N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 556
Anatoa tongotongo, maamuzi kama Lyatonga. Utendaji mzuri ni wa matendo si maneno. Anyway ni agizo zuri lakini halitekelezeki yaani mpaka kesho. Uamisho wa kawaida unachukua miezi kibao haya wa Lukuvi utachukua muda gani?