‘Mpira wa magazetini’ waiponza Yanga, yaambulia patupu Kombe la Shirikisho

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
338
180
NDOTO za Yanga kufanya vizuri kwenye Kombe la Shirikisho la CAF zinaelekea ukingoni baada ya jana Jumanne, Julai 26 kupokea kipigo cha mabao 3-1 ugenini kwa Medeama jijini Accra, Ghana.

Hakuna chochote wanachoweza kukisema kama utetezi wao wakaeleweka na Watanzania, kwa sababu walipata fursa za nyumbani mbili wakashindwa kuzitumia.

Kilichowaponza zaidi Yanga ni ‘utaalamu’ wao wa kucheza na vyombo vya habari – hasa magazetini – na walibweteka mno kwa ‘mpira huo wa magazetini’ kuliko kuandaa mbinu za medani ambazo zingeweza kuwasaidia wakafanya vizuri.

Soma zaidi=> ‘Mpira wa magazetini’ waiponza Yanga, yaambulia patupu Kombe la Shirikisho | Fikra Pevu
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Kipaji chetu ni mechi za mchangani. Ile inayoitwa WA KIMATAIFA labda kwenda kuzurura tu
 
Yanga hawana vision, sioni nia yao ya dhati zaidi ya majigambo tu kwenye vyombo vya habari.

Soka ni mipango, soka ni uwekezaji na siyo one man show. Umakini unahitajika sana, tehe hata hivyo jana tumesaidiwa kulala usingizi mnono hadi raha.
 
Yanga wamezoea kununua mechi kama walivofanya kwa ndanda fc, wakienda kimataifa hawawezi kufanya hivo.
 
NDOTO za Yanga kufanya vizuri kwenye Kombe la Shirikisho la CAF zinaelekea ukingoni baada ya jana Jumanne, Julai 26 kupokea kipigo cha mabao 3-1 ugenini kwa Medeama jijini Accra, Ghana.

Hakuna chochote wanachoweza kukisema kama utetezi wao wakaeleweka na Watanzania, kwa sababu walipata fursa za nyumbani mbili wakashindwa kuzitumia.

Kilichowaponza zaidi Yanga ni ‘utaalamu’ wao wa kucheza na vyombo vya habari – hasa magazetini – na walibweteka mno kwa ‘mpira huo wa magazetini’ kuliko kuandaa mbinu za medani ambazo zingeweza kuwasaidia wakafanya vizuri.

Soma zaidi=> ‘Mpira wa magazetini’ waiponza Yanga, yaambulia patupu Kombe la Shirikisho | Fikra Pevu


Ni kweli lakini ni magazeti ndiyo yanayoitumia YANGA kwa kuuza magazeti hayo...Utaona gazeti linaandika LAZIMA MEDEAMA WAFUNGWE TU, AISEE ....jingine utaona limeandika FOMESHENI YA PLUIJM NI HATARI TUPU...mara kichwa kingine kinasomeka ....YANGA YASAJILI KIUNGO HATARI...Mara gazeti jingine litaandika YANGA IMEPIGA MPIRA MKUBWA...Gazeti jingine linaandika....WALAHI TUNASHINDA...Gazeti jingine utaona limeweka katuni ya Ndege ya kijani angani na kuandika SISI NI WA KIMATAIFA...Gazeti jingine litaandika YANGA, AAAH ACHA BWANA...Gazeti jingine utaona limeandika YANGA TAJIRI mara USAJILI WA YANGA KUFURU TUPU...

Kwa watu wote wenye akili zao yanaychifanya magazeti ya Tanzania ni utoto mtupu...Hivi kuandika YANGA WAPAA KWA NDEGE, ni jambo la kuwaambia watu wazima na akili zao...Hivi kweli kupanda ndege nayo inakuwa issue ya kujivunia?????!!!!!! Mambo haya yangekuwa yanaandikwa na magazeti ya udaku lisingekuwa jambo kubwa lakini mambo haya yanaandikwa na magazeti makubwa ya michezo nchini na kutuacha sisi wengine wengi midomo wazi...

Hivi kweli seriously YANGA ina utajiri gani wa kujivunia???? Utajiri wa mtu mmoja ndiyo unaifanya YANGA ionekane tajiri???? Je, mtu huyo akiondoka YANA itakuwa tajiri???

Magazeti baadala ya kuandika mambo ya msingi na uchambuzi wa kina wa matatizo ya YANGA kiuchezaji yanaandika ushabiki, sijui wale ni WA MCHANGANI, sijui WALE NI VYURA na kadhalika....yaani kinachofanyika ni utoto mtupu....

Hakuna mwandishi makini aliyeandika au kuchambua ubovu wa YANGA kiuchezaji badala yake kinachofanyika (na hata kwa wachambuzi kwenye vituo vyetu vya televisheni) ni kunakiri uchambuzi wa soka ya ulaya na kuuabandika kwenye timu zetu...Utasikia sijui huyu alitoa assist, sijui alipiga kichwa kama mchezaji wa Arsenal...mara mchambuzi utamsikia goli lile lilikuwa ni offside kwa kuangalia marudio ya mchezo au kwa kuonyesha clip ya mchezo mara blah blah blah ....yaani ni uchambuzi wa kitoto kabisa wa 'ku-copy na ku-paste'.

Yaani mimi hawa wadogo zangu waandishi wa habari na wachambuzi wa soka kwenye vituo vya televisheni wananiudhi mno.....kimsingi in my opinion vyombo vyetu vya habari nchini Tanzania ni chanzo kimojawapo cha kuporomoka kwa soka letu...

Kwa mtu makini anayeiangalia YANGA atagundua kuwa YANGA inakabiliwa na tatizo kubwa la mfumo wa uchezaji. YANGA wanaweza kuwa wanacheza mpira wa kupasiana na kumiliki lakini soka hili wanalocheza YANGA halina madhara..YANGA wanapiga pasi za kurudisha nyuma, na kupiga pembeni, na siyo pasi zile za uchonganishi au through balls zinazoweza kuzaa mabao...Ni wachezaji wachache tu wa YANGA wanaoweza kuumiliki vyema mpira pale wanapokabiliana na adui...Yanga wanamiliki vyema mpira pale tu anapokuwa peke yake....wachezaji wa viungo wanshindwa kurudi kwa haraka kusaidia defence pale wanaposhambuliwa...marking ya YANGA ni ya kiwango cha chini mno kama inavyodhihirika na goli lile la kwanza la Medeama jana huko Ghana...Chirwa alikuwa bega kwa bega na mfungaji wa mpira ule wa kona lakini akakata tamaa kumfuatilia mfungaji na hivyo kumwacha aunganishe mpira wa kona na kuwa goli la kwanza...

YANGA ni wabovu katika sehemu nne muhimu: Wanahitaji beki mzuri wa kushoto anayeweza kucheza kwa nguvu na kupeleka mashambulizi na mwenye krosi za hatari. Oscar Joshua ni liability kwani yeye mara nyingi pasi zake ni za kurudisha nyuma, ni mzito kupanda mbele na hata krosi nzuri golini...YANGA inahitaji pia kiungo mkabaji mwenye nguvu ambaye anacheza mbele ya walinzi wawili au watatu wa YANGA...kiungo huyo mkabaji ni lazima awe na nguvu, mrefu, mzuri wa mipira ya vichwa, mkabaji mzuri na anayeweza kumiliki vizuri mpira, kurudi nyuma kusaidia walinzi na kupiga mipira ya nguvu golini kwa adu...YANGA inahitaji fowadi au kiungo mshambualiji mwenye uwezo mkubwa wa umiliki wa mpira, mwenye uwezo wa kutoa pasi na split passes kumfanya Ngoma awe bora...NIYONZIMA hawezi kutoa split passes kwani yeye ana udhaifu wa kutoa pasi za nyuma na za pembeni ambazo hazina madhara...YANGA inahitaji pia mchezaji wa nne ambaye ni winga upande wa kushoto mwenye mbio, chenga, uwezo mkubwa wa kumiliki mpira, mzuri wa mipira ya vichwa na kadhalika.....
 
Narudi tena, Tuelekeze nguvu na akili kwenye Riadha na Boxing mpira tuwaachie wengine..
 
KAka nchii hii ina waandishi au makanjanja maslahi tu hasa magezeti ya michezo weledi ndio hawana kabisa Leo ktk magazeti ya michezo heading zao hawajandika kbsa habar kuhusu yanga kufungwa

Ni kweli lakini ni magazeti ndiyo yanayoitumia YANGA kwa kuuza magazeti hayo...Utaona gazeti linaandika LAZIMA MEDEAMA WAFUNGWE TU, AISEE ....jingine utaona limeandika FOMESHENI YA PLUIJM NI HATARI TUPU...mara kichwa kingine kinasomeka ....YANGA YASAJILI KIUNGO HATARI...Mara gazeti jingine litaandika YANGA IMEPIGA MPIRA MKUBWA...Gazeti jingine linaandika....WALAHI TUNASHINDA...Gazeti jingine utaona limeweka katuni ya Ndege ya kijani angani na kuandika SISI NI WA KIMATAIFA...Gazeti jingine litaandika YANGA, AAAH ACHA BWANA...Gazeti jingine utaona limeandika YANGA TAJIRI mara USAJILI WA YANGA KUFURU TUPU...

Kwa watu wote wenye akili zao yanaychifanya magazeti ya Tanzania ni utoto mtupu...Hivi kuandika YANGA WAPAA KWA NDEGE, ni jambo la kuwaambia watu wazima na akili zao...Hivi kweli kupanda ndege nayo inakuwa issue ya kujivunia?????!!!!!! Mambo haya yangekuwa yanaandikwa na magazeti ya udaku lisingekuwa jambo kubwa lakini mambo haya yanaandikwa na magazeti makubwa ya michezo nchini na kutuacha sisi wengine wengi midomo wazi...

Hivi kweli seriously YANGA ina utajiri gani wa kujivunia???? Utajiri wa mtu mmoja ndiyo unaifanya YANGA ionekane tajiri???? Je, mtu huyo akiondoka YANA itakuwa tajiri???

Magazeti baadala ya kuandika mambo ya msingi na uchambuzi wa kina wa matatizo ya YANGA kiuchezaji yanaandika ushabiki, sijui wale ni WA MCHANGANI, sijui WALE NI VYURA na kadhalika....yaani kinachofanyika ni utoto mtupu....

Hakuna mwandishi makini aliyeandika au kuchambua ubovu wa YANGA kiuchezaji badala yake kinachofanyika (na hata kwa wachambuzi kwenye vituo vyetu vya televisheni) ni kunakiri uchambuzi wa soka ya ulaya na kuuabandika kwenye timu zetu...Utasikia sijui huyu alitoa assist, sijui alipiga kichwa kama mchezaji wa Arsenal...mara mchambuzi utamsikia goli lile lilikuwa ni offside kwa kuangalia marudio ya mchezo au kwa kuonyesha clip ya mchezo mara blah blah blah ....yaani ni uchambuzi wa kitoto kabisa wa 'ku-copy na ku-paste'.

Yaani mimi hawa wadogo zangu waandishi wa habari na wachambuzi wa soka kwenye vituo vya televisheni wananiudhi mno.....kimsingi in my opinion vyombo vyetu vya habari nchini Tanzania ni chanzo kimojawapo cha kuporomoka kwa soka letu...

Kwa mtu makini anayeiangalia YANGA atagundua kuwa YANGA inakabiliwa na tatizo kubwa la mfumo wa uchezaji. YANGA wanaweza kuwa wanacheza mpira wa kupasiana na kumiliki lakini soka hili wanalocheza YANGA halina madhara..YANGA wanapiga pasi za kurudisha nyuma, na kupiga pembeni, na siyo pasi zile za uchonganishi au through balls zinazoweza kuzaa mabao...Ni wachezaji wachache tu wa YANGA wanaoweza kuumiliki vyema mpira pale wanapokabiliana na adui...Yanga wanamiliki vyema mpira pale tu anapokuwa peke yake....wachezaji wa viungo wanshindwa kurudi kwa haraka kusaidia defence pale wanaposhambuliwa...marking ya YANGA ni ya kiwango cha chini mno kama inavyodhihirika na goli lile la kwanza la Medeama jana huko Ghana...Chirwa alikuwa bega kwa bega na mfungaji wa mpira ule wa kona lakini akakata tamaa kumfuatilia mfungaji na hivyo kumwacha aunganishe mpira wa kona na kuwa goli la kwanza...

YANGA ni wabovu katika sehemu nne muhimu: Wanahitaji beki mzuri wa kushoto anayeweza kucheza kwa nguvu na kupeleka mashambulizi na mwenye krosi za hatari. Oscar Joshua ni liability kwani yeye mara nyingi pasi zake ni za kurudisha nyuma, ni mzito kupanda mbele na hata krosi nzuri golini...YANGA inahitaji pia kiungo mkabaji mwenye nguvu ambaye anacheza mbele ya walinzi wawili au watatu wa YANGA...kiungo huyo mkabaji ni lazima awe na nguvu, mrefu, mzuri wa mipira ya vichwa, mkabaji mzuri na anayeweza kumiliki vizuri mpira, kurudi nyuma kusaidia walinzi na kupiga mipira ya nguvu golini kwa adu...YANGA inahitaji fowadi au kiungo mshambualiji mwenye uwezo mkubwa wa umiliki wa mpira, mwenye uwezo wa kutoa pasi na split passes kumfanya Ngoma awe bora...NIYONZIMA hawezi kutoa split passes kwani yeye ana udhaifu wa kutoa pasi za nyuma na za pembeni ambazo hazina madhara...YANGA inahitaji pia mchezaji wa nne ambaye ni winga upande wa kushoto mwenye mbio, chenga, uwezo mkubwa wa kumiliki mpira, mzuri wa mipira ya vichwa na kadhalika.....
 
Niwape pole wana yanga wote. Ukweli kisoka tz sisi bado sana. Mfano hai iangalie Azam inakilla kitu kuanzia pesa udhamini kiwanja n.k. lakini kimataifa haijafanya kitu tena wana vitendea kazi bora na pesa nyingi kuliko vilabu vyingi afrika. Tatizo la soka letu ni hauna utaalaam na ujanja ujanja tu na hilo lina tugharimu sana. Yanga ilipofika kwenye hatua ya makundi imesajili wapi? Wachezaji wa ligi ya chini mwa nchi zao ambao nazo hazina mafanikio kimataifa unategemea nini? Nafasu waliopata yanga mwaka huu ilikuwa nzuri walikuwa kundi moja ikiitoa Tp mazambe pekee na timu zisizokuwa na uzoefu ktk mashindano haya na bado wameshindwa. Sababu kuu nchi hizo ghana na Algeria ligi zao ni bora. Yanga jana bila ya kipa dida ingelikuwa ni aibu tupu labda wange fungwa hata saba. Wanahitaji kusajili wachezaji ghali na bora hata watatu toka vilabu vikubwa na ligi kubwa. Na kuachana na siasa ktk soka yanga itafika. Tofauti na hapo siku zote tutabaki kulalamika. Na muhimu wa yote kuchagua viongozi wanalijua soka wamesomea soka na sio mipasho. Manji awe mdhamini tu. Ni hayo tu toka kwangu.
 
Niwape pole wana yanga wote. Ukweli kisoka tz sisi bado sana. Mfano hai iangalie Azam inakilla kitu kuanzia pesa udhamini kiwanja n.k. lakini kimataifa haijafanya kitu tena wana vitendea kazi bora na pesa nyingi kuliko vilabu vyingi afrika. Tatizo la soka letu ni hauna utaalaam na ujanja ujanja tu na hilo lina tugharimu sana. Yanga ilipofika kwenye hatua ya makundi imesajili wapi? Wachezaji wa ligi ya chini mwa nchi zao ambao nazo hazina mafanikio kimataifa unategemea nini? Nafasu waliopata yanga mwaka huu ilikuwa nzuri walikuwa kundi moja ikiitoa Tp mazambe pekee na timu zisizokuwa na uzoefu ktk mashindano haya na bado wameshindwa. Sababu kuu nchi hizo ghana na Algeria ligi zao ni bora. Yanga jana bila ya kipa dida ingelikuwa ni aibu tupu labda wange fungwa hata saba. Wanahitaji kusajili wachezaji ghali na bora hata watatu toka vilabu vikubwa na ligi kubwa. Na kuachana na siasa ktk soka yanga itafika. Tofauti na hapo siku zote tutabaki kulalamika. Na muhimu wa yote kuchagua viongozi wanalijua soka wamesomea soka na sio mipasho. Manji awe mdhamini tu. Ni hayo tu toka kwangu.
Ukiizungumia Azam hapo unakosea. Kuwa na kila kitu ktk miundombinu ya soka sio sababu.

Kwa kuwa na kila kitu, ulitaka Azam afikie hatua gani kwa mf? Jiulize Azam ameshiriki mashindano ya kimataifa mara ngapi? Amepata uzoefu kwa hiyo miaka? Azam inatoka katika nchi yenye ligi ya aina gani?

Hoja sio klabu kuwa na kila kitu. Unaijua Kaizer Chiefs? Ajax Cape Town? Mamelodi? SS United? Hao wote wana kila kitu katika soka, wamefanya kipi cha Maana CAF?

South Africa ni moja ya nchi chache sana Africa kuwa na ligi bora ya solar. Wana kila kitu, angalia na wenyewe wamefanya nini kama nchi ktk mashindano ya CAF?

Jiulize Tottenham wana miaka mingapi hawajabeba Ndoo ya EPL? Wamekosa nini? Arsenal na umri wao wote, UEFA Champions league final wamecheza ngapi? Wamekosa nini?

Simba walipocheza final na Stella Artois na kupigwa, alikuwa na nini? Na miaka hii hawavumi, wamekosa nini?

Ni kuipongeza Azam mpk pale ilipofikia si haba. Klabu yenye historia kama ya Azam, na mafanikio kama ya Azam, ipi?

Mafanikio na Umri wa Azam unazisuta klabu za Kariakoo. Hata mikoani kuna klabu zinapaswa kuona aibu kwa mafanikio yalofikiwa na Azam.

Chukua historia ya Azam iweke meza moja na Mtibwa, usisahau Mtibwa Ni bingwa wa bara mara 2. Chukua historia ya Azam weka meza moja na Costal Union.

Watanzania tuna cha kujifunza kutoka kwa kufeli kwa YANGA, na pia lipo la kujifunza kutoka kwa mafanikio machache ya Azam Fc.

Yanga mbele daima.
 
YANGA YAFUNGWA KWA TAAAAABU....
gazeti lingine YANGA WAPIGA MPIRA WA KITABUNI, Medeama WAPOTEANA.
 
Gazeti jingine:

Kwa mazoezi haya lazima wakae,matokeo yake wamekaa wao tuache mpira wa magazetini.
 
W
Kipaji chetu ni mechi za mchangani. Ile inayoitwa WA KIMATAIFA labda kwenda kuzurura tu
Hata wakitolewa wanapata $ 150,000..pesa hiyo mnaipata Azam tv kwa miaka mitatu..Yanga hawachukui hela ya Azam.mwaka huu inachukuliwa itakuwa 300,000,000 milioni tunakarabati uwanja wa mazoezi Jangwani city
 
Mkuu umesema uk
Ni kweli lakini ni magazeti ndiyo yanayoitumia YANGA kwa kuuza magazeti hayo...Utaona gazeti linaandika LAZIMA MEDEAMA WAFUNGWE TU, AISEE ....jingine utaona limeandika FOMESHENI YA PLUIJM NI HATARI TUPU...mara kichwa kingine kinasomeka ....YANGA YASAJILI KIUNGO HATARI...Mara gazeti jingine litaandika YANGA IMEPIGA MPIRA MKUBWA...Gazeti jingine linaandika....WALAHI TUNASHINDA...Gazeti jingine utaona limeweka katuni ya Ndege ya kijani angani na kuandika SISI NI WA KIMATAIFA...Gazeti jingine litaandika YANGA, AAAH ACHA BWANA...Gazeti jingine utaona limeandika YANGA TAJIRI mara USAJILI WA YANGA KUFURU TUPU...

Kwa watu wote wenye akili zao yanaychifanya magazeti ya Tanzania ni utoto mtupu...Hivi kuandika YANGA WAPAA KWA NDEGE, ni jambo la kuwaambia watu wazima na akili zao...Hivi kweli kupanda ndege nayo inakuwa issue ya kujivunia?????!!!!!! Mambo haya yangekuwa yanaandikwa na magazeti ya udaku lisingekuwa jambo kubwa lakini mambo haya yanaandikwa na magazeti makubwa ya michezo nchini na kutuacha sisi wengine wengi midomo wazi...

Hivi kweli seriously YANGA ina utajiri gani wa kujivunia???? Utajiri wa mtu mmoja ndiyo unaifanya YANGA ionekane tajiri???? Je, mtu huyo akiondoka YANA itakuwa tajiri???

Magazeti baadala ya kuandika mambo ya msingi na uchambuzi wa kina wa matatizo ya YANGA kiuchezaji yanaandika ushabiki, sijui wale ni WA MCHANGANI, sijui WALE NI VYURA na kadhalika....yaani kinachofanyika ni utoto mtupu....

Hakuna mwandishi makini aliyeandika au kuchambua ubovu wa YANGA kiuchezaji badala yake kinachofanyika (na hata kwa wachambuzi kwenye vituo vyetu vya televisheni) ni kunakiri uchambuzi wa soka ya ulaya na kuuabandika kwenye timu zetu...Utasikia sijui huyu alitoa assist, sijui alipiga kichwa kama mchezaji wa Arsenal...mara mchambuzi utamsikia goli lile lilikuwa ni offside kwa kuangalia marudio ya mchezo au kwa kuonyesha clip ya mchezo mara blah blah blah ....yaani ni uchambuzi wa kitoto kabisa wa 'ku-copy na ku-paste'.

Yaani mimi hawa wadogo zangu waandishi wa habari na wachambuzi wa soka kwenye vituo vya televisheni wananiudhi mno.....kimsingi in my opinion vyombo vyetu vya habari nchini Tanzania ni chanzo kimojawapo cha kuporomoka kwa soka letu...

Kwa mtu makini anayeiangalia YANGA atagundua kuwa YANGA inakabiliwa na tatizo kubwa la mfumo wa uchezaji. YANGA wanaweza kuwa wanacheza mpira wa kupasiana na kumiliki lakini soka hili wanalocheza YANGA halina madhara..YANGA wanapiga pasi za kurudisha nyuma, na kupiga pembeni, na siyo pasi zile za uchonganishi au through balls zinazoweza kuzaa mabao...Ni wachezaji wachache tu wa YANGA wanaoweza kuumiliki vyema mpira pale wanapokabiliana na adui...Yanga wanamiliki vyema mpira pale tu anapokuwa peke yake....wachezaji wa viungo wanshindwa kurudi kwa haraka kusaidia defence pale wanaposhambuliwa...marking ya YANGA ni ya kiwango cha chini mno kama inavyodhihirika na goli lile la kwanza la Medeama jana huko Ghana...Chirwa alikuwa bega kwa bega na mfungaji wa mpira ule wa kona lakini akakata tamaa kumfuatilia mfungaji na hivyo kumwacha aunganishe mpira wa kona na kuwa goli la kwanza...

YANGA ni wabovu katika sehemu nne muhimu: Wanahitaji beki mzuri wa kushoto anayeweza kucheza kwa nguvu na kupeleka mashambulizi na mwenye krosi za hatari. Oscar Joshua ni liability kwani yeye mara nyingi pasi zake ni za kurudisha nyuma, ni mzito kupanda mbele na hata krosi nzuri golini...YANGA inahitaji pia kiungo mkabaji mwenye nguvu ambaye anacheza mbele ya walinzi wawili au watatu wa YANGA...kiungo huyo mkabaji ni lazima awe na nguvu, mrefu, mzuri wa mipira ya vichwa, mkabaji mzuri na anayeweza kumiliki vizuri mpira, kurudi nyuma kusaidia walinzi na kupiga mipira ya nguvu golini kwa adu...YANGA inahitaji fowadi au kiungo mshambualiji mwenye uwezo mkubwa wa umiliki wa mpira, mwenye uwezo wa kutoa pasi na split passes kumfanya Ngoma awe bora...NIYONZIMA hawezi kutoa split passes kwani yeye ana udhaifu wa kutoa pasi za nyuma na za pembeni ambazo hazina madhara...YANGA inahitaji pia mchezaji wa nne ambaye ni winga upande wa kushoto mwenye mbio, chenga, uwezo mkubwa wa kumiliki mpira, mzuri wa mipira ya vichwa na kadhalika.....



Mkuu umesema ukweli mtupu hasa defensi haina nguvu ,hawaruki kuokoa krosi na kona ,hata faulu zikipigwa ni rahisi kufungwa.
 
Back
Top Bottom