Injinia
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 849
- 26
Kuna habari kuwa yule muigizaji anayeboa watu wengi kuliko wote wa kundi la "Orijino Komedi", Mpoki (Sylveri) ameapata ajali jana usiku baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana uso kwa uso na gari iliyokuwa ikiendeshwa na mama mmoja ambaye jina bado halijapatikana.
Inasemekana Mpoki amevunjika mkono, kapata matibabu Mikocheni Mission Hospital na kuruhusiwa ila mama huyo amelazwa TMJ.
Wenye habari zaidi tafadhali mtujulishe, kwa mfano je ajali hiyo ilitokea katika mazingira gani?
Inasemekana Mpoki amevunjika mkono, kapata matibabu Mikocheni Mission Hospital na kuruhusiwa ila mama huyo amelazwa TMJ.
Wenye habari zaidi tafadhali mtujulishe, kwa mfano je ajali hiyo ilitokea katika mazingira gani?