mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 661
Namshangaa sana rais kikwete a.k.a Mr kuchekacheka kwa jinsi anavyofanya masihara na maisha ya watanzania. Kwa kweli maisha yanazidi kuwa magumu sana na kila kukicha ni afadhali ya jana, sukari inazalishwa hapa tz tena kuna viwanda kibao lakini kila siku bei inapanda. Leo nimenunua kilo kwa shilingi 3,000/-
Umeme ndio huo unapaa kama Tai vile
Kwa ujumla vitu vyote vimepanda bei huku wale wafanyakazi wa serikali mishahara iko pale pale, lakini jamaa anachekacheka tu hasemi lolote la maana bali tumethubutu tumeweza na tunasonga mbele.
Walimu walimaliza vyuo mwezi wa sita mwaka jana hadi leo hawajui wataajiriwa lini kisa fedha hakuna lakini maadhimisho ya miaka 50 mabilioni yametumika. Shame upon this country na viongozi wake. Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa sana lakini huyu bwana anawachekea wazungu wanaoiba huu utajiri wetu. Utadhani sio mtanzania vile, yupo kimya kwa mambo ya msingi ambapo ndio wakati aliopaswa kuonyesha msimamo wa nchi na maamuzi magumu ili kuwakomboa watu wake (watz )
Mafuta yanapanda bei kila siku huku wauzaji wakifanya maamuzi wanayoyaona yanafaida kwao huku jk amekaa kimya tu. Akija kuongea anacheka tu na kuongea upupu. Watanzania tutafika????
Greater thinkers changieni.
Mods chonde chonde msiitoe hii topic kwani nyie pia hii hali ya taifa kwa namna moja au nyingine inawaumiza na hamuipendi, solutions nzuri zinaweza tolewa hapa na Baba riz akazichukua
Umeme ndio huo unapaa kama Tai vile
Kwa ujumla vitu vyote vimepanda bei huku wale wafanyakazi wa serikali mishahara iko pale pale, lakini jamaa anachekacheka tu hasemi lolote la maana bali tumethubutu tumeweza na tunasonga mbele.
Walimu walimaliza vyuo mwezi wa sita mwaka jana hadi leo hawajui wataajiriwa lini kisa fedha hakuna lakini maadhimisho ya miaka 50 mabilioni yametumika. Shame upon this country na viongozi wake. Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa sana lakini huyu bwana anawachekea wazungu wanaoiba huu utajiri wetu. Utadhani sio mtanzania vile, yupo kimya kwa mambo ya msingi ambapo ndio wakati aliopaswa kuonyesha msimamo wa nchi na maamuzi magumu ili kuwakomboa watu wake (watz )
Mafuta yanapanda bei kila siku huku wauzaji wakifanya maamuzi wanayoyaona yanafaida kwao huku jk amekaa kimya tu. Akija kuongea anacheka tu na kuongea upupu. Watanzania tutafika????
Greater thinkers changieni.
Mods chonde chonde msiitoe hii topic kwani nyie pia hii hali ya taifa kwa namna moja au nyingine inawaumiza na hamuipendi, solutions nzuri zinaweza tolewa hapa na Baba riz akazichukua