Mradi wa Salama waterfront ufukwe wa Coco

Naona kwanza sijui inajengwa na Wachina. Maana mziki/tune inayosikika kwenye background ya movie, ni wa kichina.
Ningependa kukuunga mkono kuwa style kama hii inaleta ubaguzi na kuongeza matabaka nchini, maana inaoneka itakuwa sehemu ghali ya kuishi.


Bahari Beach project ni mradi wa IPIL, kampuni mama iko Uingereza, wa china ni Wajenzi tu sio wamiliki wa mradi.

IPIL ni real estate developer, amegundua uhaba wa nyumba uliopo DAR, na ameamua kutumia nafasi hiyo kibiashara. Hizo nyumba zitakuwa ni aghali kwa kipato cha mtanzania wa kawaida.
Pamoja na yote nashauri tuwape moyo kwani ni mradi wenye changamoto na wa kipekee hapa nchini, na tuwashauri watumie uzoefu na uwezo wao kujenga nyumba zilizo ndani ya uwezo wa kipato cha mtanzania ambao ndio wengi wasio na nyumba bora.
 
Naona kwanza sijui inajengwa na Wachina. Maana mziki/tune inayosikika kwenye background ya movie, ni wa kichina.
Ningependa kukuunga mkono kuwa style kama hii inaleta ubaguzi na kuongeza matabaka nchini, maana inaoneka itakuwa sehemu ghali ya kuishi.[/QUOTE]


Ni kweli itakuwa aghali kununua hizo nyumba, ila kuishi ni wewe mnunuzi unaamua kuishi maisha ya namna ipi.

Suala la matabaka lipo hata kabla ya huu mradi, na halitaondoka hadi mwisho wa dunia.

Naamini kuwa si busara eneo prime kama hili la bahari beach kuacha iwe squater, kama vijiji jirani na hapo vya ununio na kondo, kwa kigezo cha kuepuka kuleta ubaguzi na matabaka.

Au kuendelea na utaratibu wa upimaji viwanja wa TZ ambapo mtu anamilikishwa plot kwenye pori bila miundo mbinu muhimu. matokeo yake tuna Sinza, Mikocheni, Mbezi Beach, Tegeta, n.k kuna majumba ya kifisadi, hakuna au barabara mbovu saana, maji ni mtafaruku n.k.

Matokeo yake wakulu wa nchi walijenga majumba huko wakaona hakukaliki wakaamua wajiuzie nyumba za serikali zilizo kwenye maeneo yaliyopangiliwa vizuri na yana huduma zote za kijamii na miundombinu ya kurizisha.
 
Salama water front in pics. Its a serious project. Bongo itakuwa kama ulaya...! Check these pics..!

LOL! You really believe this is going to happen?

How many years have they been talking about building a bridge to Kigamboni. A simple bridge that would have taken less than a year to build in any country that is serious.
How many years have they been talking about the DART bus system? I think the first time i heard of it was about 2000 and they were saying the first phase would be complete by around 2003. It's now 2009 and they haven't even started.
How many years have they have been talking about building flyovers in Dar. The cost now is more than twice what it was when they began talking about this. Simple flyovers and they have failed to do this.

Dar es salaam and the country as a whole is run by corrupt, incompetent fools. I''m sorry to break it to you but the chances of Dar ever looking anything like those pictures is almost zero.
 
Coastal Development Company Limited (hereafter known as CDL or the Master
Developer) is considering the opportunity to develop an integrated waterfront real estate
project in Dar es Salaam, Tanzania. CDL has explored alternative site options and has
identified the reclamation as the best option for the development of some 217 hectares
of prime city real estate, including waterfrontage known as the Salama Waterfront.
This new development anticipated to contain several activities and different land uses
like residential accommodation, commercial office space, hotel accommodation, sports
and recreational facilities, retail and entertainment, and related infrastructure.
CDL has also identified the requirement to support the economic and social
development of Tanzania and has placed emphasis on the inclusion of facilities and
infrastructure that form part of Urban Development Plans for Dar es Salaam and the
National Tourism Strategy for Tanzania.
The objective of the study for the Msc. Infrastructure Planning is in two folds. First is to
explore the urban planning and, secondly the analysis of the incorporated transport
infrastructure in this new town. In the thesis, special consideration has been given to
economic, social and environmental parameters. Cross-cutting issues like Investment,
community participation and decision making, land tenure and ownership have been
brought on board.
Methods used in conducting the study is an in-depth exploration of the urban planning of
the new city in accordance with the scope; i.e. the case study. Furthermore, literature
research on Waterfront developments and interview with various Government Ministries,
the developer and the local community has been carried out.
After the critical analysis of the new town according to the set vision, the results were
compared with the Tanzanian town planning rules, parking regulation and other several
laws and acts governing the whole development of this new town.
Nimeibamba hii information kuhusu project
http://www.mip.uni-stuttgart.de/PDF/abstracts%202007/MINJA.pdf

Lakini katika latest issue ya Africa Intelligence inaonekana kuwa project imeKUFA na sasa serikali inataka kufufua:
TANZANIA
The Waterfront project is back
After the failure of the company Coastal Development Ltd, the government wants to find new backers for its project to develop the coast.
Wenye uwezo wa kununua article wafanye hivyo na watuwekee hapa information.
 
Salama water front in pics. Its a serious project. Bongo itakuwa kama ulaya...! Check these pics..!
This is Alice Wonderland....hebu tuangalie realities zinazotukabili kwanza....kufanywa kwa project hiyo si itabidi mji wote ufungwe?? ......Oooh yeah ndipo hapo capital city itakapohamia Idodomya.
 
Kama sijakosea environmenatal advocates waliupiga vita kuwa ungemaliza viumbe vingi pale.
 
huuu mradi umeishia wapi?

nawasilisha.




nb: watu wa Ulaya na USA najua mtaanza ohh lete data zaidi...sio kosa langu nyie kukaa nje na kuwa out of touch with whats going on the ground


GT naona huu mradi utaanza mara Dau atakapokuwa mkurugenzi mkuu wa harbours kama alivyofanikisha mradi wa daraja la kigamboni!!
 
huuu mradi umeishia wapi?

nawasilisha.




nb: watu wa Ulaya na USA najua mtaanza ohh lete data zaidi...sio kosa langu nyie kukaa nje na kuwa out of touch with whats going on the ground


GT naona huu mradi utaanza mara Dau atakapokuwa mkurugenzi mkuu wa harbours kama alivyofanikisha mradi wa daraja la kigamboni!!
 
Kwanini asiendeleze salama waterfront,ni mradi ambao ungetowa ajili kwa watanzania 20,000?
 
kwanini magufuli hautaki huu mradi?
hakuna sababu ya kujenga daraja, angewapaa ardhi hiyo waweekezaji wnagejenga na tungekuwa na fukwe nzuri na ya ukweli.
 
Back
Top Bottom