MPYA: Liyumba akwama tena Mahakamani

LIYUMBA amchukue SHIVJI sidhani kama hii kesi itakaa zaidi ya miezi 2 mahakamani

this is ridiculous utamwambiaje mtu aweke dhamana nusu ya pesa aliyoitia hasara serikali wakati hakuna mahakama iliyomtia hatiani kwatuhuma za huo wizi in the first place?

mwanzo i thought hawa jamaa wanafanya DOUBLE JEOPARDY lakini i was wrong what we see here ni close to it

mimi niko ok na watuhumiwa kushitakiwa na no matter how much nitakuwa nina tofauti na watuhumiwa i still believe they deserve to have equal treatment under the law

what we see here is LAW OF THE JUNGLE at play

hakuna zaidi jamaa wanataka kuprove a point ambayo haipo na kuendesha kesi based on feelings ni wrong

liyumba haonewi wala nini bali kila anachofanyiwa ni kulingana na sheria...labda tulalamikie kuwa sharia ni mbovu
 
Kashitakiwa kwa sheria ipi

na hiyo bond ni kwa sheria ipi

then hapo tunaweza kunarrow down

ni kulingana na Criminal Procedure Act, 1985 S. 148(5)(e)
soma vizuri utaelewa...section yote hiyo inazungumzia mambo ya dhamana
 
haya ndio mambo tunayotaka

asante sana noja niingie chimbo baadae

nashukuru kwa kunielewa...hii sheria inalalamikiwa sana na kuna kesi ya kikatiba ya prof. mahalu iko mahakama kuu wanalalamikia hiyo section kuwa haiko sahihi kikatiba!!!!
 
Ninachoshindwa kuelewa kuwa cost ya kujenga Twin Towers ni 221 billion na hapo hapo mnamshtaki mtu kwa kusababisha hasara wa ujenzi huo. Prosecuters wangetakiwa watueleze within reasonable doubt kuwa hilo jengo lilijengwa na malipo yake yalifanywa kwa amri ya Liyumba. Board , Wizara na Bunge(kuidhinisha proposal) zilikuwa wapi na walifanya nini?
Ninavyoelewa mimi , watu ambao wanahusika ni ujenzi ni pamoja na architect, consultants, Ma QS, structural engineers, mechanical eng na electrial eng. nk. Hawa huwa wanakuwa na site meetings regularly, say after every two weeks na malipo yoyote yanafanyika baada ya hapo . BOT nayo ina financial regulation zake. Hela hazitoki mfukoni mwa Liyumba. Malipo yanafanyika baada ya hatua zote kufuatwa ie kupita thru all channels incl internal audit ndipo malipo hufanywa.
Hawa wengine nao siyo accomplices wa Liyumba (kama kweli kuna hasara ya 221 Bill)?
BOT wenye kama mdau mkubwa wa hii project wameshindwa kusema wamepata hasara kiasi gani. Imebidi ku emlpoy services ya kampuni kutoka nje kufanya tathmini. Nadhani kama PCCB wameweza kulifanya hilo (ikiwa kama ni moja ya majukumu yao) , BOT ingeweza kuokoa garahama kwa kuwatumia.
 
LIYUMBA amchukue SHIVJI sidhani kama hii kesi itakaa zaidi ya miezi 2 mahakamani

Mkuu,
Kumchukua Issa Shivji wont result into a speedy hearing.Ucheleweshaji wa kesi mahakamani ni tatizo sugu na kwa miaka mingi zimeshaanzishwa hata kamati za ku speed up cases na haijasaidia kitu.Kumbuka Shivji aliwawakilisha BAWATA mahakamani na kesi imeisha juzi tu - almost 10 year later!Tena uzoefu unaonyesha kuwa kesi zenye mawakili ndizo huchelewa sana - partly mawakili huchangia kwa ku- raise preliminary points of law, kuomba interlocutory orders na mabishano mengine ambayo kwa kiasi japo yanahusika na kesi lakini yako nje ya main issue. Kesi inavyozidi kuchelewa pia ni biashara nzuri kwa wakili maana wataongeza dau la gharama za uwakilishi wa kisheria.
 
lakini file liliitwa mahakama kuu, hata kabla ya waendesha mashtaka hawakata rufaa, inawezekana kuna mkono wa jk hapa kwa yale mambo ya kipuuzi kama ya akina babu seya
 
Jamani hata kama mtu anatuhumiwa ufisadi, dhamana ni haki yake! inaonekana kweli kuna mkono wa mtu nyuma ya kesi hii...Yaani dhamana ya mabilioni ya shilingi!! Ukomaliaji huu wa serikali ungekuwa unafanywa pia kwa kina Rostam nadhani mambo yangekuwa safi sana!

Rostam tu? Mramba, na Chenge wote nao wangekuwa bado selo! Psychological (mind0 games tu wanamuangamiza huyu baba, chuki binafsi!

Yale yale ya Babu Seya na wanawe!!!
 
nashukuru kwa kunielewa...hii sheria inalalamikiwa sana na kuna kesi ya kikatiba ya prof. mahalu iko mahakama kuu wanalalamikia hiyo section kuwa haiko sahihi kikatiba!!!!

Tusichanganye madesa hapa hizi kesi ni tofauti kabisa. Hilo suala la katiba analodai Mahalu limeshaamriwa na mahakama kuwa kinga ya kibalozi haisaidi anapotenda makosa nje ya majukumu yake ya kibalozi. Kuiba pesa kwa kupandisha thamani ya jengo si jukumu la kibalozi. Kesi yake ni ya wizi tatizo ni wale wanoendesha mashtaka kujikanganya kwa kudai alisababishia serikali hasara na bila shaka mawakili wake wangekomalia hilo kesi hiyo ingrkuwa imeshafutiliwa mbali. Sasa kwa kuchanganyikiwa kwao wanakuja na vioja eti "kinga ya kibalozi" mara eti ushahidi uliotolewa kwa video conference usipokelewa hawa jamaa sijui wako dunia gani vile.
Kwa upande wa Liyumba kama watu wengi wanavyohisi ni mkono wa mtu hicho kifungu kinasema wazi thamani ya mali iliyoibiwa, haiwezekani kuchomeka kusababisha hasara labda kama anavyosema GT kwa sheria za 'The Jungle Law.' Pia hii kesi si bure hiyo bodi yote wako wapi ikiwa watu wawili tu wanaidhinisha mapesa yote hayo wao wako kimya? Hivi ni visasi Period.
 
Haki ya dhamana Tanzania na popote duniani ni kwa mujibu wa shera ie not absolute! Watu hawajui hata haki ya kushi Tanzania ni kwa mujibu wa sheria. Ndio maana kuna hukumu ya kifo. Wewe kama uko rumande fuata masharti ya dhamana ndio utapata hiyo dhamana. Kama ukileta nyaraka za uongo au ukidanganya kuhusu lolote linalohusu dhamana unajiloga mwenye. Huko kusema kuna mkono wa mtu kuna ushahidi wowote au just a matter of speculation?
 
Liyumba kwa godfrey shaidi ni dhahiri maamuzi yalitarajiwa kuwa hivyo, judge ndiye aliyemuachia fereshi mikoba na hii ni asante yake kwa kupanda. All in all timu ya kisheria ya liyumba inatakiwa iitumie kesi hii kama alivyofanya marehemu ndyanabo alipoishinda serikali ktk ile issue ya dhamana ya 5m ili kupinga matokeo ya uchaguzi, hakimu alifanya maamuzi sahihi na kama wadau wataipata nakala ya maamuzi yake mtaona ground za wazi za maamuzi yake, hayakuwa na chembe ya taka zaidi ya fact na translation ya charge yao. Hakuna rushwa wala mpunga, liyumba hata mawakili wake hawajalipwa todate wameamua kupambana ili haki itendeke tu.

Timu ya liyumba wanapaswa kuipeleka issue hii court of appeal ili tafsiri sahihi ya kutia hasara na mtu kuiba na hata hicho kipengere 145 e kama kina tally na issue ya liyumba.

Ni chance ya lawyers kuwaonyesha legslators wetu wamekuwa wakitunga sheria hovyohovyo bila kuzingatia haki na tafsiri sahihi juu ya wananchi wao.
Pole sana mseminari liyumba, take heart, god will provide for you.
 
hivi huyu Jaji Shaidi ni ndugu na Wakili Shaidi? na si ndiye aliyekuwa DPP wakati wa sakata la Zombe!!?? na TUME ya Rais si ilisema wale wafanyabiashara wameuwawa...na Jaji Shaidi ni mteule wa Kikwete huyu.....hivi, ni kiongozi gani ambaye wakati wa mojawapo ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani aliongelea suala la vigogo kuhonga magari MEKUNDU...hivi ni kweli LIYUMBA alikua anahonga magari mekundu....THE QUEST OF LAW & MORALITY....NAJARIBU TU KUFANYA CONNEXION WADAU, BUT IT IS MERE HYPOTHETICAL....
 
WanaJF naomba kuuliza.
Huyu Liyumba si alikuuwa ameshtakiwa na Kweka???
Vipi habari za Kweka mbona hazisikiki?
Aliachiwa kimyakimya kule polisi walipokamatwa mara ya pili?
Naomba kufahamishwa
 
Hivi wakati huyu Liyumba anaisababishia serikali hasara ya kiwango hicho, wengine walikuwa wapi, ie viongozi kuanzia hapo BOT hadi hazina. Hapa ni usanii tu na wasiwasi wangu itaishia kama ya Balali!
 
Ninachoshindwa kuelewa kuwa cost ya kujenga Twin Towers ni 221 billion na hapo hapo mnamshtaki mtu kwa kusababisha hasara wa ujenzi huo. Prosecuters wangetakiwa watueleze within reasonable doubt kuwa hilo jengo lilijengwa na malipo yake yalifanywa kwa amri ya Liyumba. Board , Wizara na Bunge(kuidhinisha proposal) zilikuwa wapi na walifanya nini?
Ninavyoelewa mimi , watu ambao wanahusika ni ujenzi ni pamoja na architect, consultants, Ma QS, structural engineers, mechanical eng na electrial eng. nk. Hawa huwa wanakuwa na site meetings regularly, say after every two weeks na malipo yoyote yanafanyika baada ya hapo . BOT nayo ina financial regulation zake. Hela hazitoki mfukoni mwa Liyumba. Malipo yanafanyika baada ya hatua zote kufuatwa ie kupita thru all channels incl internal audit ndipo malipo hufanywa.
Hawa wengine nao siyo accomplices wa Liyumba (kama kweli kuna hasara ya 221 Bill)?
BOT wenye kama mdau mkubwa wa hii project wameshindwa kusema wamepata hasara kiasi gani. Imebidi ku emlpoy services ya kampuni kutoka nje kufanya tathmini. Nadhani kama PCCB wameweza kulifanya hilo (ikiwa kama ni moja ya majukumu yao) , BOT ingeweza kuokoa garahama kwa kuwatumia.

Mkuu Heri,

Hapo ndipo nami ninapochanganyikiwa kiasi cha kutilia shaka kesi hii, yawezekana kabisa huyu jamaa akawa mbuzi wa kafara tu kama ilivyokuwa kwa Balali lakini huyu kupitia mkondo wa sheri.

Hii hasara ni kubwa mmno, yawezekana sana ikawa another Kagoda!
 
....
Wampe hiyo dhamana na waendeshe hiyo kesi haraka na ufanisi na waprove within reasonable doubt kama Liyumba ni guility.
Tutaanza kusikia kuwa uchunguzi haujakamilika!

tafadhali fafanua kwa kiswahili kwanza unamaana gani hapo...!
 
Back
Top Bottom