Basil Mramba aelezea maisha ya jela na faida za kifungo cha nje

Kulingana na maelezo hapo juu mahakama imeridhia wahusika watumikie jamii kwa MIEZI SITA hadi NOVEMBA 5. Sasa ambacho sijaelewa kama wameanza kutumikia adhabu yao tangu juzi Februari 8 inakuwaje hiyo adhabu ya miezi sita iishe Novemba 5 badala ya wiki ya kwanza ya August mwaka huu?
 
Siamini kama walioko jela wote ni wahalifu
linapokuja suala la adhabu ya kifo tunaweza kusema si wote waliohukumiwa ni wahalifu.
Tofauti na nchi zilizoendelea km Marekani, sijui vkipimo cha DNA kimewanasua wafungwa wangapi Tanzaia mpaka sasa,
 
Alipokuwa waziri hakuliona hili na wala hakusikia watu wakilalamikia magereza?
Kumbe mkuki kwa Nguruwe tu.
Tendeni yawapasayo kutenda sio kutesa watu gerezani kwa makosa yasiyo hitajika kuwa gerezani.
Eti machinga miezi 6 gerezani?
Mama lishe miezi 12 gerezani?
Nyoka makengeza Faini laki saba tu!
 
Nakumbuka tu alivyosema tutakula hata majani ndege ya rais inunuliwe, hii huruma kaipata baada ya kwenda jela au baada ya kuwa raia wa kawaida? leo amekuwa mtu maa utu umerudi baada ya kuwa mramba na si Mh.
 
Nafikiri arudishwe kule kwenye viboko kila siku mpaka tutakapo acha kula nyasi. Aliudhii sana na wanatesa, Kisa yeye ni Mh.
 
Pole zake hata hivyo, amefanywa tu kondoo wa Pasaka kupisha upepo upite

Pole sana mangi lazima utakuwa unatoka Rombo kwa wakina Massawe!! Huyo Mramba anatakiwa arudishe mabilioni yetu alaiyotuibia miaka yote aliyokuwa waziri; ama sivyo serikali ikamate precision Air kwani ndiko alikowekeza fedha zetu!!
 
Pole sana mangi lazima utakuwa unatoka Rombo kwa wakina Massawe!! Huyo Mramba anatakiwa arudishe mabilioni yetu alaiyotuibia miaka yote aliyokuwa waziri; ama sivyo serikali ikamate precision Air kwani ndiko alikowekeza fedha zetu!!

Ndinani;
Si kila anayeandika humu ni mangi. Ila nakusikitikia sana weye ambaye unapika majungu kila kukicha. Kama weye una uhakika kiasi hicho mpaka unajua fedha yako iliko, basi tutakushangaa sana kuziangalia mali zako wala usifanye chochote. Pole sana ila nakushauri uchukue kikapu ukawaambie hao Precision wakupe mgao wako. Akili zingine jaman, sijui ni za perege au sato
 
Ndinani;
Si kila anayeandika humu ni mangi. Ila nakusikitikia sana weye ambaye unapika majungu kila kukicha. Kama weye una uhakika kiasi hicho mpaka unajua fedha yako iliko, basi tutakushangaa sana kuziangalia mali zako wala usifanye chochote. Pole sana ila nakushauri uchukue kikapu ukawaambie hao Precision wakupe mgao wako. Akili zingine jaman, sijui ni za perege au sato

Skuitegemea kuwa utakubali kuwa wewe mrombo lakini ukeli ndio huo ; huyo mzee ni mwizi wa muda mrefu na Mungu anamlipiza hapa hapa duniani kwa kututukana kuwa liwe na lisiwe ANGENUNUA NDEGE YA BOSI WAKE HATA INGEBIDI TULE MAJANI, yote hiyo ilikuwa kufukuzia 10% yake !! Mungu si Athumani akapigwa miaka jela na sasa anafagia pale hospitali Sinza na bahati yake ametolewa kapewa kifungo cha nje.

Kuhusu hizo fedha alizotuibia na kuwekeza huko kwenye ndege, laana itamuandama yeye na ukoo wake na hawata kaa wazifaidi kwa amani huku watoto wetu wakisoma juu ya matofali! Amekwisha pata doa maishani na hata kuwa na amani tena katika uhai wake.
 
Skuitegemea kuwa utakubali kuwa wewe mrombo lakini ukeli ndio huo ; huyo mzee ni mwizi wa muda mrefu na Mungu anamlipiza hapa hapa duniani kwa kututukana kuwa liwe na lisiwe ANGENUNUA NDEGE YA BOSI WAKE HATA INGEBIDI TULE MAJANI, yote hiyo ilikuwa kufukuzia 10% yake !! Mungu si Athumani akapigwa miaka jela na sasa anafagia pale hospitali Sinza na bahati yake ametolewa kapewa kifungo cha nje.

Kuhusu hizo fedha alizotuibia na kuwekeza huko kwenye ndege, laana itamuandama yeye na ukoo wake na hawata kaa wazifaidi kwa amani huku watoto wetu wakisoma juu ya matofali! Amekwisha pata doa maishani na hata kuwa na amani tena katika uhai wake.



Ndinani;
Aksante mkuu kwa kunipa u bin kwa kabila nisilozaliwa nao. Sikatai niite chochote ila sitakuwa hivyo atii kwa sababu tu iko njemba imeamua kunipeleka huko. Mjaluo hawi mzungu ati kwa kuwa anakitema kizungu.
OK Kwa hilo la laana, yawezekana weye ni miongoni mwa waliofaidi matunda ya awam ya nne. Hivyo, ili kutugilib siye ambao hatukufanikiwa kuyala matunda hayo unashabikia tuamini kuwa yale majizi makuu ya awamu hiyo yalifungwa ka Mramba na Yona. HAPANA; tunakuomba Mh. JPM usitishwe na maneno ya Pinda ati ukiwagusa uchumi utayumba. Uchumi uliyumbishwa kale, kwa mfana huo wa Yona na Mramba, Mungu akupe ujasiri uyakamate yooote mpaka yaliyokwenda kujificha China uyaanike hadharani. Hayo yasifichwe hospitali za Sinza bali yafagie pale Kariakoo na Mnazi mmoja Stand ili watu wayaone. Tena Bunge tukufu litunge sheria kuwa ; Waandikwe mgongoni "Waliofaidi Escrow Team". Usilie na kina Masamaki tu, wapo kina Makambale yamelala fofofooo. Wengine wanakusifia humu jf usiwatumbue.
HAYA NDO YANGU MUHISHIMIWA SANA RAIS JPM. Usiogope, nakuombea usiku na mchana hadi ndoto yangu hii itimie
 
Hivyo, ili kutugilib siye ambao hatukufanikiwa kuyala matunda hayo unashabikia tuamini kuwa yale majizi makuu ya awamu hiyo yalifungwa ka Mramba na Yona

Profile yako Mangatana inaonesha kuwa upo hapa janvini kwa muda sasa na hivyo nilitegemea kuwa kufuatana na uchangiaji wangu kwa muda uliokuwepo humu ungeweza kutambua kuwa mimi sikuwa mmoja ya wale waliofaidika wakati wa awamu zilizopita za kifisadi; hivyo sina sababu ya kuwa na giliba!!!!
 
MRAMBA AELEZEA MAISHA YA JELA NA FAIDA ZA KIFUNGO CHA NJE

Aliyekuwa Waziri wa Fedha katika Serikali ya awamu ya tatu, Basil Mramba, ameishauri Serikali kuhakikisha inawatumia wafungwa kutumikia jamii badala ya kuwarundika magerezani kwani maisha ya gerezani si salama na si njia pekee ya kumrekebisha mhalifu aliyehukumiwa na mahakama.

Kutokana na hali hiyo, alisema kuna haja kwa Serikali kuanza kutumia sheria namba 6 ya huduma kwa jamii kuwaangalia wafungwa wenye taaluma kutumika adhabu zao katika fani au taasisi za umma ili kupunguza gharama kuwahudumia watu ambao wanaweza kuisaidia jamii.

Mramba alitoa kauli hiyo jana, wakati yeye na mwenzake aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, walipomaliza kufanya usafi katika Hospitali ya Sinza Palestina, Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kutumikia adhabu ya kifungo chao cha nje baada ya wiki iliyopita Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuridhia kuwa wanastahili kutumikia jamii kwa kipindi cha miezi sita hadi Novemba 5.

“Jamii inaamini jela ni sehemu salama na mtu akishikwa na hatia kwa kosa lolote, mahala sahihi ni jela tu, kule anakutana na watu wa kila aina, wenye makosa tofauti, hali ambayo inamfanya ajifunze mambo mengine mapya.

“Unakuta mtu amefanya uhalifu wa kuiba kitu, anafungwa na kupelekwa gerezani, anakutana na majambazi sugu wanaompa mbinu zaidi, sasa akitoka jela anakuja akiwa ameiva, anarudia kwenye matukio akiwa amekamilika,” alisema Mramba.




Chanzo Dar 24
Kwa hiyo yeye professional yake ni kupiga deki na kufagia?
 
kweli hii ni point, watu wanalundikwa kule kwa gharama kubwa, hadi wanakosa nafasi hata za kusimama, wakati kuna kazi kibao za kufanya
kazi sio za kufanya usafi tuu, kuna mitaro ya maji hapa dar ya kuzibua, mvua Ikinyesha shida zipungue, majalala ya kuweka sawa, pia serikali ingeanzisha mashamba makubwa ya umwagiliaji yenye fence na ranch halafu hawa wafungwa wakaenda kutumikishwa huko, kulundika wahalifu sehemu moja halafu hawafanyi kazi bali ni kupiga soga kweli ni kuzidi kuwaongezea mbinu
Lakini wale waliopiga za escrow wapelekwe kwanza lupango
 
Uyo kilicho mkuta nilana. Zetu watanzania. Nakumbuka. Aliponunua. Ndege. Ya. Raisi. Alisema. Atamle. Nyasi Lazima. Ndege. Inunuliwe
 
Back
Top Bottom