MPs warned over documents

Ila na wao ni wananchi wanastahili kutunziwa siri zao kama wewe unavyotunziwa hata hivyo hao wengine kesi zao zikomahakamani na mahakama ndio inahukumu wewe huna uwezo wa kuhukumu kama unafikiri waliiba au kufanya chochote cha kuvunja sheria na una ushahidi peleka suala lako katika vyombo vya sheria --- hapo tukokwa maslahi ya nchi sio mtu mmoja mmoja au makundi ya watu au vyama au dini au kabila



Una maana hatuna haja ya kuweka Polisi na mahakama kwani kila mmoja ana haki ya kufanya anavyotaka?
 
Ungelikuwa unaenda kanisani na kitunguu

ahhaaaa, duh nyakati zile jamaa nikimwangalia niliona kabisa nilikuwa naogopa mana masharti alibadilisha kama nini kwa kuloa kwa ajili ya mibaraka aliokuwa natoa kupitia ushuhuda wake na majiguvu achilia mbali kutema mate. Mimi kipindi kile nilikuwa form one na mkutano ulikuwa pale moshi tech kama nakumbuka vizuri, nikajiona kama nakula offer ya mzee maana nilipewa pesa pasipo kulia.

Alinifuata akasema kijana njoo nikuombee, akaniuliza nina shida gani? akani uliza kwani wewe hufeli? nikmwambia majibu sijapata. nikamwambia nasikia eti kama huna shida unawezaje kulia? akasema mlilie Mungu atunusuru na shida nikamuuliza shida gani? shetani na kazi zake. ni zipi hizo? akasema lindi la umaskini na pia hila chafu. kwa kweli sikumuelewa. ndo namuelewa sasa!

Mara jina lake nikashangaa lipo kwa siasa kumbe ndo huyo! Hakika Lazaro Nyalandu utakuwa kuni wewe!!!!
 
Govt to act on info leakages
By Orton Kiishweko and Faraja Jube, Dodoma

The Government has vowed to crack down hard on politicians who use classified and confidential documents to gain political capital from the public.

The minister of State in the President's Office (Public Service Management), Ms Hawa Ghasia, revealed this in Parliament yesterday, noting that investigations were underway to identify and pin down politicians and civil servants who leak out confidential and classified information.

The minister said the Government is following up on loopholes through which public files get leaked to politicians with the intention to take disciplinary action.

"As we carry out investigations, we have changed public servants we suspect from their sensitive stations to others, but we have not yet arrested any of them,"she said.

She was answering Matemwe legislator Ameir Kheri Ameir who had wanted to know if the Government has arrested any suspect between January and December last year in relation to theft of confidential information.

He also wanted to know action taken against the culprits.The minister admitted that confidential documents were being stolen and used for political purposes. "This problem cannot be brushed away and it is prudent for the Government to establish sources of the leaks," she said

She said theft or possession of such documents is a criminal offence under the National Security Act of 1970, and the Public Service Act 2002.

Minister Ghasia said the laws empowers the Government to arrest and prosecute in courts individuals involved.

She said her office has upgraded education standards of record keepers up to certificate and degree levels. Between 2005 and 2007, the Government provided special training to 900 record keepers in ministries, regions, districts and district councils throughout the country.

The Government in 2001, warned public servants against use of electronic mail to leak documents.

Legislator Siraju Kaboyonga (CCM) also wanted to know which law was used against Members of Parliament who use in the House public confidential documents as points of reference.

The minister said laws against theft of classified documents did not protect MPs from prosecution.

"We know that MPS use stolen classified documents to gain political capital,"she said.

"We know politicians who steal such documents " they are here,"she noted.

During the last House session in February, Prime Minister Mizengo Pinda, admitted that confidential information was being snatched from the registry of the Home Affairs Ministry concerning the controversy in the national identity card tendering process.

The PM was responding to a question from the Karatu legislator, Dr Wilbrood Slaa who sought to know action taken against officials reported to have flouted the public procurement procedure and regulations. He said he had information indicating that there was misconduct.

Two days later, bugging devices were found under the bed in Dr Slaa's hotel room.

Dr Slaa was last year quoted as saying that there was no need for the Government to stamp some documents as secret when such documents were of public interest.
 
Shy,

Kutunziwa siri zao ni sawa, lakini siri za aina gani?

Siku zote huwa naheshimu mawazo yako, ila katika hili, natofautiana sana na wewe. Kama hauna hoja soma tu halafu uondoke, subiri utachangia katika sehemu nyingine.

Una ugomvi na Shy?

Nakubaliana na wewe, siri zao binafsi zitunzwe lakini siri .ambazo zia athari kubwa kwa wananchi (kama mikataba mibovu) lazima ziwekwe wazi ili tujue uozo uko sehemu gani.
 
Huyu Mama sijawahi ona kilaza kama huyu jamani huyuuu Ghasia?ni balaa sana haya labda walipana fadhila....kweli serikalini kulindana kubebana.....hayaa ila ukweli utabakia pale pale...
 
Huyu Mama sijawahi ona kilaza kama huyu jamani huyuuu Ghasia?ni balaa sana haya labda walipana fadhila....kweli serikalini kulindana kubebana.....hayaa ila ukweli utabakia pale pale...

Si unajua kuwa uchaguzi mkuu umekaribia? sasa kama hakuta kuwa na kulindana unadhani nani atarudi madarakani?
 
Tutajua tu madhambi yenu ya kifisadi, one way or another. Penye nia pana njia.

Key issue ni kuwa integrity ya serikali ishakua tainted. Trying to gag whistleblowers at this time could be an ill-advised move. It goes to show kuna maovu mnaficha. Watu watakua more anxious na hizo "secret" documents zitakua more sought after. Promoting transparency would be a better strategy.

Badala ya kuongeza jitihada za kuficha uchafu wenu, ongezeni juhudi za kujitakasa.
 
Tutajua tu madhambi yenu ya kifisadi, one way or another. Penye nia pana njia.

Key issue ni kuwa integrity ya serikali ishakua tainted. Trying to gag whistleblowers at this time could be an ill-advised move. It goes to show kuna maovu mnaficha. Watu watakua more anxious na hizo "secret" documents zitakua more sought after. Promoting transparency would be a better strategy.

Badala ya kuongeza jitihada za kuficha uchafu wenu, ongezeni juhudi za kujitakasa.

unajua Sidhani kama serikali kuficha siri zake ni kosa lake. Tatizo hasa liko kwetu sisi "wadanganyika" huwa tunaishia kusema tu bila ya kufanya juhudi zozote. Tunatakiwa kuiwajibisha kwa kila ovu inalolifanya.

Tanzania haipaswi kuwa masikini wa kuomba omba kila mahali tuna Natural Resources za kutosha, kinachotakiwa ni kuzidi kuzitafuta siri za viongozi wa serikalini na kuzianika hadharani kwa kadri ya uwezo wetu. Kikojozi unadhani kiongozi gani ambaye yuko transparent kwenye serikali yetu iliojaa UFISADI kila sector?
 
Hawa jamaa ni wazima kabisa wanachofanya ni kujaribu kutishia kuwa mtu atachukuliwa hatua ili watu waogope kuzichukua. Huwezi kwenda mahakamani kumshitaki mtu na document ya wizi wa hela!

Mimi sijawahi kuona watu wa ajabu hivi huko manyumbani mwao wanakaa na vinyago? Kama wanakaa na watu wakiwauliza maswali wanajibu nini? Au ndiyo mtoto wa nyoka ni nyoka?

Mimi nafikiri itakapotokea kuwa mtu kama Dr. Slaa na wengine wengi kama wa hapa JF tupitishe harambee kuwawekea wanasheria kupambana na serikali hii ya MAFISADI, WEZI, WAONGO, WASIO NA MAADILI NA MENGINE MENGI MABAYA. Maana huwa kuna tabia ya kukusumbua wanaweza hata kuzuia account zako na vitu kama hivyo.

MAPAMBANO LAZIMA YAENDELEE HAKUNA KURUDI NYUMA.
 
iam ashamed to be born as a Tanzanian..hvi hawa watu wamerogwa au ni nini???
 
hakuna ufisadi unaofichuliwa bila whistle blower. inajulikana duniani kote.
tena hawa huwa wanalindwa sana na jeshi la polisi, kwani huchua maovu makubwa na wameweka rehani maisha yao na familia zao. Kwa faida ya nchi.

Ni muhimu huyu mama waziri, katika maelezo yake awashukuru kwanza waliofichua uozo, na kuahidi, kuwalinda kutokana na wachache wanaomaliza nchi yetu. Halafu ndo aseme huo utumbo wake.

hivi definition ya uzalendo siku hizi ikoje?
ni kulinda na kutetea wafadhili wote wa ccm hasa wanaotoa pesa nyingi kwa uchaguzi?
 
Wanachekesha kweli, sio hizo the so called 'classified docs' ndio zimeibua uozo unaotendeka huko jikoni kwao? Kwa kifupi, wanataka waendelee kuyafanya hayo nyuma ya pazia, wasiniambie lolote, nikizifuma, I know where to take them!
 
hakuna ufisadi unaofichuliwa bila whistle blower. inajulikana duniani kote.
tena hawa huwa wanalindwa sana na jeshi la polisi, kwani huchua maovu makubwa na wameweka rehani maisha yao na familia zao. Kwa faida ya nchi.

Ni muhimu huyu mama waziri, katika maelezo yake awashukuru kwanza waliofichua uozo, na kuahidi, kuwalinda kutokana na wachache wanaomaliza nchi yetu. Halafu ndo aseme huo utumbo wake.

hivi definition ya uzalendo siku hizi ikoje?
ni kulinda na kutetea wafadhili wote wa ccm hasa wanaotoa pesa nyingi kwa uchaguzi?

Hii ndio definition anayoifahamu huyu mama! Sio definition ya wana JF. Yani huyu mama anapoteza muda wa watu kwa kuongea utumbo kama huu.
 
Hii ndio definition anayoifahamu huyu mama! Sio definition ya wana JF. Yani huyu mama anapoteza muda wa watu kwa kuongea utumbo kama huu.

Huko kwetu mabonde kuinama huwa kuna usemi usemao 'jina baya humuaharibu/humfanana mwenye jina'

nowonder huyu mama Ghasia yeye ni Ghasia tu kila kona!

yaani badala awapongeze na kuahidi kuwalinda wafichua ufisadi yeye anakuja na ghasia zake eti awakamate mwe!
Kwa maana hiyo serikali yake ipo kwa ajili ya kulinda huo ufisadi? ama kuuondosha ili kila mtanzania aonje maisha bora?
 
This nation is going down faaast. It is true there are clasified documents and non clasified documents in any Nation,but EPA and the like were not clasified documents they may have been classified documents to the benefitiaries.This law is used to fleece poor peasants in this nation.
 
This is sick and pathetic!

Shida ya Waziri na serikali yake wanakemea mapungufu yao wenyewe bila kuwa na TIBA.

Ngoja nikusaidie Mh. Waziri na Serikali yako kama wana jamii wengine walivyopendekeza:

Shughuli zote za serikali na mikataba yote IJADILIWE NA KUIDHINISHWA NA KAMATI ZA BUNGE. Wizara na Serikali itoe PLAN na MAPENDEKEZO yake lakini mijadala yote na ruksa itoke bungeni. Tena kama mradi unahusu RASILIMALI YA NCHI, Bunge zima lipige kura na sio MIKATABA KUSAINIWA KWENYE MAHOTELI YA NJE YA NCHI.
 
Back
Top Bottom