Mramba achaguliwa Mwenyekiti Bodi ya TANROADS MKOA.

THIS IS GAME OF ..............., Wadaganyika tutaendelea kudanganywa hadi lini? imefikia wakati tukaamua, hivi lini tutaacha kuongea na kufanya kazi, we need real fighters, hivi nani anasimamia maamuzi kama haya? wananchi wa Kilimanjaro na Tanzania yote tuunganeni kupambambana na hili, hivi tukiamua kwenda kulala nje ya geti la Ikulu wote kwa pamoja watatufanya nini? Mwenye jibu anisaidie ili niweze jua nini kitatokea na kwa nini tunashindwa kufanya maamuzi maziti kwa ajili ya mustakabali ya nchi yetu

Imefikia wakati tutoae maamuzi sahihi kwa wakati sahihi na wala siyo kusubiri 2010, hakuna magic 2010, lazima tubadilike sasa.

Thubutu!!!!!FFU na magari yao ya maji washawasha watahamia gate la Ikulu. Bila kusahau vijana wa kova, na mikoa ya jirani kuwahi emergency na vikosi vyote vya jeshi vitatembeza mitutu na virungu. Halafu, ghafla unaweza kukanwa uraia kama wale wananchi wa Loliondo. Tanzania ni nchi ya wachache mafisadi, wala rushwa na wengine wa aina hii. Hakuna kiongozi mwenye uchungu na maskini.

Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe.
 
Kama unataka kumwingiza nguruwe ndani ya nyumba basi fanya kama unataka kumtoa nje, yeye mwenyewe ataingia ndani kwa urahisi kabisa. Na watawala wetu wengi wanatabia kama ya nguruwe. Ukimlaumu fisadi na kutaka aadhibiwe basi hawezi kuadhibiwa, lakini ukimsifia fisadi watamwadhibu mara moja. Katika akili ya kawaida haikutegemewa Basil Mramba apewe cheo chochote kipindi hiki ambacho amegubikwa na kesi ya matumizi mabaya ya ofisi. Kwakua watanzania wengi walitaka asipewe , sasa amepewa na viongozi wetu. Hii ndio Tanzania
 
This is Tanzania bwana, siku zote watanzania hua hatuoni mbali, sijui hawa watu huwa wanafikiria nini, ni mara chache sana viongozi wa kitanzania kukaa na kuamua jambo bila wananchi kulalamika. Elimu walionayo sio sawa na maamuzi wayatoayo, sijui kunanini hapa. Ni mambo mengi sana yanaamliwa lakini ukiangalia hata yule aliyeishia darasa la saba anashituka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
This is TZA bwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi mnadhani madikteta hutoka wapi? Madikteta wote duniani hutokana na masononeko ya wananchi. Tz inahitaji dikteta ikulu ili kusolve masononeko ya wananchi.

Hawa wacheza taarabu won't take us anywhere.
 
this is tanzania bwana, siku zote watanzania hua hatuoni mbali, sijui hawa watu huwa wanafikiria nini, ni mara chache sana viongozi wa kitanzania kukaa na kuamua jambo bila wananchi kulalamika. Elimu walionayo sio sawa na maamuzi wayatoayo, sijui kunanini hapa. Ni mambo mengi sana yanaamliwa lakini ukiangalia hata yule aliyeishia darasa la saba anashituka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
This is tza bwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!

elimu ipi mkuu??? Wengi walifaulu mitihani tu ili waajiriwe lakini hawakuelimika. Can you believe kuwa jk is an economist??????????
Too shame.
 
MBUNGE wa Rombo, Basil Mramba, amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoani Kilimanjaro.

Mramba ambaye amepata kuwa Waziri wa Fedha wakati wa Serikali ya awamu ya tatu chini ya Rais Benjamin Mkapa, alichaguliwa kushika wadhifa huo jana wakati wa kikao cha bodi hiyo kilichofanyika mjini hapa.

Mbunge huyo ambaye kwa sasa anakabiliwa na kesi ya ufisadi ya matumizi mabaya ya fedha za serikali zaidi ya sh bilioni 11.7 wakati akiwa Waziri wa Fedha, atashika nafasi hiyo chini ya Mwenyekiti wa Bodi hiyo ambaye kwa utaratibu mpya wa serikali, ni mkuu wa mkoa huo, Monica Mbega.
Sasa barabara za Rombo zitakuwa za lami mpaka migombani. Nakumbuka jamaa anavyotesa na vyeo kwa raha zake. Mwaka 1982 alipokuwa waziri wa viwanda, alikuwa hachoki kwenda kusalimia kwao weekend kwa ndege ya serikali. Ndio mara ya kwanza kumjua na kwamba aliijua vizuri kuitumia opportunity aliyoipata, niliambiwa ilikuwa matusi kwenda kwa barabara. Sasa kwamba ni mkuu wa kuzijenga barabara atashindwa nini kumaliza hasira waliyokuwa wanamlalamikia wananchi wake juu ya barabara Rombo?

Leka
 
Great thinkers?!!!
Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameweza kueleza sababu za kisheria zinazomzuia Mh Mramba kuwa makamu mwenyekiti wa Tanrods - Kilimanjaro.
Wekeni hoja yenye nguvu ya kisheria na si maneno matupu.

Pundamilia.
Kama kuna kesi mahakamani ya mwanamke ambaye amebakwa, na mtuhumiwa yuko nje kwa dhamana akisubiri uamuzi wa mahakama, utakubali huyo mtuhumiwa amsindikize mkeo kijiji cha jirani wakati wa usiku?
 
Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS Shame on them TANROADS
 
'Birds of the same feathers' always flock together...hence the continued 'support' and amazingly recognition by being bestowed with such status!
 
Great thinkers?!!!
Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameweza kueleza sababu za kisheria zinazomzuia Mh Mramba kuwa makamu mwenyekiti wa Tanrods - Kilimanjaro.
Wekeni hoja yenye nguvu ya kisheria na si maneno matupu.
Pundamilia, inabidi ujiulize hata maswali rahisi yanayohitaji logic tu nasiyo mpaka sheria itumike kuelezea maigizo haya. Hivi wewe utamwamini yupi kati ya mtuhumiwa na asiyetuhumiwa inapokuja suala la kumpa mtu madaraka au ajira? Au unataka kutuamisha kwamba Kilimanjaro watu wote wana sifa za Mramba na pengine ni wachafu zaidi yake kiasi cha yeye kuwa afadhali kupewa wadhifa huo? Wapewe hizo nafasi watu wasafi (clean) katika kuutumikia umma.
 
Ndo maana napinga wabunge kuwa kwenye board hapo alichofanya ni kutumia influence yake kutunisha misuli kwamba bado yupo na naskia xmas hii ataangusha bonge la bash ku-prove ati ana-exist bado! Fisadi huyo!!!
 
Mwacheni afanye alichoagizwa.mmesahau mliambiwa kwamba tu wavivu wa kufikiri?
Sijui kama hili lina hitaji msomi wa chuo kikuu kuona mambo yanaenda ndivyo sivyo.Tumsaidie Kikwete kuimaliza CCM machoni mwa wananchi kuelekea 2010
 
Si utani tena Kilimanjaro yenyewe iliyotakiwa iwe mfano?Teh teh teh!Ndio imekuwa mfano wa ufisadi moja kwa moja...Hata hivyo ni muhimu tuwajuwe hao wanabodi,maana mafisadi wako kila mahali na wanajuana,ama labda wanabodi hao wanataarifa za kiundani kwamba kesi ya Mramba ni usanii tu?
Unataka kusema wote wanaotoka Kilimanjaro ni mafisadi!?
 
MBUNGE wa Rombo, Basil Mramba, amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoani Kilimanjaro.

Mkuu umenishtua, nilidhani CEO Tanroads HQ as per ur heading.

Sishangai kwa kitendo cha hiyo board, huu ni muendelezo tu wa ule utaratibu wetu wa kulindana...si hata chenge alipokewa kwa red carpet kule kwao kadhalika EL. pengine hii ni version ya zile red carpets za chenge na EL.

nadhani hajakosea aliyesema miafrika ndivyo tulivyo
 
Tanzania nchi yangu, mh! nchi ya kipekee. Hivi kweli tutakuja kuondoka kwenye ujinga huu? rushwa, wizi wa mali za umma na ubinafsi wa viongozi hauwezi kuisha kwa mtindo huu.
 
- Ni lazima ujue kwanza forces zilizohusika kumtoa kwa dhamana, the dataz ni kwamba nguvu kubwa ya ukabila ilitumika tena na wenye nafasi kubwa sana Nationally sasa na zamani, sasa hii ni in your face message kwa Muungwana na waziri wake wa sheria, don't you dare again!

- Nani anabisha?

Respect.


FMEs!
kwa hiyo mkuu ndo kusema Ubora wa mtu kwa UKABILA wake umeshapiga hodi Tanzania??
Tanzania nakulilia kila ahsubui na jioni
 
Atawafuta machozi ya keko mmoja mmoja!!! Jeet Patel alifutwa machozi kwa kupatiwa tender ya matrekta makubwa na madogo. Bado uchaguzi 2010 atapewa tender ya magari ya uchaguzi kama ilivyo ada na ile kampuni yake ya Noble motors. Edward Lowasa anasafishwa kwa kila njia iwezekanayo. Ohhhhh lord.

Viongozi wenye maadili Tanzania ni wale ambao walishakufa miaka up to 1990s. Bahati mbaya hawawezi kufufuka tena.
 
Ndugu zangu mliopo ughaibuni hali hapa kijijini kwetu ndio kama mnavyoisikia,kujisaidia bado ni kwa staili ya jembe vilevile kama mlivyoacha,kama kuna oportunity za kujimachupa(kubadili uraia) bora mfanye hivyo kuliko kurudi hapa kijijini,wakati tawala ni za kifalme full kurithishana domains!!!
 
Atawafuta machozi ya keko mmoja mmoja!!! Jeet Patel alifutwa machozi kwa kupatiwa tender ya matrekta makubwa na madogo. Bado uchaguzi 2010 atapewa tender ya magari ya uchaguzi kama ilivyo ada na ile kampuni yake ya Noble motors. Edward Lowasa anasafishwa kwa kila njia iwezekanayo. Ohhhhh lord.

Viongozi wenye maadili Tanzania ni wale ambao walishakufa miaka up to 1990s. Bahati mbaya hawawezi kufufuka tena.

Viongozi wetu engi toka enzi za uhuru bado wako. Wachache tu wametutoka including mwalimu. Tatito watu waliowafikiria ni mabwana wadogo i.e. JK, EL nk wamekuja kuwapiga buti kiaina ndiyo sababu sasa unaanza kuona makundi ya wazee. Kundi moja linamuunga mkono JK hili ni la kina Msekwa kwa vile bado wameachiwa ulaji, na jingine la waliokosa.
 
MBUNGE wa Rombo, Basil Mramba, amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoani Kilimanjaro.

Mramba ambaye amepata kuwa Waziri wa Fedha wakati wa Serikali ya awamu ya tatu chini ya Rais Benjamin Mkapa, alichaguliwa kushika wadhifa huo jana wakati wa kikao cha bodi hiyo kilichofanyika mjini hapa.

Mbunge huyo ambaye kwa sasa anakabiliwa na kesi ya ufisadi ya matumizi mabaya ya fedha za serikali zaidi ya sh bilioni 11.7 wakati akiwa Waziri wa Fedha, atashika nafasi hiyo chini ya Mwenyekiti wa Bodi hiyo ambaye kwa utaratibu mpya wa serikali, ni mkuu wa mkoa huo, Monica Mbega.


Wameanza kumuosha atakate means na kesi hakuna na wamesha mpa uhakika ambao ndiyo huo kwa matendo . CCM bwana wanashika Nchi na huu ndiyo utawala bora .
 
Back
Top Bottom