Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Wape pole Canavaro na Niyonzima. Canavaro ategemee ban ya miezi sita (iwapo TFF watatumia sheria zile zile walizotumia kwa Boban mwaka juzi), na Niyonzima itakuwa at least mechi mbili. Mwasika naye akae mkao wa adhabu ya ban miezi sita, kwani alirusha ngumi pia, na Tegete aliingia uwanjani wakati alikuwa benchi, naye ategemee lolote. Mwamuzi sioni alichoharibu!Nampa pole Mwamuzi huyu
Nugu zangu watani wangu kina chisora ndio mpira gani tena mnataka ku u introduce nchini mwetu?
View attachment 49036
View attachment 49034View attachment 49035
View attachment 49037
ndungu zetu mmeugeuza mpira kuwa uwanja wa vita? nafasi za jeshi zipo kibao kajiungeni tuachieni sisi tupige kabumbu.Hamkumuona Kaseja juzi alivyokuwa anawaanzia mabeki? mlishindwa hata kuiga?
Kama utakumbuka ligi ya msimu uliopita ilivyokuwa basi hautapata shida ya kumjua bingwa wa msimu huu.
Haha haa...! eti Wambura hafai kugombea nafasi yoyote TFF, asije akaiharibu ligi bora kabisa Afrika Mashariki ambayo refa anaelekezwa matokeo ya mechi akakayoichezesha kesho yake yawe namna gani...! Acha tubaki hapohapo 137.Kama utakumbuka ligi ya msimu uliopita ilivyokuwa basi hautapata shida ya kumjua bingwa wa msimu huu.
Nawapongeza yanga kwa kutoa dozi kwa yule refa pumbav.sms sent kwa marefa wote wajingawajinga.
na ndio hivyo mmewasifia na wamekula kibano. dah yanga yangu sijui inaenda wapiWewe wapongeze tu, watakapopewa kibano si chini ya miezi sita hakuna kugusa mpira kwenye viwanja vya maana ndo utajua walichofanya ni kitu kinachofaa au la.
Ni kweli mkuu hawa wachezaji sijui wanatupeleka wapi, mimi sio mshabiki wa Yanga lakini kwa kitendo kile hata kama wangekuwa ni Simba yaani Okwi, Kazimoto, Kaseja, Sunzu na wengine wachezaji tegemeo wa Simba offcourse ningehuzunika lakini bado ningeunga mkono adhabu ya kufungiwa, kimpira ni utovu wa nidhamu lakini vile vile ni kosa la jinai, polisi walitakiwa wawakamate na kuwashitaki kwa kosa la kumpiga mtu, kuna yule mwanamziki alikula kifungo gerezani mwaka mmoja kwa kosa la kumpiga mtu ukumbini.na ndio hivyo mmewasifia na wamekula kibano. dah yanga yangu sijui inaenda wapi
Wape pole Canavaro na Niyonzima. Canavaro ategemee ban ya miezi sita (iwapo TFF watatumia sheria zile zile walizotumia kwa Boban mwaka juzi), na Niyonzima itakuwa at least mechi mbili. Mwasika naye akae mkao wa adhabu ya ban miezi sita, kwani alirusha ngumi pia, na Tegete aliingia uwanjani wakati alikuwa benchi, naye ategemee lolote. Mwamuzi sioni alichoharibu!
Wewe wapongeze tu, watakapopewa kibano si chini ya miezi sita hakuna kugusa mpira kwenye viwanja vya maana ndo utajua walichofanya ni kitu kinachofaa au la.
Haya mambo tulitegemea tuyaone Somalia,Iraq au Afghanistan lakini sio bongo huu ni uhuni usivumilika kabisa,inabidi turekebishe sheria za mpira wachezaji wanaopiga marefa wapelekwe jera tu ili wapungue wabaki washaarabu
Haha haa...! eti Wambura hafai kugombea nafasi yoyote TFF, asije akaiharibu ligi bora kabisa Afrika Mashariki ambayo refa anaelekezwa matokeo ya mechi akakayoichezesha kesho yake yawe namna gani...! Acha tubaki hapohapo 137.