Mpishi aacha kupika na kumfumania mkewe na mwanafunzi wakipeana.............

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Mpishi wa shule fulani alijikuta akilikimbia jiko huku amebeba silaha za kijadi na kuelekea gesti ambako aliumwa sikio mkewe alikuwa kule akishughulikiwa kikamilifu na mwanafunzi ambaye yeye huwa anamtengenezea misosi yake...........

Alipofika kule akaamua kumpigia simu ya mkono mkewe ambaye hata hivyo hakupokea na huku akisaidiwa na wasamaria wema wakaufungua ule mlango na kuwakuta ni kweli................lilikuwa ni bonge la fumanizi.............

Jinsi anavyompenda mkewe, mpishi akamwuuliza kama kweli walikuwa wanadu mle chumbani na yule mwanafunzi...................kabla hata hajapewa majibu alizirai........................bado ninafuatilia.........................baada ya hapo ilitokea nini tena.........

Bofya hapa kwa maelezo ya kina............
Crazy Monday

Last Updated:
9 hrs 39 mins ago Follow us on Facebook Watch us on Youtube Follow us on Twitter
Magazines Cook faints after catching his wife with a student
Cook faints after catching his wife with a student
 
Back
Top Bottom