eRRy
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 1,125
- 204
Aliyekua muimbaji wa Dansi nchini Lucas Mkenda au Mr. NICE kama anavyojulikana na wengi amempa Yesu maisha yake tangu mwezi wa nane mwaka huu. Anahudhuria ibada, maombezi na tayari amebatizwa. Chanzo cha habari kinasema anaabudu Kawe kwa GeoDavie jijini Dar-es-salaam, tayari ana nyimbo nne za kusifu na kumuabudu Mungu. Amekua akitoa ushuhuda wake kwamba Mungu amemponya na kuyaokoa maisha yake.
Source:http://strictlygospel.wordpress.com/2009/10/12/mr-nice-ameokoka/
Source:http://strictlygospel.wordpress.com/2009/10/12/mr-nice-ameokoka/