PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,562
- 15,570
Not multiple ID's
Not at work!
Kamisiwa kiukweli kabisa, they thwea.:yawn::yawn::yawn:
Eti wangine wanasema kuwa na ndevu nyingi siyo kujua kucheza mpira kiasi cha kuwafunga Swansea..
Not multiple ID's
Not at work!
Kamisiwa kiukweli kabisa, they thwea.:yawn::yawn::yawn:
huko ndio balaa kabsaaa...ile mijizee ndio itanimaliza kabisa kwa presha!!!Mie huwa sitaki presha
wenger kaspeshilizi kwenye 'High Blood Presure Management'
njoo the Blues angalau
Bila kujali jamii ya jf inamchukuliaje, mimi namwona kuwa very creative
Eti wangine wanasema kuwa na ndevu nyingi siyo kujua kucheza mpira kiasi cha kuwafunga Swansea..
huko ndio balaa kabsaaa...ile mijizee ndio itanimaliza kabisa kwa presha!!!
Usinikumbushe kabisa....wale watoto jana walikuwa wanacheza jihad sana!!! waliniharibia siku yangu!!
Hivi unajua hata yale yaliyopigaga kazi pale ubungoa mataa saa saba mchana niliyakubali sana.
Yalikuwa very creative.
hapana mkuu, they are two different people... SS ni ngosha wa kisukuma, mpoleee ni mchaga for what i knw, frankly ningependa hata kujua zaidi kuhusu yeye... but ndio hivyo tena simuoni... nakamis!
Ungekuwepo ungejionea Amyner!!wanacheza jihad? Lol..that has caught my attention.
Mh tupe uthibitisho....halafu Mpoleee utakuta ni libaba ila limeweka avatal ya kabinti kuchengua akili za wana JF....TehSmiling Saint = Mpoleeee
Ungekuwepo ungejionea Amyner!!
Hivi unajua Mpolee ni jibaba???? ina maana uko nalo geto mnafanyaje???? au avatal yake ndo ilikuchanganya????? Angalia kijana bado tunakupenda na tunakuhitaji kwa Pinda na si Kwa Cameroon....hahahahaaaNipo nae Geto,ngoja avae upande wa kanga anakuja kukujibu,Mx
Hivi unajua Mpolee ni jibaba???? ina maana uko nalo geto mnafanyaje???? au avatal yake ndo ilikuchanganya????? Angalia kijana bado tunakupenda na tunakuhitaji kwa Pinda na si Kwa Cameroon....hahahahaaa
Teh unakomaa nalo ila ukizubaa inakula kwako inabidi uwe faster sana kumaliza kazi....nammiss kweli Mpoleeee na pumba zakendugu yangu wee najua sana ni jike dume
hapana mkuu, they are two different people... SS ni ngosha wa kisukuma, mpoleee ni mchaga for what i knw, frankly ningependa hata kujua zaidi kuhusu yeye... but ndio hivyo tena simuoni... nakamis!
Teh unakomaa nalo ila ukizubaa inakula kwako inabidi uwe faster sana kumaliza kazi....nammiss kweli Mpoleeee na pumba zake