mujimali
Senior Member
- Jun 21, 2013
- 190
- 115
Tofautisha mixtape na cover song...kwa hili sugu habebeki.Alichofanya Sugu ni "Mix Tape",hii ipo kote duniani,Legendary kufanya "mixtape" ya wimbo aliyowahi kushiriki ili kuwapa radha mashabiki wake wanaokubali mziki wake.Sugu ana mashabiki wanaopenda Hip hop yake,na mwenyewe kasema baada ya harakati za Siasa aliamua kuwapa watu wake radha ya wimbo katika Audio na Video
Sugu hajaufanya huo wimbo kibiashara au kiushindani,ameufanya wimbo huo just kuwapa burudani watu wake.Ndio maana kwa "uugwana" kaamua kutoa ile mistari ya Mr Blue,pengine "concern" ya Mr Blue ni kuona kwanini Sugu kamuita Roma na kina Prof J yeye akaachwa??
Sugu ana "haki" zake katika Verse alizochana na Mr Blue,ndio maana kachukua zile zake tu,na za Mr Blue kaziacha.Hili ni tatizo kwa Wasanii wa Bongo kukutana vijiweni bila kuwa na "Haki Miliki" za wimbo,kama umeimba na mtu kwa kumshirikisha,na haki miliki ipo kimya,mistari aliyoimba mwenzako kwa kumshirkisha inabaki kuwa yake na wimbo unabaki kuwa wenu.
Mix-Tape ipo sehemu zote duniani....Maana hapa kuna watu wameanza kuingiza UKAWA na CCM bila hata kupata muda wa kujiuliza.Hii kazi ya kumuandama Sugu inaendelea,maana wakati anaandaa nyimbo zake akaja humu Lizaboni kusema Sugu anamiliki magari ya kifahari
Leo Mr Blue anasema "kaibiwa",halafu leo leo saa tatu usiku Clouds Tv Kipindi cha "Take One" Zamaladi mke wa Ruge atamuhoji Mzazi mwenzake na Sugu maswali ambayo najua baada ya kipindi uzi utaletwa hapa.Ndio maana siipendi siasa,kutwa kucha kuviziana
Beka kaimba wimbo wa Adela,na hakuna lolote sbb ilikuwa kama "mixtape" tu.Sugu hajautoa wimbo huo kwa "Commercial purposes" hiyo ni zawadi ya mahadhi yake kwa wale waliokuwa wamemiss miondoko yakeView attachment 342479View attachment 342480
Sugu kaiba wimbo wa mr blue. Kwanza huyu jamaa (sugu) ni mnafiki na kigeugeu sana. Harakati zake za vinega/anti-virus ziliishia wapi? Aliwaacha wenzake kijiweni, yeye akala pesa za ruge..leo kachukua wimbo wa mr blue na kusema wake. Hizo harakati unazosemaga unafanya ni zipi?? Harakati za kinafiki tu.
Sugu, you're douche.