Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
yule dalali ni "yono".. tunayemzungumzia hapa ni Daniel Yona, mtuhumiwa ..
Daniel Yona ana mtoto aitwae Edward nae ni dalali pia(wa nyumba na viwanja)...big time
yule dalali ni "yono".. tunayemzungumzia hapa ni Daniel Yona, mtuhumiwa ..
Daniel Yona ana mtoto aitwae Edward nae ni dalali pia(wa nyumba na viwanja)...big time
Binafsi ningependa kujua mpango wa BoT nyumba zake zitakuwa ni za kiasi gani? Hawa EHTL nyumba zao wanasema zitakuwa chini ya dola laki moja.. ningependa kujua BoT wanaposema "affordable" wanazungumzia prices za range gani..
Daniel Yona ana mtoto aitwae Edward nae ni dalali pia(wa nyumba na viwanja)...big time