barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
Mkii mr gentleman sadifu basi maana ya jina lako...Nini tofauti ya "Mixtape" na "Cover"?....mimi nilidhani ni kitu kimoja,naomba nielimisheUjui lolote kuhusu mixtape usilete ujuaji kwa usilolijua... Kwenye muziki kuna wimbo, kuna remix, kuna cover, kuna mixtape... Beka alifanya cover.. Hii ya Sugu ni nyimbo na anajifanya kui own ilihali aliitwa na Blue kushiriki leo inageukaje ya kwake?