Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
source??
source ni vituo vya kupigia kura huko Mbeya mjini..
source??
Not to say kwamba Sugu ni mkata viuno, au hana uwezo, lakini swali la kuulizia uwezo wake ni legit na linahitaji a thorough examination.
Amechaguliwa kwa vyote.amechaguliwa kwa umaarufu wake ama uwezo anao?
Ni akina wale wale tu........Hana tofauti na Ms Banji! Kawatukana watu matusi ya nguoni kisha tumfurahua! Ningesikitika kupata mbunge asiye na morals Kama huyo
Mtazamo wako ni mzuri sana.
Inakuwaje swala la Mr. Sugu lionekane lihusishe uwezo wake? Je ni kwakuwa ametokea upizani?
Mi hata sikuelewi kwa maana inaonekana umaarufu wake umekufanya uhisi ndivyo sivyo....
Hao unaodhani wamekuwa wakigombea kwa kuwa wana uwezo wamefanya nini ktk nchi hii?
Go go go..... Mr. Sugu ...Its your time!
Unamsema shy rose nini?At least mtu kama huyu akisema anataka kwenda ku fight status quo mtu unaweza kuamini.
CCM ina hali ngumu leo kuweza kumchagua ni nani ambaye anaweza kuchukua Jimbo hilo, ambalo tayari CHADEMA -Mbeya wametupa karata yao vizuri.
.
Nasikia Kutoka Mbeya kuwa Nkwenzuru ameibuka Kidedea kwenye kura za maoni za CCM
ni kweli kujua uwezo wake,Two wrongs do not make a right, kama kuna watu walichaguliwa kwa kukata viuno hili halihalalishi wengine wachaguliwe kwa kukata viuno.
Not to say kwamba Sugu ni mkata viuno, au hana uwezo, lakini swali la kuulizia uwezo wake ni legit na linahitaji a thorough examination.
Morals my ass. Nani mwenye haki ya kunyooshea vidole maadili ya mwenzake? Kwenye siasa hakuna maadili bana.....
amechaguliwa kwa umaarufu wake ama uwezo anao?
Uwezo gani unaouzungumzia hapa?amechaguliwa kwa umaarufu wake ama uwezo anao?
Tehetehe-tehe-tehe.. Jibu murua kuliyo!!! Big up kigogosource ni vituo vya kupigia kura huko Mbeya mjini..