Tena anayegombea nadhani wanaundungu!! Nakaaya Sumari ndio jina lake!!
Siku hizi yuko Arusha anafanya kazi kwenye kampuni moja ya Tours iko huko Usariver!!!
Ule wimbo ulikuwa poa sana ila unawachana sana viongozi,sidhani kama CCM wataukubali ARUMERU!!
na wewe unaitwa nani?hawana undugu wowote zaidi ya ukoo yeye anaitwa Gloria Abraham Sumary na huyu anaitwa Sio Solomon Sumary .
na wewe unaitwa nani?
Anaitwa Kurchu Isack Sumaryna wewe unaitwa nani?hawana undugu wowote zaidi ya ukoo yeye anaitwa Gloria Abraham Sumary na huyu anaitwa Sio Solomon Sumary .
Anaitwa Kurchu Isack Sumary
Di unaona solomon, Abraham, Isack!