Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 151
Mtoto wa Kishua na Nguvumali, situation is even worse kwa wasanii wa nyimbo za injili. Nina mfano ulio hai wa jinsi gani akina dada wa nyimbo za injili wanavyosumbuliwa na Ruge.
Ukikataa kutoa penzi, basi nyimbo zako hazitasikika kwenye redio yeyote ile, labda Radio Maria.
Inauma lakini ndio ukweli nazungumza maana niliwashauri sana vijana walioshiriki kwenye Gospel Star Search wawe mbali na jamaa kuna waliosikia japo mpaka leo nyimbo zao hazisikiki na ni wazuri, kuna waliokubali kumtanulia miguu Ruge ili wapate fedha za kazi zao halali ya miziki!
Ruge is another Rostam when it comes kwenye issue za maslahi yake, is Idd Amin, rapist, I do believe his dys are numbered; Ruge ni mfalme anayetaka kubusiwa miguu, I dont get it; Ruge ana nguvu ya kumwambia mama Rwakatare kuwa nyimbo za fulani zisipigwe au zipigwe...kuna kitu hapa na tatizo la watu wabaya kama hawa huwa hawafi mapema.
I am happy umewataja akina Kipanya, fitina na mipango ya waovu huwa haidumu, wameshagombana kwa 'amani' wenyewe, ila dhambi hizi zitawafuata
I am writing with confidence kwani mdogo wangu wa kike anaonja joto ya jiwe kwa kukataa kulala na Ruge!
Big up Mr.2 hata kama atashinda kesi lakini atajua watu hawamuogopi.
Hapo umeongea ukwlei wote Ruge is so evil, huyu jamaa ndio anazidi kupanda chati, kibaya zaidi ni kwamba , Rais Kikwete kaisha mkubali sana na anampa madili makubwa, teari ile mastering studio uko chini ya RUge . hicho ni kifo cha wasanii, na shindwa kuelewa ni ukaidi wa Raisi au ni ushauri mbaya, sielewi kwanini fail la Ruge halija angaliwa na wahusika mbaka kumhusisha na Rais.