WIRELESS
Senior Member
- Dec 18, 2010
- 106
- 3
Si bure... atakuwa anaumwa huyu jamani. Tusifanye mzaha kwenye hili. Tunaomba wale walio na taarifa watujuze.. Hiyo hali kwenye picha inaonekana kama anasumbuliwa na kaugonjwa fulani....
ki afya naona si mzima huyu. angalia sura yake, haina tumaini kabisa, lakini si mnajua mzazi mwenzake alishatangulia mbele za haki.