini kuwa humu JF kuna member anaweza kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri kama uliou-expose hapo juu ndio maana humu JF huwa hatuelewani maana huwezi kuja humu kwenye demokrasia makini na this kind of thinking,

Hivi mtu kama wewe ukipewa utawala itakuwaje? Wallahi humu JF kuna watu wa kuwaogopa kama ukoma! Yaani lazima wananchi tufikiri kama wewe tu ndio tutakuwa enlighted? Duh! unachohangaikia sana hapa ni nini hasa?


Baba:

Kwenda shule ni haki zako za kiraia na hakuna sababu ya kushukuru CCM. Na tukifanya hivyo tutashindwa kuleta Enlightenment katika nchi yetu.

Nyerere alipelekwa shule kwa schoolarship ya serikali ya kikoloni na bado aliona umuhimu wa kudai haki zake kwa serikali hilehile iliyompa yeye upeo wa kuelewa mambo ya kiduni.

Nchi kama Czechslovakia, Polanda, Hungry ziliweza kusomesha watu wote kwa elimu ya high school. Na vile vile kati ya watu 10 zaidi ya wanne walikuwa na digrii za elimu ya juu. Pamoja na hayo waliwapiga kibuti waKomunisti.

Kama CCM iliweza kukupeleka shule bure, muundo wa serikali yake umewanyima mamilioni ya watanzania haki uliyopata wewe.
 
1.
Kwenda shule ni haki zako za kiraia na hakuna sababu ya kushukuru CCM.

- Mkuu wangu ninawaona sana wanafunzi wa Vyuo vikuu sasa wanavyolazimishwa kuchangia elimu, ndipo ninaiheshimu sana CCM kama chama cha siasa kwa sera za kuweza kunisomesha shule hizo hizo bure bila kulipa hata senti tano, ikiwa ni pamoja na kunisafirisha bure kwa kutumia warrants.

2.
Na tukifanya hivyo tutashindwa kuleta Enlightenment katika nchi yetu.

- Enlightenment sio lazima ionyeshwe kwa kuwa mpinzani wa chama kilichokusomesha bure, inaweza pia kua ni pamoja na kukiosoa kwa manufaa yake kna taifa kama ninavyofanya hapa JF, na wewe ukikikosoa kutokea Upinzani, tunalisaidia taifa letu kwa hoja mbadala, badala ya kulilia wote hapa tuimbe wimbo mmoja.

3.
Nyerere alipelekwa shule kwa schoolarship ya serikali ya kikoloni na bado aliona umuhimu wa kudai haki zake kwa serikali hilehile iliyompa yeye upeo wa kuelewa mambo ya kiduni.

- Wakoloni walimsomesha Mwalimu kwa makusudi mazima ya siku moja kumpa uhuru na uongozi, ndio maana Mandela hakuuliwa mapema na makaburu ni kwa sababu walijua kua siku moja wanaweza kumpa uhuru na uongozi, na besides hizi ni ishu mbili tofauti kudai uhuru wka wakoloni na kushindwa kwetu kuutumia uhuru tulionao tayari, sio makosa ya CCM kama chama cha siasa, ila ni uzembe wetu wananchi.

4.
Nchi kama Czechslovakia, Polanda, Hungry ziliweza kusomesha watu wote kwa elimu ya high school. Na vile vile kati ya watu 10 zaidi ya wanne walikuwa na digrii za elimu ya juu. Pamoja na hayo waliwapiga kibuti waKomunisti.

- Anyways, CCM bado haijapigwa buti kama hizo nchi kwa hiyo again hii hoja sipaswi hata kuijibu maana ni batili from mwanzo wake, licha ya mwisho.

5.
Kama CCM iliweza kukupeleka shule bure, muundo wa serikali yake umewanyima mamilioni ya watanzania haki uliyopata wewe.

- CCM haikunisomesha bure peke yangu, kushindwa kwake kuwasomesha bure wananchi leo naamini ni tatizo la uchumi zaidi kuliko muundo wa serikali yake ya sasa, kubadilika kwa sera za uchumi za dunia kumewafanya hata Soviet na China wabadilike, so was sisi Tanzania na CCM, lakini ni fact kwamba mpaka leo wananchi wa Tanzania wana imani na CCM ndio maana wameweza kuipa nafasi ya kutawala for the last 47 years,

Ninasema hivi CCM kama chama tawala cha siasa kina matatizo mengi sana, na ni kutokana na kelele zetu hapa JF na vyama vya upinzani, ndio maana sasa inajaribu kujirekebisha ingawa sio wka mwendo ambao wengi hapa JF tunautaka, lakini mimi binafsi bado nina imani kubwa na chama changu kwamba viongozi wachache wabovu watasafishwa na kurudi inapotakiwa kuwa, lakini ni muhimu sana wananchi wenye uelewa tuka-maintain mawazo mbadala badala ya kujaribu kulazimishana kuwa na uniformity mind hiyo ni hatari sana kwa taifa letu, maana ndio hasa mawazo mabovu yaliyotufikisha taifa letu hapa tulipo sasa,

Otherwise, heshima mbele kwa angalau kuwa na hoja nzito.
 
- ;- infact nimesomeshwa bure Primary school na CCM, nimesomeshwa bure Secondari ya boarding na CCM, nimesomeshwa bure High School na CCM, nikaenda JKT, na nikapelekwa nje kwa masomo pia bure na serikali ya CCM, unasema kuipa CCM heshima yake ni kuwa what?

FMES,
Umeongea meng ya maana, kwa hiyo hapo juu sidhani inatoa nadharia nzuri kwa democracy. Kabla ya multiparty system sote tulikuwa CCM; kwa nguvu zote; na kuna wengi sisi wenyewe au hata wazazi wetu wameijenga Nch na kuijenga CCM. Nchi hii ni ya wote tangu tulikoanza 1961 baada ya Uhuru; sasa baada ya kutoelewana kwa sera ndiyo hapo tunagawana nyie mbakie CCM na sisi wengine tunachangua sera zetu kwa kupitia mlango mwingine yaani chama kingine. Kusudi letu wote ni kuendeleza nchi yetu. Kumbuka kuwa Sisi sote tunaipenda Nchi yetu; ila tunatofautiana na sera tu.

A man of your status should not bring such divisions, like the Mugabe policies! We are all Tanzanians, with same values be CCM or any; we are differing in policies!

Mjomba umenielewa! Sisi sote tulipanda yale mabasi ya relwe na waranti! We were very proud of our country and that CCM!
 
1.

- Mkuu wangu ninawaona sana wanafunzi wa Vyuo vikuu sasa wanavyolazimishwa kuchangia elimu, ndipo ninaiheshimu sana CCM kama chama cha siasa kwa sera za kuweza kunisomesha shule hizo hizo bure bila kulipa hata senti tano, ikiwa ni pamoja na kunisafirisha bure kwa kutumia warrants.

2.

- Enlightenment sio lazima ionyeshwe kwa kuwa mpinzani wa chama kilichokusomesha bure, inaweza pia kua ni pamoja na kukiosoa kwa manufaa yake kna taifa kama ninavyofanya hapa JF, na wewe ukikikosoa kutokea Upinzani, tunalisaidia taifa letu kwa hoja mbadala, badala ya kulilia wote hapa tuimbe wimbo mmoja.

3.

- Wakoloni walimsomesha Mwalimu kwa makusudi mazima ya siku moja kumpa uhuru na uongozi, ndio maana Mandela hakuuliwa mapema na makaburu ni kwa sababu walijua kua siku moja wanaweza kumpa uhuru na uongozi, na besides hizi ni ishu mbili tofauti kudai uhuru wka wakoloni na kushindwa kwetu kuutumia uhuru tulionao tayari, sio makosa ya CCM kama chama cha siasa, ila ni uzembe wetu wananchi.

4.

- Anyways, CCM bado haijapigwa buti kama hizo nchi kwa hiyo again hii hoja sipaswi hata kuijibu maana ni batili from mwanzo wake, licha ya mwisho.

5.

- CCM haikunisomesha bure peke yangu, kushindwa kwake kuwasomesha bure wananchi leo naamini ni tatizo la uchumi zaidi kuliko muundo wa serikali yake ya sasa, kubadilika kwa sera za uchumi za dunia kumewafanya hata Soviet na China wabadilike, so was sisi Tanzania na CCM, lakini ni fact kwamba mpaka leo wananchi wa Tanzania wana imani na CCM ndio maana wameweza kuipa nafasi ya kutawala for the last 47 years,

Ninasema hivi CCM kama chama tawala cha siasa kina matatizo mengi sana, na ni kutokana na kelele zetu hapa JF na vyama vya upinzani, ndio maana sasa inajaribu kujirekebisha ingawa sio wka mwendo ambao wengi hapa JF tunautaka, lakini mimi binafsi bado nina imani kubwa na chama changu kwamba viongozi wachache wabovu watasafishwa na kurudi inapotakiwa kuwa, lakini ni muhimu sana wananchi wenye uelewa tuka-maintain mawazo mbadala badala ya kujaribu kulazimishana kuwa na uniformity mind hiyo ni hatari sana kwa taifa letu, maana ndio hasa mawazo mabovu yaliyotufikisha taifa letu hapa tulipo sasa,

Otherwise, heshima mbele kwa angalau kuwa na hoja nzito.


Soma Kipande hiki kwanza, nime-quote THE STATE OF AFRICA, A HISTORY OF 59 YEARS OF INDEPENDENCE:

Much was achieved as result of Nyerere’s efforts, notably in the field of education, health and social services. Primary school enrolment increased from one-quarter of the school-age population to 95 percent; adult literacy from 10 to 75 per cent; four in ten villages were provided with clean tap water, three in ten had clinics; life expectancy increased fro 41 years to 51 years.

Yet what progress was made was financed largely by foreign aid. During the 1970s Tanzania received no less than $3billion, mostly from the West. In 1982 the annual level reached $600 Million Without such funds, Tanzania would have plunged into penury. Nyerere’s achievement (TANU and CCM) , therefore, was related not to success of his strategy, but his ability to persuade foreign sponsors that his objects were sincere.

Matatizo yangu sio kwa sababu wewe ni CCM. Hiyo ni haki yako ya kiraia. Lakini kusema kuwa CCM ilikusomesha bure ni Misleading.

Umesomeshwa kwa misaada. Na kama unataka kushukuru toa shukurani kwa nchi wahisani.
 
Nakubaliana na maneno yako; utashangaa kugundua kuwa sehemu kubwa ya hao "wapokeaji" ni watu waliokatiwa kitu kidogo.

Waandaaji wa mapokezi wengi wao ndio waliokatiwa kitu kidogo ila wanakijiji wa kawaida wengi wao hawafahamu nini kinachoendelea katika kupiga vita ufisadi. Wao wanahimizwa tu kijitokeza kwa wingi....! Tanzania UJINGA na UMASIKINI ndio tatizo kubwa.
 
Samahani Yebo*2, Nadhani kama sikosei mwaka 1995 Mramba aliangushwa Rombo na Jamaa mmoja kutoka CHADEMA aitwaye Salakana ( sijui sasa hivi yuko wapi), baada ya hapo Che Nkapa akamteua Mramba kuwa RC Mbeya.

Naruhusu kurekebishwa kama kumbukumbu zangu hazijakaa vizuri

Asante

Mkuu, Mzee Salakana yupo Moshi mjini anaendesha biashara yake ya tours (SNOW CAP LTD).
 
Umeongea meng ya maana, kwa hiyo hapo juu sidhani inatoa nadharia nzuri kwa democracy.

- Mkuu IO,

heshima mbele sana ila ilikuwa ni muhimu sana niweke wazi ni kwa nini mimi ni mwanachama safi na mkereketwa wa CCM, otherwise ninaheshimu sana mawazo ya kila member hapa bila kujali vyama vyao,

- Na wao ningewaomba waheshimu vyama vya wengine bila name calling, na hizi labels ambazo hazisaidii kuelimimisha mwananchi mwenye mawazo tofauti na yako, otherwise tupo pamioja mkuu!
 
Waandaaji wa mapokezi wengi wao ndio waliokatiwa kitu kidogo ila wanakijiji wa kawaida wengi wao hawafahamu nini kinachoendelea katika kupiga vita ufisadi. Wao wanahimizwa tu kijitokeza kwa wingi....! Tanzania UJINGA na UMASIKINI ndio tatizo kubwa.

...Duh!!! :eek:

...kama Kuanzia wale wananchi wa Monduli walompokea Lowassa, wakafuatia wa Baradi Mashariki walompokea Chenge, na sasa wana Rombo waliompokea Mramba wote hao hawafahamu nini kinachoendelea?...

Kazi ipo kuleta mabadiliko nchini!
 
Jamani ooh JK analegea vita dhidi ya ufisadi, je hawa watu wa Rombo kama kweli watampokea mramba kwa vishindo kama ilivyokuwa kwa Lowassa had askofu anamwekea mikono ya baraka, au chenge alivopokelewa usukumani, sisi wenye mach tunapata picha gani hapa kwenye vita hii???????
kwa haraka ni kwamba watu hawa wanaonewa na serikali ya JK na ccm na wengineo hivyo si mafisadi, vita ngumu hii wananchi bado wako usingizini, na mbaya zaidi unapoona eti askofu nae anaingia kwenye mapokezi na kuweka baraka, hii ni hatari maana kama askofu kanunuliwa na pesa za kifisadi, nchi inakwenda pabaya, na JK anakazi ngumu
 
Rombo yalaumiwa kwa matumizi mabaya fedha za maendeleo
2009-01-11 15:35:26
Na Salome Kitomary, Hai


Kamati ya Bunge ya Fedha za Serikali za Mitaa (LAAC) imeijia juu Halmashauri ya wilaya ya Rombo kwa madai ya matumizi mabaya ya fedha za umma na ubabaishaji katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Kamati hiyo imesema halmashauri hiyo ina baadhi ya watendaji wababaishaji wenye lengo la kuchelewesha maendeleo na kuwakatisha tamaa wananchi ambao wapo tayari kuchangia nguvu kazi katika miradi ya maendeleo.

Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara ya kamati hiyo mkoani hapa, mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo, Idd Azani alisema serikali inapeleka fedha nyingi kwenye serikali za mitaa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo lakini baadhi ya watendaji wanazitumia visivyo.

Alisema kamati imebaini kuwa miradi mingi inayotumia nguvu za wananchi haitekelezwi ipasavyo hali inayowasababisha wananchi kukata tamaa na hata katika baadhi ya maeneo kukataa kabisa kuchangia nguvu kazi.

Alisema wilaya ya Rombo sh. milion 50 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi wa chumba cha upasuaji lakini hadi sasa hakuna utekelezaji wowote huku nguvu za wananchi kama mchanga na mawe vikiendelea kupotea.

Azani ambaye pia ni Mbunge wa Kinondoni alisema walishangazwa na watendaji kujiumauma kuwa mradi huo unatekelezwa kwa Sh.milion 45 wakati kwenye taarifa mbalimbali inayonyesha kuwa halmashauri hiyo imepokea zaidi ya Sh.milioni 50 kwa ajili ya ujenzi huo.

``Pale tulichokiona ni ujenzi wa ujanja ujanja tu, hakuna msimamizi licha ya fedha kutolewa miaka mitatu iliyopita, mradi huu ukilinganisha na mingine ni `kichefuchefu` kama hamuwezi kazi si mseme kuna watu kibao wapo vyuo vikuu hawana ajira kuliko kufanya ujanja kwenye fedha za serikali, hata kama mnakula si hivyo jamani,`` alisisistiza mbunge huyo.

Alisema miradi hiyo inalitia aibu serikali kwani kwa miaka mitatu fedha zinaonekana kwenye makabrasha lakini hakuna utekelezaji wowote wa mradi huo ambao ungekuwa mkombozi kwa wananchi wa wilaya hiyo.

Naye Mjumbe wa kamati hiyo, Grace Kiwelu mbunge wa viti maalum mkoani Kilimanjaro kupitia (CHADEMA) alisema hakuna ushirikiano wa watendaji kwa wananchi hali inayosababisha miradi mingi kutekelezwa chini ya kiwango.

SOURCE: Nipashe

Fisadi Mramba ambaye ni mbunge wa Rombo anahusika vipi na matatizo haya jimboni mwake? Inawezekana yeye hajahusika moja kwa moja, lakini yeye kama mbunge anawajibika vipi katika maendeleo ya wapiga kura wake.
Maoni yanakaribishwa.
 
Don't know if he is in anyway responsible, however Mramba has got to be one of the most corrupt and incompetent ministers this country has ever seen.

If there was a Top 5 of the most corrupt and incompetent leaders in the history of TZ this guy would have to be somewhere on that list.

Alex Stewart
EPA/BOT
Presidential Jet
...

To go as far as telling Tanzanians to eat grass....
 
Don't know if he is in anyway responsible, however Mramba has got to be one of the most corrupt and incompetent ministers this country has ever seen.

If there was a Top 5 of the most corrupt and incompetent leaders in the history of TZ this guy would have to be somewhere on that list.

Alex Stewart
EPA/BOT
Presidential Jet
...

To go as far as telling Tanzanians to eat grass....

MRAMBA is supposed to be one of the desciples of the Nyerere philosophy of Ujamaa due to the fact that he has been in the Government for the whole 4 phasess of the Tz Govt.
This man is so corrupt,so arrogant.
As a leader he is a dissapointment and what he is going through is much of what he deserves
 
Back
Top Bottom