Wajameni sijaelewa huyu mkuu wa afande hapa Dar daily kideoni,mara amekamata vibaka.. ooh wamachinga...,hivi hakuna msemaji wao kwa kanda hii au ndo kale katabia akistaafu mjengoniiiiiii
Nimeeipenda hiyo RED!LolKujifagilia muhimu babaake!
Ampe junior wake atangaze, halafu sifa kwa nani?
Mjini hapa besti, ongea na watu upate viatu!
..Biashara matangazo mkuu....akipanda jukwaani siku ile utamsikia...Si mlikuwa mnaniona kwenye tuluninga twenu nakamata vibaka nafaa sana kuwa riwakilishi renu kure mujengoni!!!Wajameni sijaelewa huyu mkuu wa afande hapa Dar daily kideoni,mara amekamata vibaka.. ooh wamachinga...,hivi hakuna msemaji wao kwa kanda hii au ndo kale katabia akistaafu mjengoniiiiiii
kwa utaratibu wa polisi cheo chake kinamfanya pia kuwa msemaji wa polisi wa eneo lake