Mpigania Uhuru na Mwasisi wa TAA, Dr. Vedastus Kyaruzi afariki dunia!

Bwana Mohamed Said
Utafiti wako una mapungufu mengi sana katika dunia hii wapo wapotoshaji na wanaotafuta ukweli; wapo watafiti wanaodai HIV na AIDS havina uhusiano wapo wanaodai Malnutrition inasababisha AIDS; hao wote wanajiita ni watafiti sawa na wewe; nimekuuliza kwanini hukumuhoji Dr. Kyaruzi alipodai aliingoza TAA badala ya kuja na majibu mbadala umerukia mambo mengine wewe ndiye mwenye mashaka na historia ya Taifa hili nilitumai ukiwa kama unavyojinadi mtafiti ungemtafuta Dr. Kyaruzi ili akufafanulie ni lini aliiongoza TAA; historia tunayoingelea ni takribani miaka 60; unafurahisha sana kuitwa yaani kuitwa scholar umeona ni jambo kubwa sana, wapo watu wanaitana masheikh huku hata elimu ya dini hawana wakati ni dhihaka za kidunia; na hasa unapoongelea kwenye watu wenye elimu duni au wasiojua. Utafiti wako ni wa kupinga kauli za wafu; mtafiti mwenye kutaka kujua ukweli huwakabili wahusika na kupata kauli thabiti; kama ambavyo uliweza kwenda kwa Sykes na ukasoma makaburasha; na kama unavyodai familia ilikunyima baadhi ya makaratasi (rejea matoleo yako ya nyuma) huo ni uthibitisho wa wazi utafiti ulishakuwa na mapungufu; Dr. Kyaruzi(R.I.P) amefariki juzi leo umekuja kuhoji kauli zake; sasa tumwamini nani yeye aliyeshiriki kwenye siasa wakati wa TAA au wewe uliyehadithiwa? Bwana Mohamed watifiti wa aina yako wapo wengi sana ni sawa na wale wanaodai Holocaust haikutokea!


Chama
Gongo la Mboto DSM

Ndugu yangu Chama,

Mbona hili la upungufu katika utafiti wangu nishalikubali?
Kazi yoyote ya binadamu haikosi upungufu.

Ikiwa ni hivyo hapana haja ya sisi kurejea tena na tena katika upungufu wa utafiti wangu au wa mwandishi mwingine.

Kuhusu kumhoji Dk. Kyaruzi si yeye peke yake ambae sikumhoji wako wengi sana sikujaaliwa kukutananao lakini nimekufahamisha kuwa nilimuomba mjukuu wake ambae ni mwandishi amfanyie mahojiano na aandike maisha ya babu yake kama Aisha Daisy Sykes alivyomuhoji baba yake Abdulwahid Sykes na tukapata kazi ambayo hadi leo tunaitumia: "Kleist Sykes: The Townsman." Kutoka kalamu ya Daisy ndipo tulipokujajua African Association iliasisiwa vipi na mengineyo katika siasa za Tanganyika kati ya 1900 hadi 1950.

Tuingie katika "Makabursha ya Sykes" ambayo nilinyimwa.

Ukweli ni huu.

Nimesoma majalada yote ya Sykes isipokuwa shajara (diaries) za Abdulwahid Sykes. Hizi sikupewa na nadhani ni kwa kuwa shajara ni kitu cha ndani mwa mtu na waliona majalada yale yalitosha kwa utafiti wangu.

Bado nashikilia kuwa shajara za Abdulwahid ni muhimu sana katika kuelewa nini kilikuwa kikipitika kati ya 1950 hadi 1954 alipokuja kuasisi TANU.

Labda kuna usilolijua ndiyo maana umekuja na neno "kuhadithiwa" hivyo sistahili kuaminiwa.
Si lazima uishuhudie historia ili uiandike.

Fanya utafiti katika hilo au waulize wajuzi watakufahamisha.

Ukiachilia mbali kuhadithiwa kwanza nikufahamishe kuwa mie mwenyewe nimeishi katika kipindi hicho lau kama nilikuwa mtoto na babu yangu Salum Abdallah alikuwa katika wanachama wa mwanzo wa African Association na TANU.

Kwa ajili hii basi familia yangu ina mpigania uhuru.

Sasa katika hali kama hii mie si muhadithiwa bali niliishi katika kipindi kile na watu waliosukuma gurudumu la historia ya uhuru wa Tanganyika. Kuhadithiwa kwangu hakuwezi kuwa sawa na yule ambae hata Sheikh Hassan bin Ameir hakujaaliwa kumtia machoni.

Tuje katika holocaust.

Napenda nikueleze kuwa katika moja ya fani zangu ni historia ya Vita Kuu ya Pili na holocaust yake khasa kipande cha Auschwitz.

Ikiwa utachukua kisa hiki cha kukataa matanuri ya janga ya Auschwitz hapa mfano huu umekuenea wewe.
Wewe ndiye unaeshughulishwa na kukataa na kuuogopa ukweli.

Sie mie.

Mimi naujua ukweli wa historia ya uhuru wa Tanganyika.

Nimeandika vitabu vitatu katika somo hilo na nimealikwa kutoa mihadhara kwingi sana ndani na nje ya Tanzania.
Marekani, Ulaya na Afrika.

Ama kuwa "scholar" siwezi kukasirika kuitwa hivyo na wala sijaomba niitwe hivyo.
 
Ndugu yangu Chama,

Mbona hili la upungufu katika utafiti wangu nishalikubali?
Kazi yoyote ya binadamu haikosi upungufu.

Ikiwa ni hivyo hapana haja ya sisi kurejea tena na tena katika upungufu wa utafiti wangu au wa mwandishi mwingine.

Kuhusu kumhoji Dk. Kyaruzi si yeye peke yake ambae sikumhoji wako wengi sana sikujaaliwa kukutananao lakini nimekufahamisha kuwa nilimuomba mjukuu wake ambae ni mwandishi amfanyie mahojiano na aandike maisha ya babu yake kama Aisha Daisy Sykes alivyomuhoji baba yake Abdulwahid Sykes na tukapata kazi ambayo hadi leo tunaitumia: "Kleist Sykes: The Townsman." Kutoka kalamu ya Daisy ndipo tulipokujajua African Association iliasisiwa vipi na mengineyo katika siasa za Tanganyika kati ya 1900 hadi 1950.

Tuingie katika "Makabursha ya Sykes" ambayo nilinyimwa.

Ukweli ni huu.

Nimesoma majalada yote ya Sykes isipokuwa shajara (diaries) za Abdulwahid Sykes. Hizi sikupewa na nadhani ni kwa kuwa shajara ni kitu cha ndani mwa mtu na waliona majalada yale yalitosha kwa utafiti wangu.

Bado nashikilia kuwa shajara za Abdulwahid ni muhimu sana katika kuelewa nini kilikuwa kikipitika kati ya 1950 hadi 1954 alipokuja kuasisi TANU.

Labda kuna usilolijua ndiyo maana umekuja na neno "kuhadithiwa" hivyo sistahili kuaminiwa.
Si lazima uishuhudie historia ili uiandike.

Fanya utafiti katika hilo au waulize wajuzi watakufahamisha.

Ukiachilia mbali kuhadithiwa kwanza nikufahamishe kuwa mie mwenyewe nimeishi katika kipindi hicho lau kama nilikuwa mtoto na babu yangu Salum Abdallah alikuwa katika wanachama wa mwanzo wa African Association na TANU.

Kwa ajili hii basi familia yangu ina mpigania uhuru.

Sasa katika hali kama hii mie si muhadithiwa bali niliishi katika kipindi kile na watu waliosukuma gurudumu la historia ya uhuru wa Tanganyika. Kuhadithiwa kwangu hakuwezi kuwa sawa na yule ambae hata Sheikh Hassan bin Ameir hakujaaliwa kumtia machoni.

Tuje katika holocaust.

Napenda nikueleze kuwa katika moja ya fani zangu ni historia ya Vita Kuu ya Pili na holocaust yake khasa kipande cha Auschwitz.

Ikiwa utachukua kisa hiki cha kukataa matanuri ya janga ya Auschwitz hapa mfano huu umekuenea wewe.
Wewe ndiye unaeshughulishwa na kukataa na kuuogopa ukweli.

Sie mie.

Mimi naujua ukweli wa historia ya uhuru wa Tanganyika.

Nimeandika vitabu vitatu katika somo hilo na nimealikwa kutoa mihadhara kwingi sana ndani na nje ya Tanzania.
Marekani, Ulaya na Afrika.

Ama kuwa "scholar" siwezi kukasirika kuitwa hivyo na wala sijaomba niitwe hivyo.

Bwana Mohamed
Nilishawahi kukueleza mtafiti unapokuwa na agenda binafsi hata ufafiti unakuwa batili; lengo la utafiti ni kutafuta ukweli ili kuelemisha jamii na si kuipotosha jamii; hizo dairies za Abdul Wahid Syskes (R.I.P) inawezekana kabisa zilikuwa na ukweli ambao ungebadilisha mtiririko mzima na hitimisho la utafiti wako; ni kweli si lazima uishuhudie historia ili uaminiwe hii tunaiongelea hapa ni takribani miaka 60 wapo watu wengi ambao wanaishi leo hii na wameishuhudia historia hii; Bwana Mohamed tumesoma historia ya Europe 1600 and beyond tumeielewa itakuja hii ya Tanzania ambayo tumeshuhudia baadhi ya vipande vyake?
Bwana Saidi babu yako alikuwa mpigania uhuru hata mimi binafsi babu yangu alikuwa mpigania uhuru; wengi tu walipigania uhuru wetu; Bwana Said ulikuwa na nafasi nzuri sana ya kuwahoji wahusika wala ulikuwa huna sababu ya kumtuma mjukuu wa Dr. Kyaruzi amuhoji babu yake hilo lilikuwa jukumu lako wewe unayetafuta ukweli. Sikuwahi kusoma tafiti zako za Holocaust hebu nipe dondoo kama ulikataa hiyo basi kweli nitaamini nilichokiamini. Endelea kuitwa scolar mimi naitwa shekhe sijakataa

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Bwana Mohamed
Nilishawahi kukueleza mtafiti unapokuwa na agenda binafsi hata ufafiti unakuwa batili; lengo la utafiti ni kutafuta ukweli ili kuelemisha jamii na si kuipotosha jamii; hizo dairies za Abdul Wahid Syskes (R.I.P) inawezekana kabisa zilikuwa na ukweli ambao ungebadilisha mtiririko mzima wa utafiti; ni kweli si lazima uishuhudie historia ili uaminiwe hii tunaiongelea hapa ni takribani miaka 60 wapo watu wengi ambao wanaishi leo hii na wameishuhudia historia hii; Bwana Mohamed tumesoma historia ya Europe 1600 and beyond tumeielewa itakuja hii ya Tanzania ambayo tumeshuhudia baadhi ya vipande vyake?
Bwana Saidi ya babu yako alikuwa mpigania uhuru hata mimi binafsi babu yangu alikuwa mpigania uhuru; wengi tu walipigania uhuru wetu; Bwana Said ulikuwa na nafasi nzuri sana ya kuwahoji wahusika wala ulikuwa huna sababu ya kumtuma mjukuu wa Dr. Kyaruzi amuhoji babu yake hilo lilikuwa jukumu lako wewe unayetafuta ukweli. Sikuwahi kusoma tafiti zako za Holocaust hebu nipe dondoo kama ulikataa hiyo basi kweli nitaamini nilichokiamini. Endelea kuitwa scolar mimi naitwa shekhe sijakataa

Chama
Gongo la Mboto DSM
Mkuu Chama, kule kwenye makaka za Maalim MS, nilimpongeza kwa kutujuza tusiyo yajua lakini nikatoa anga "He is a man with a mission" His mission ndiyo ile agenda yake sote tunaijua hiyo hakuhitaji kumhoji Dr. Kyaruzi!. MS ni very slipery kwenye kukwepa maswali yenye majibu yatakayo muumbua. Nimemuliza mtu mwenye kustahili haswa kuitwa muasisi ni nani kati ya aliyetoa wazo mkinywa kahawa na kiongozi wa kwanza?. Hakujibu!. Nikamuuliza nh wakati gani chama kinaitwa kilizaliwa, alikwepa!.
 
Bwana Mohamed
Nilishawahi kukueleza mtafiti unapokuwa na agenda binafsi hata ufafiti unakuwa batili; lengo la utafiti ni kutafuta ukweli ili kuelemisha jamii na si kuipotosha jamii; hizo dairies za Abdul Wahid Syskes (R.I.P) inawezekana kabisa zilikuwa na ukweli ambao ungebadilisha mtiririko mzima na hitimisho la utafiti wako; ni kweli si lazima uishuhudie historia ili uaminiwe hii tunaiongelea hapa ni takribani miaka 60 wapo watu wengi ambao wanaishi leo hii na wameishuhudia historia hii; Bwana Mohamed tumesoma historia ya Europe 1600 and beyond tumeielewa itakuja hii ya Tanzania ambayo tumeshuhudia baadhi ya vipande vyake?
Bwana Saidi babu yako alikuwa mpigania uhuru hata mimi binafsi babu yangu alikuwa mpigania uhuru; wengi tu walipigania uhuru wetu; Bwana Said ulikuwa na nafasi nzuri sana ya kuwahoji wahusika wala ulikuwa huna sababu ya kumtuma mjukuu wa Dr. Kyaruzi amuhoji babu yake hilo lilikuwa jukumu lako wewe unayetafuta ukweli. Sikuwahi kusoma tafiti zako za Holocaust hebu nipe dondoo kama ulikataa hiyo basi kweli nitaamini nilichokiamini. Endelea kuitwa scolar mimi naitwa shekhe sijakataa

Chama
Gongo la Mboto DSM

Bwana Chama,

Naheshimu fikra zako siwezi kukulazimisha vinginevyo.
 
Mkuu Chama, kule kwenye makaka za Maalim MS, nilimpongeza kwa kutujuza tusiyo yajua lakini nikatoa anga "He is a man with a mission" His mission ndiyo ile agenda yake sote tunaijua hiyo hakuhitaji kumhoji Dr. Kyaruzi!. MS ni very slipery kwenye kukwepa maswali yenye majibu yatakayo muumbua. Nimemuliza mtu mwenye kustahili haswa kuitwa muasisi ni nani kati ya aliyetoa wazo mkinywa kahawa na kiongozi wa kwanza?. Hakujibu!. Nikamuuliza nh wakati gani chama kinaitwa kilizaliwa, alikwepa!.

Bwana Pasco,

Ikhtilafu lazima ziwepo.
Nami nakubali kuwa tunapingana katika mengi.
 
Bwana Chama,

Naheshimu fikra zako siwezi kukulazimisha vinginevyo.

Bwana Mohamed Said
Mbona unataka kususa kwenye mjadala hapa hatulazimishani tunajaribu kuelemishana na kutafuta ukweli; kama umekiri utafiti wako una mapungufu huoni kuwa unapotosha jamii? Hebu nipe hadithi Holocaust .

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Bwana Mohamed Said
Mbona unataka kususa kwenye mjadala hapa hatulazimishani tunajaribu kuelemishana na kutafuta ukweli; kama umekiri utafiti wako una mapungufu huoni kuwa unapotosha jamii? Hebu nipe hadithi Holocaust .

Chama
Gongo la Mboto DSM

Bwana Chama

Nisuse nini ndugu yangu?
Hapo nimekupa jibu langu na ningelitaka kususa ningekaa kimya.

Kuhusu holocaust.

Ingia google.
Humo mna kila kitu.
 
Wanabodi,

Nimepokea taarifa za kifo cha mmoja wa waanzilishi wa chama cha TAA na baadae TANU, Dr. Vedastus Kyaruzi kilichotokea juzi hapa jijini Dar es Salaam na mwili wake kusafirishwa leo kuelekea Bukoba kwa mazishi yatakayofanyika J.5.

Habari hizi ni kwa mujibu wa Bw. Prosper Vedasto wa Channel Ten.

Kwa wafuatiliaji wa historia ya siasa za Tanzania, Mzee Kyaruzi ametajwa sana katika makala za Maalim Mohamed Said kuwa yuu miongoni mwa mashujaa wa nchi hii waliosahaulika au tulio sahaulishwa na inawezekana ndio maana hata msiba wake uko low profile!.

Nadhani nisingekutana na Bw. Prosper, msiba huu muhimu ungeweza kutupita juu kwa juu!.



Kwa msiomfahamu Dr. Kyaruzi, hapa anaelezewa vizuri na mwana JF mwenzetu, mpigania uhuru mwenzake!.

Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

RIP Dr. Kyaruzi!.

Pasco.
Tarehe ya leo, ni exactly miaka 8, tangu alipofariki shujaa huyu Dr. Vedastus Kyaruzi, ambaye ndie muasisi wa Chama cha TAA.

Kwa kawaida vyama vyote vya siasa huwa vina kuwa na waasisi wengi ila shujaa rasmi huwa mmoja tuu, yule ambaye ni Mwenyekiti wa kwanza.
Hivyo
Shujaa wa AA ni Cecil Matola,
Shujaa wa TAA ni Dr. Vedastus Kyaruzi
Shujaa wa TANU ni Mwal. J.K. Nyerere
Shujaa wa Uhuru wa Tanganyika ni Mwl. Nyerere ndie mkombozi wa taifa hili
I'm very Sorry kuwa hao mashujaa wa tangu AA hadi TANU ni majina ya kiashiria cha dini fulani!, it's not me, it's a fact!.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

RIP Dr. Vedastus Kyaruzi!.

P.
 
Tarehe ya leo, ni exactly miaka 8, tangu alipofariki shujaa huyu Dr. Vedastus Kyaruzi, ambaye ndie muasisi wa Chama cha TAA.

Kwa kawaida vyama vyote vya siasa huwa vina kuwa na waasisi wengi ila shujaa rasmi huwa mmoja tuu, yule ambaye ni Mwenyekiti wa kwanza.
Hivyo
Shujaa wa AA ni Cecil Matola,
Shujaa wa TAA ni Dr. Vedastus Kyaruzi
Shujaa wa TANU ni Mwal. J.K. Nyerere
Shujaa wa Uhuru wa Tanganyika ni Mwl. Nyerere ndie mkombozi wa taifa hili
I'm very Sorry kuwa hao mashujaa wa tangu AA hadi TANU ni majina ya kiashiria cha dini fulani!, it's not me, it's a fact!.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

RIP Dr. Vedastus Kyaruzi!.

P.
Huo sasa uchokozi. Mashujaa wako wote tangu AA hadi TANU hakuna member wa familia ya mzee Mbuwane?!
 
Tarehe ya leo, ni exactly miaka 8, tangu alipofariki shujaa huyu Dr. Vedastus Kyaruzi, ambaye ndie muasisi wa Chama cha TAA.

Kwa kawaida vyama vyote vya siasa huwa vina kuwa na waasisi wengi ila shujaa rasmi huwa mmoja tuu, yule ambaye ni Mwenyekiti wa kwanza.
Hivyo
Shujaa wa AA ni Cecil Matola,
Shujaa wa TAA ni Dr. Vedastus Kyaruzi
Shujaa wa TANU ni Mwal. J.K. Nyerere
Shujaa wa Uhuru wa Tanganyika ni Mwl. Nyerere ndie mkombozi wa taifa hili
I'm very Sorry kuwa hao mashujaa wa tangu AA hadi TANU ni majina ya kiashiria cha dini fulani!, it's not me, it's a fact!.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

RIP Dr. Vedastus Kyaruzi!.

P.
Nilikuwa nakukubali P ila kwa hili hutonishawishi tena ktk uhai wangu. Udini udini udini mxxxxx

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarehe ya leo, ni exactly miaka 8, tangu alipofariki shujaa huyu Dr. Vedastus Kyaruzi, ambaye ndie muasisi wa Chama cha TAA.

Kwa kawaida vyama vyote vya siasa huwa vina kuwa na waasisi wengi ila shujaa rasmi huwa mmoja tuu, yule ambaye ni Mwenyekiti wa kwanza.
Hivyo
Shujaa wa AA ni Cecil Matola,
Shujaa wa TAA ni Dr. Vedastus Kyaruzi
Shujaa wa TANU ni Mwal. J.K. Nyerere
Shujaa wa Uhuru wa Tanganyika ni Mwl. Nyerere ndie mkombozi wa taifa hili
I'm very Sorry kuwa hao mashujaa wa tangu AA hadi TANU ni majina ya kiashiria cha dini fulani!, it's not me, it's a fact!.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

RIP Dr. Vedastus Kyaruzi!.

P.
Asante sana Pascal Mayalla kwa hii kumbukumbu...RIP Dr. Vedasto Kyaruzi, daima utakumbukwa kama muasisi na Kiongozi Mkuu wa Kwanza wa Tanganyika African Association, TAA. Usomi wako na uongozi wako uliotukuka ulikuwa ni tishio kubwa kwa wakoloni baada ya kubaini walikuwa wanapambana na Mtanganyika mzawa mwenye kipaji, elimu, uwezo na uelewa mkubwa zaidi yao. Pamoja na kula njama na kukuhamisha mbali ya mji wa Dar es Salaam kwa lengo la kudhoofisha juhudi zako uliendelea kuwa mwiba na mfano kwa vijana waliokuwa wanachipuka kila pembe ya Tanganyika kupigania haki na usawa wa mtu mweusi bila kujali tofauti zao. Asante sana Dr. Vedasto Kyaruzi.
 
Jamani isitokee ktk kifo cha huyu babu wetu, kamanda wetu mkaanza unafiki na majungu. Dr.Kyaruzi na Nyerere wote walikutana Tabora secondary, ikiitwa Milambo secondary. Na wote walikwenda Makelele Uganda. Nawaomba sana msome maelezo yake mwenyewe marehemu Dr. Kyaruzi ukurasa wa 394 pia ni vizuri sana mkisoma habari hii toka nyuma na kuendelea mpate kujua mengi ya historia ya nchi yetu na watu waliohusika ambao hadi leo hawafahamiki na kwa sababu mbali mbali. Kifupi dr. mwenyewe anasema Nyerere alikuwa na tabia ya kuamini watu wasioaminika na kweli kabisa haya ndio mapungufu makubwa ya Nyerere ambayo yame tugharimu sana.

RIP Dr. Kyaruzi - Mpambanaji.
Tabora secondary ikiitwa Milambo secondary!! Bros, yaani yakubidi wewe urudi shule ukasome historia ya nchi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabora secondary ikiitwa Milambo secondary!! Bros, yaani yakubidi wewe urudi shule ukasome historia ya nchi hii.
JF ni kisima cha elimu, mtu akikosea una msahihisha na kufundisha wengine.
Tabora kulikuwa na shule tatu kuu za sekondari hadi kidato cha 6.
Shule hizo ni Tabora Boys, Tabora Girls na St. Marys. Dr. Vedastus Kyaruzi alikuwa St Marys na Mwalimu Nyerere alijuwa Tabora Boys, walikutana na kujuana kwenye machi, wote walikuwa wasakata kabumbu wazuri wa shule zao, ila Nyerere alikuwa anakuja mpirani na kitabu!.
Dr. Kyaruzi alitangulia kumaliza akaenda Makerere, mwaka uliofuata Mwalimu Nyerere naye akaenda Makerere Dr. Kyaruzi akampokea. Wakawa marafiki.

Baada ya Nyerere kuhitimu Makerere akapostiwa kuwa Mwalimu St. Marys. Baada ya uhuru Shule zote za Misheni zikataufishwa na serikali, zikabadilishwa majina kwa kufuta majina ya kizungu na kuyapa majina ya Wazawa.
St. Marys- Mirambo
St. Francis- Pugu
St. Andrews- Minaki
Girls School- Kisutu
Agha Khan Boys- Tambaza
Agha Khan Girls- Zanaki
India Boys - Azania
India Girls-:Jangwani
Marian Girls- Kilakala
Alliance Boys-Mazengo
Alliance Girls- Msalato
St. Thomas More- Ihungo
St. Asumpta -:Weruweru
St. Joseph- Forodhani
P
 
Asante sana Pascal Mayalla kwa hii kumbukumbu...RIP Dr. Vedasto Kyaruzi, daima utakumbukwa kama muasisi na Kiongozi Mkuu wa Kwanza wa Tanganyika African Association, TAA. Usomi wako na uongozi wako uliotukuka ulikuwa ni tishio kubwa kwa wakoloni baada ya kubaini walikuwa wanapambana na Mtanganyika mzawa mwenye kipaji, elimu, uwezo na uelewa mkubwa zaidi yao. Pamoja na kula njama na kukuhamisha mbali ya mji wa Dar es Salaam kwa lengo la kudhoofisha juhudi zako uliendelea kuwa mwiba na mfano kwa vijana waliokuwa wanachipuka kila pembe ya Tanganyika kupigania haki na usawa wa mtu mweusi bila kujali tofauti zao. Asante sana Dr. Vedasto Kyaruzi.


Huyu Dr Kyaruzi ndiye aliyemkabidhi Mwl Nyerere mikoba ya uongozi tofauti na Ustadhi said mohamed aliyekuwa akituletea habari zake za urongo
 
Tarehe ya leo, ni exactly miaka 8, tangu alipofariki shujaa huyu Dr. Vedastus Kyaruzi, ambaye ndie muasisi wa Chama cha TAA.

Kwa kawaida vyama vyote vya siasa huwa vina kuwa na waasisi wengi ila shujaa rasmi huwa mmoja tuu, yule ambaye ni Mwenyekiti wa kwanza.
Hivyo
Shujaa wa AA ni Cecil Matola,
Shujaa wa TAA ni Dr. Vedastus Kyaruzi
Shujaa wa TANU ni Mwal. J.K. Nyerere
Shujaa wa Uhuru wa Tanganyika ni Mwl. Nyerere ndie mkombozi wa taifa hili
I'm very Sorry kuwa hao mashujaa wa tangu AA hadi TANU ni majina ya kiashiria cha dini fulani!, it's not me, it's a fact!.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

RIP Dr. Vedastus Kyaruzi!.

P.


Hicho kiashiria cha waasisi wote walikuwa kutoka dini ya Wagalatia wala si bahati mbaya sababu kubwa sana ilikuwa ilimu/elimu dunia
 
Wanabodi,

Nimepokea taarifa za kifo cha mmoja wa waanzilishi wa chama cha TAA na baadae TANU, Dr. Vedastus Kyaruzi kilichotokea juzi hapa jijini Dar es Salaam na mwili wake kusafirishwa leo kuelekea Bukoba kwa mazishi yatakayofanyika J.5.

Habari hizi ni kwa mujibu wa Bw. Prosper Vedasto wa Channel Ten.

Kwa wafuatiliaji wa historia ya siasa za Tanzania, Mzee Kyaruzi ametajwa sana katika makala za Maalim Mohamed Said kuwa yuu miongoni mwa mashujaa wa nchi hii waliosahaulika au tulio sahaulishwa na inawezekana ndio maana hata msiba wake uko low profile!.

Nadhani nisingekutana na Bw. Prosper, msiba huu muhimu ungeweza kutupita juu kwa juu!.



Kwa msiomfahamu Dr. Kyaruzi, hapa anaelezewa vizuri na mwana JF mwenzetu, mpigania uhuru mwenzake!.


Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

RIP Dr. Kyaruzi!.

Pasco.




Mchango muhimu wa Mzee Edwin Mtei


P

Mchango Funga Kazi wa Maalim Mohammed Said

Mkuu Maalim Mohammed Said, asante sana kwa makala hii. Kwa ruhusa yako, naomba kutumia makala yako hii kwenye print out magazetini, nitakujulisha ni magazeti yapi na yatatoka link kabla ya kutoka, naahidi kuku attribute accordingly, ila pia nitaomba ruhusa kwa Mkuu Max, ili isije kuonekana nime fanya brain drain from jf without authorities kufahamu. JF will be well attributed.
P
Bwana P hata kwenye fasihi Kuna main,flat and round character,etc etc.Not everyone echoes the book throughout.Some are forgotten even before the reader finished reading the book.
 
Mzee wetu said mohamed itabidi kile kitabu chake kilichojaa fitna kinachouzwa katika misikiti mbali mbali ya Jijini Dar tolea lijalo afanye marekebisho makubwa hasa nafasi ya Mwl Nyerere na nafasi ya Dr Kyaruzi katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Ni wazi tena pasipo shaka historia ya Ustadhi Mohamed Said kama alivyotuletea kipitia kitabu chake kuna mambo mengi yanhitaji masahihisho makubwa sana ili kuepuka kuwalisha chakula watanzania ambacho hakina virutubisho vya akili.Ni wazi tena pasipo shaka yoyote vyama vyote kuanzia AA,TAA,TANU na sasa CCM waanzilishi wake walikuwa Wagalatia.

Mungu awazidishie rehma.
1.Cecil Matola Rais wa AA
2.Dr Kyaruzi Rais wa TAA
3.Dr Mwl Nyerere Rais wa TANU & CCM

Ni wazi tena pasipo shaka mtu huwezi kuwa kiongozi mkuu wa chama chochote kama haukuhusika pakubwa katika harakati za kuanzishwa chama husika,hata kamati za harusi au kitchen party utakuta kiongozi ni mhusika mkuu.
 
Back
Top Bottom