TANZIA Abeli Motika (Mr. EBBO) Afariki Dunia

RIP MKUU,..
uMETUBURUDISHA SANA!

2ehh7yk8oh56ro2a.jpg
 
Bwana Ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe! RIP Mr EBBO!
 
R.I.P one of the bongo music revolutionary maestro

cant forget how you changed our music
 
Wana JF kuna habari za kusikitisha nimezipata asubui hi kuwa mr Ebo kafariki, je wenzangu mmezipata?
 
Tumepoteza kipaji muhimu sana. I still have his album "Fahari Yako" RIP Brother Ebbo (Abel Loshilaa Motika), director of Motika Records.
 
Dah!huyu jamaa amefariki,mungu amlaze pahala panapofaa masikini!naona utakua ni msiba mzito kwa mh.lowassa,jamaa alikua mshikaji wake sana mheshimiwa pamoja na mzee mkapa!

R.I.P.BROTHER!
 
Back
Top Bottom