Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Jukwaa la siasa limekushinda unasubiri mipasho ya tumtemekeTopic closed! Umeshasema humfahamu. Period!!
Jukwaa la siasa limekushinda unasubiri mipasho ya tumtemekeTopic closed! Umeshasema humfahamu. Period!!
we dada mbona mkorofi ka unakaa mwembechai by Mpoki
Sio kweli,naweza kawa na tv lakini siangalii hicho anachomaanisha... C lazima kumfahamu kwani yeye nani bana..
kuna muda alisema namlaumu sana mama angu maana alinizaa ocean road,,,, alishindwa nini kunitupia ikulu mita nne tu,leo hii maisha ningekuwa nimeyapatia..............alooo mpoki kiboko
jana kaboa hakujipanga kabisa.
Usiumie dogo!kuuchukia muonekano wangu ni kuichukia kazi ya Mungu...uumie usiumie ukweli unabaki kama mimi muonekano nnao na nyota inang'aa mjini hapa!!!sura mbaya mna chuki sana mkiona watu mauzo mnakimbilia katika upunga!!!hapa mauzo mia
Kipande kinauzika hiki!na ninajijua kama unataka kuhakikisha niyasemayo nipe namba ya demu anayebabaikia wauza sura nikutane nae akupe taarifaHahahaha, mkuu ebu kaa uwe unasoma unayo andika maana unatia shaka kweli, ni vigumu sana kwa mwanaume aliye kamili mwenye akili sawa kujisifia kama wewe ufanyavyo. Hivi we wadhan ndiye una sura nzuri kuliko wanaume wote?
Wanaume uwa hawajisifii uzuri usione watu wamekaa kimya ukadhan labda wana sura ngumu halafu wajisifia wakati hata hatukuoni kijana.
Kipande kinauzika hiki!na ninajijua kama unataka kuhakikisha niyasemayo nipe namba ya demu anayebabaikia wauza sura nikutane nae akupe taarifa