Aliyekuwa Mgombea Ubunge wa jimbo la RUNGWE MAGHARIBI na mpinzani mkuu wa Prof Mwakyusa kwa tiketi ya CHADEMA, NDG YUSUFU ASUKILE, hatimaye yuko nje!..
Mgombea huyu aliwekewa pingamizi na Mwakyusa kwa madai kuwa ni mwanajeshi, na kumfanya afanye kazi ya kuwanadi madiwani wake, muda wote wa kampeni 2010.
Yusufu mwenyewe anasema aliacha jeshi kabla ya kujiunga na chuo, miaka mitatu kabla ya mwaka 2010 kwa kufuata taratibu zote.
Wiki chache baada ya kuuawa DIWANI wa kata ya Kiwira na mwenyekiti wa CCM RUNGWE, ndg MWANKENJA, YUSUFU aliwekwa ndani akiunganishwa na watuhumiwa wa mauaji hayo.
Mwaka 2011 hadi agosti 2012 amekuwa akisota ndani mpaka juzi alipotoka.Taarifa za ndani - ccm zinasema lengo lilikuwa kumzuia YUSUFU asifanikiwe kumbana Mwakyusa mahakamani kutokana na kupita bila kupingwa katika uchaguzi mkuu uliopita.
HUU UBABE WA CCM KUBAMBIKIZIA KESI na KUWAWEKEA MAPINGAMIZI YA KIBABE KATIKA UCHAGUZI UTAISHA LINI?. NI LINI JAMAA hawa wataacha kuonea wanyonge?.
Mgombea huyu aliwekewa pingamizi na Mwakyusa kwa madai kuwa ni mwanajeshi, na kumfanya afanye kazi ya kuwanadi madiwani wake, muda wote wa kampeni 2010.
Yusufu mwenyewe anasema aliacha jeshi kabla ya kujiunga na chuo, miaka mitatu kabla ya mwaka 2010 kwa kufuata taratibu zote.
Wiki chache baada ya kuuawa DIWANI wa kata ya Kiwira na mwenyekiti wa CCM RUNGWE, ndg MWANKENJA, YUSUFU aliwekwa ndani akiunganishwa na watuhumiwa wa mauaji hayo.
Mwaka 2011 hadi agosti 2012 amekuwa akisota ndani mpaka juzi alipotoka.Taarifa za ndani - ccm zinasema lengo lilikuwa kumzuia YUSUFU asifanikiwe kumbana Mwakyusa mahakamani kutokana na kupita bila kupingwa katika uchaguzi mkuu uliopita.
HUU UBABE WA CCM KUBAMBIKIZIA KESI na KUWAWEKEA MAPINGAMIZI YA KIBABE KATIKA UCHAGUZI UTAISHA LINI?. NI LINI JAMAA hawa wataacha kuonea wanyonge?.