Una mawazo ya kibwege sana we mrembo.
Sasa kwa nini demu wangu asikupende wakati we ni mwenzie tuu. Hamna mnachotofautiana as long as majukumu yake yote huwa unayaperform vizuri tuu hasa yale ya kindoa.
Aaah baby H!! Does this make any sense to u?!
Mpoki yupo juu. Alinifurahisha jana,
Hakuna Mkate Mgumu mbele ya Supu.
Ukiwa ndani ya SUTI usiongee POINTLESS!