Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
NDINDA picha ziko wapi kijana ? au umesafiri
NDINDA picha ziko wapi kijana ? au umesafiri
Pia, Waziri Magufuli alibainisha kwamba ndani ya miradi hiyo kutakuwa na ujenzi wa barabara ya Kimara - Magomeni, ambayo itakuwa na njia sita barabara ya Magomeni -Faya itakuwa na njia nane, barabara ya Faya -Kivukoni itakuwa na njia nne na barabara ya Morocco itakuwa na njia sita.
Dk Magufuli alisema ujenzi wa barabara hizo tayari mkandarasi amepatikana ambaye ni Kampuni ya Strabag ya nchini Ujerumani.
Alisema mkandarasi huyo tayari amelipwa asilimia 20 ya fedha na kwamba, tayari hatua za mwanzo za ujenzi wa barabara hizo umeanza kufanyika.
"Tunataka ujenzi wa barabara hizi uwe wa kasi na bora, ili kuhakikisha kazi hiyo inafanyika kama tulivyopanga tayari mkandarasi ambaye ni Kampuni ya Strabag Serikali imeshamlipa asilimia 20 ya fedha anazotakiwa kupewa," alisema
usijali mkuu, inaibu jinajenga kampuni maarufu duniani la kijerumani, sidhani kama wataaford kuharibu jina lao kwa kufanya kazi ya rasha rasha bongo,Hivi barabara hizi za mabasi yaendayo kasi ni za viwango vya kimataifa, isije pita miaka kidogo na zenyewe zikawa ni nyembamba maana nchi hii haiishi sarakasi, vituko na vikchekesho...
Dar Es Salaam Bus Rapid Transit (BRT) Infrastructure, Tanzania
STRABAG International GmbH was awarded the contract for rehabilitation and extension of the Bus Rapid Transit Infrastructure (BRT = a surface metro system that uses bus technology to provide metro-like services) in the capital of Tanzania, Dar Es Salaam, with a contract value of EUR 134.4 million. The works comprise the rehabilitation and extension of three trunk roads with a total length of 21.1 km.
The contract awarded to STRABAG International GmbH is part of the „Second Central Transport Corridor Project", the purpose of which is to support Tanzania's economic growth by providing enhanced transport facilities. Its main components are the Dar Es Salaam urban transport system, the trunk roads and Zanzibar Airport.
The works in Package 1 are implemented under two lots. Lot 1 contains the rehabilitation and extension of the road from Magomeni to Kimara including 15 bus stations, the Kimara Terminal and the Ubongo Terminal. Lot 2 comprises the route from Magomeni to Kivukoni as well as the Kawawa Road from Magomeni to Morocco and the Msimbazi Road from Fire to Kariakoo including 14 bus stations and the Morocco Terminal as well as the widening of a brigde. The tender provides the construction of one axial concrete paved carriageway for each direction serving exclusively for bus transport. The existing road will be widened in order to keep the mixed traffic lanes and to include the new cycle routes and walkways. Within the roadway each 500 – 700 m bus stations have to be built, the terminals Kimara, Ubungo and Morocco have to be enlarged. Additionally, infrastructural works like drinking water supply, sewerage system and telecommunication system as well as street lighting and traffic signs will be provided.
haya ni mawazo yako na yana nafasi yake, sio kila kitu cha kichina ni kama unavyofikiria, halafu kakumbia nani mabasi yatakua ya kichina na umepata wapi hiyo abiria 70, wakati umeambiwa ni articulated buses, umeambiwa mfumo huu utakua exctly kama wa bogota, bado unawaza vingine, kazi kweli kweli, BTW, reli pia wametoa tenderMi nadhani wangejenga reli kwanzia kibaha hadi pale stesheni,ubungo kungekuwa na ki2o magomeni cha pili then kariako mwisho steshen,hapo wangekuwa wangekuwa wamemaliza tatizo kubwa la foleni,hayo mabasi na wakika 100% yatakuwa ya kichina na hayataweza kubeba more than 70 people,alafu yataharibika mapema coz yatakuwa ingini nyuma..hakuna kitachoharibika 2tai2mia iyo njia kwali ya maguta,waenda kwa miguu,baskeli,na boda
nawasilisha kambi rasmi ya upinzan
RELI ASSETS HOLDING COMPANY LIMITED TenderEVELOPMENT AND OPERATION OF DAR ES SALAAM CITY COMMUTER TRAIN SERVICES IN EXISTING RAILWAY NETWORK Closing Date: 20th July 2012 PDF Print E-mail
RELI ASSETS HOLDING COMPANY LIMITED
TENDER NO. PA/003/2011-12/N/13
FOR DEVELOPMENT AND OPERATION OF DAR ES SALAAM CITY COMMUTER TRAIN SERVICES IN EXISTING RAILWAY NETWORK
REQUEST FOR EXPRESSION OF INTEREST (EOI)
1. Dar es Salaam City with a population of over 4 million is currently facing a serious problem of traffic congestion, particularly during rush hours. The City itself is growing outwards at an accelerated rate, albeit the Central Business District 9CBD0 continuing to consolidate itself. Hence, the pattern of traffic has mainly been the outskirt of the City and the CBD, resulting into unprecedented traffic jams particularly during morning and evening hours.
2. As the Government is continuing to look for supply for and apply very possible avenue to address the problem including implementation of the Dar es Salaam Rapid Transit (DART) Project network under the custodianship of Reli Holding Company Limited (RAHCO) should be rehabilitated and upgraded and be leased on an access /usage fee mechanism" to provide urban railway transport services.
3. RAHCO was established under the Railway Act No. 4 of 2002, principally as Land lord of railway infrastructure on behalf of the Government. Its principal roles and functions as provided by the railways Act include: to acquire by operations of the Act or otherwise the rail transport functions of the Tanzania Railways Corporation (TRC) and such of its property including closes in – action, rights and liabilities transferred to assume the provision of or to provide rail infrastructure in behalf of the Government, to develop, promote and to manage the rail infrastructure assets, and to enter into agreements with other persons in order to secure the provision of rail transport services, whether by means of concession, joint venture, public private partnership or other means and do this end to delegate its own function of providing rail transport services to ne or more railways operators.
4. The existing railway network within Dar es Salaam City traverses from Dar es Salaam main railway station to Ubungo Maziwa (About 12 km) and to Pugu station (about 20 km). the two lines pass through busy and highly populated areas and suburbs of:-
i) Stesheni (Main station) Kamata, Buguruni, Tabata, Mabibo and Ubungo;
ii) Stesheni (main station) Kamata, Buguruni, Karakata, Ukonga, Gongolamboto and Pugu
5. Development may include rehabilitating or upgrading the existing track line by strengthening formation, improving telecommunication and signaling system, development of trading service and parking lots along the earmarked network section / lines, construction of passengers terminals, pedestrian flyovers, rail crossings, fencing and relaying of additional parallel lines were necessary etc.
6. Operation may involve supply and running of appropriate locomotive and passenger coaches maintenance facilities, marketing , ticketing , financial management , fostering partnership with the business community for the purposes of optimally utilizing he existing earmarked railway lines and reserves etc. Detailed terms and conditions will be provided in eh Request for proposals (RFP)which will be issued to short listed bidders,.
7. RAHCO now wishes to invite eligible firms, companies, investors consortiums or transport operators to indicate their Expression for interest (EOI) for the Development and Operation of Dar es Salaam City Commuter Train Services on Existing Railways Network.
8. Interested firms, companies investors, consortiums or transport operators must provide information indicating that they are capable and qualified to develop and operate commuter train services on existing railway network within Dar es Salaam City by submitting their profile, description of similar projects, experience in similar projects availability of adequate transport operators may associate to enhance their capability an qualifications.
9. Selection will be done on accordance with the procedures set out in the Public Procurement Act 2004 and the Public Procurement )(Good, Works, NON ONSUTLING Services and Disposal of Public Assets by Tender) Regulations 2005, Government Notice no. 97.
10. Interested eligible bidders may obtain further information form the Secretary Tender Board, Ground floor, Reli Assets Holding Company Limited, Sokoine Dive/Railway Street, P. O. Box 76959 Dar es Salaam Tel No. +255 22 2122695; Te; Fax: No. +255 22 2116525 form 10. 30 am to 03. 30 pm Monday to Friday inclusive except on public holidays.
11. The deadline for submission of Expression of interested (EOI) is at or before 10. 00 am local time on 20th July 2012. Expression of interest (eoi) must be delivered at the office of the Secretary Tender Board, Ground floor, Reli Assets Holding Company limited. Sokoine Drive/Railway Street. P. O. Box 76959 Dar es Salaam.
12. EOIs will be opened promptly thereafter in the public and in the presence of EOIs representatives who choose to attend the opening ceremony in RAHCO conference Room, 1st floor Sokoine Drive/Railway Street, Dar es Salaam, EOIs must be clearly marked as Expression of interest for Development and Operation of Dar es salaam City Commuter Train services n Existing Railway Network.
13. Electronic, telegraphic, telefax will not be accepted. Late EOI shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.
The managing Director
Reli Assets Holding Company Limited
P. O. Box 76959
Dar es Salaam
Mradi una several shortcomings. Hautafanikiwa. Wangetaka mradi wa miundombinu wangeenda kujifunza kwa wenzetu wa Malaysia.
kama zipi mkuu hebu tufumbue macho, DART walienda India na Colombia na wakaamua kujifunza wa transmilenio wa bogota colombia, unaweza kutufafanulia vizuri kwa nini unaona un shortcomings na kwa nini wangeenda kujifunza ule wa malaysia? asante mkuu
kama zipi mkuu hebu tufumbue macho, DART walienda India na Colombia na wakaamua kujifunza wa transmilenio wa bogota colombia, unaweza kutufafanulia vizuri kwa nini unaona un shortcomings na kwa nini wangeenda kujifunza ule wa malaysia? asante mkuu
kama zipi mkuu hebu tufumbue macho, DART walienda India na Colombia na wakaamua kujifunza wa transmilenio wa bogota colombia, unaweza kutufafanulia vizuri kwa nini unaona un shortcomings na kwa nini wangeenda kujifunza ule wa malaysia? asante mkuu
Nchini Malaysia, jijini Kuala Lumpur, walikuwa na tatizo kama letu. Wakapata ushauri toka USA. Wakaamua kuwekeza kwenye Monorail. Umekuwa mradi mzuri na wenye mafanikio mazuri kiasi kwamba WANAUPANUA sasa.
Kwa taarifa zaidi, just Google keywords "Kuala Lumpur Monorail". Utajionea mwenyewe ninachomaanisha.
nimekupata mkuu, sasa momorail inawashwa na nini kama hata umeme wa kuwasha vijibanda vyetu unatupa shida, BRT system ni sawa na subway ila juu ya ardhi, ni bei nafuu na ndio maana serikali imeamua kuendeleza mradi huu. kuhusu kujifunza, wameenda maeneo mengi pia, USA, INDIA, SOUTH AFRICA, COLOMBIA. kwa hiyo kuhusu kujifunza usijali, kumbuka mradi huu umeanza kuandaliwa zamani sana
ANGALIA LINK HIZI
Rea Vaya - Visitors get advice on BRT
African Delegation Tours South Miami-Dade Busway - Miami, FL - 81 - AmericanTowns.com
ITDP | Institute for Transportation and Development Policy : News : A Brighter Future for Dar es Salaam is Within Reach