Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Jana iliripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya Mr II atawania ubunge katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya CHADEMA, na jimbo analowania ni Mbeya mjini.....
Kama ni kweli Sugu nazidi kumheshimu,.... kwani unafiki wa kujipendekeza CCM kwa wa sanii wetu umezidi, big up sugu.....ni haki yako ya msingi na ukizingatia awamu hii umenyanyaswa sana na Serikali hii ya JK na Mwamae Ridhiwani akiwa kinara wa kukupiga vita...!!
Mwaga sera mkuu, mbeya ni watu waelewa sana wanaweza kukusogeza mjengoni......
Kama ni kweli Sugu nazidi kumheshimu,.... kwani unafiki wa kujipendekeza CCM kwa wa sanii wetu umezidi, big up sugu.....ni haki yako ya msingi na ukizingatia awamu hii umenyanyaswa sana na Serikali hii ya JK na Mwamae Ridhiwani akiwa kinara wa kukupiga vita...!!
Mwaga sera mkuu, mbeya ni watu waelewa sana wanaweza kukusogeza mjengoni......