Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
naomba kujuzwa kidogo hivi ikishakuwa digital inamaana atutatumia tena antena za kawaida watasaplay decoder au sijaelewa jamani
Utaendelea kutumia antena kama zamani. Tofauti kwenye digital picha inaonekana vizuri zaidi na ukiweza kama mpunga unaruhusu unaongeza Digital box ambako makampuni mengi huweka bundles kama vile za channel za sport, adult films, na hub ya fast broadband internet. Vile vile unakuwa na chance ya ku-rewind programme unayoangalia au kurecord any two programmes kwenye channel tofauti at the same time. Au ukachagua programme tofauti tofauti kutokana na chaguo lako. Ukiweka Digital box huna haja ya Aerial.
Kwa UK mfano ukiwanayo unaweza kuona michezo mingi Live kwenye Skysport 1, 2, 3 and 4 pamoja na vikolombwezo kibao ambavyo kwa mwezi utalipa kama £60. Kwa Tanzania inategemea. Digital zilianza kuuzwa UK wakati wa karibu na fainali za World Cup kule Japan na Korea na wakati huo zilikuwa zinauzwa kama £1000.00 na ushee. Hivi sasa bei ni poa sana utapata digital kuanzia £150 inategemea na model.