Hekima Ufunuo
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 220
- 11
Juzi nimepita mahali ambapo kitega uchumi cha mwalimu Nyerere Foundation kilikuwa kijengwe nikaona majani tu, hata ule uzio uliokuwepo umeondolewa.
Wadau nauliza, ni kitu gani kimetokea kwenye huu mradi mkubwa ambao hata mimi nilichangia kwa kununua bahati nasibu ya Ndugu yangu M. Sabodo?
Viongozi hawa wa CCM ndiyo wanatuimbia kila siku wanamuenzi Mwalimu, Je Mbona wanataka kuiua Foundation yake?
Please help me.
Respect
Wadau nauliza, ni kitu gani kimetokea kwenye huu mradi mkubwa ambao hata mimi nilichangia kwa kununua bahati nasibu ya Ndugu yangu M. Sabodo?
Viongozi hawa wa CCM ndiyo wanatuimbia kila siku wanamuenzi Mwalimu, Je Mbona wanataka kuiua Foundation yake?
Please help me.
Respect