gbrother
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 408
- 51
Wale wote ambao wamechaguliwa vyuo/course ambazo hawajaomba kwa mujibu wa afisa wa tcu akitutangazia baadhi ya wanafunzi tuliofika tcu makao makuu, leo jioni watatoa taarifa kwa watu hao ili waconfirm kama wanataka course na chuo walichopangwa, kama hawataki watapewa maelekezo ya kufanya.
Kuna watu wengi sana tumepelekwa ifm accounting wakati sio chaguo letu.
Ikitoka jamani tupeane taarifa.
Kuna watu wengi sana tumepelekwa ifm accounting wakati sio chaguo letu.
Ikitoka jamani tupeane taarifa.