gbrother
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 408
- 51
Nimepata ataarifa kwamba tcu watatoa maelekezo mapya leo ya nini cha kufanya ili uweze kuconfirm,
pia kwa watakaotaka msaada zaidi wanadai mida ya 9:30 kuna afisa atawaelekeza,
PLEASE KWA AMBAO MPO DAR KAMA VP NENDENI TCU ILI MTUSAIDIE TULIO MBALI NINI CHA KUFANYA.
Ofisi zao zipo mikocheni, unashukia kituo cha science, upande zilipo ofisi za ttcl kuna njia inaelekea rose garden, unaenda na njia hiyo hiyo tcu ijo upande wa kushoto.
pia kwa watakaotaka msaada zaidi wanadai mida ya 9:30 kuna afisa atawaelekeza,
PLEASE KWA AMBAO MPO DAR KAMA VP NENDENI TCU ILI MTUSAIDIE TULIO MBALI NINI CHA KUFANYA.
Ofisi zao zipo mikocheni, unashukia kituo cha science, upande zilipo ofisi za ttcl kuna njia inaelekea rose garden, unaenda na njia hiyo hiyo tcu ijo upande wa kushoto.